Mbinu za watoto kujisomea, kujifunza
Wazazi wengi wanaamini kuwa elimu ndiyo mkombozi mkubwa wa maisha ya watoto wao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWwsgKE70HCJGhq7IhybemQK8IVr8MVwnGel0zZpKyaXkJ67c2lIrIJo4ytB9IpStC9tZ0UuzVmjcthGqtn7vJtk/10.jpg?width=650)
MBINU 5 ZA KUJIFUNZA MAPENZI ILI USIACHIKE, USISALITIWE!
Nilishawahi kusema huko nyuma kwamba, mapenzi yanachukuwa sehemu kubwa sana ya maisha yetu ya kila siku.Tunafanya kazi usiku na mchana lakini pesa tunazopata tunazitumia kwenye kufurahia maisha na wapenzi wetu. Ndiyo maana ukiwa hauko sawa kimapenzi, namaanisha ukiwa huna mpenzi wakati unahitaji kuwa naye au unaye lakini anakukorofisha, hata mambo mengine huwezi kuyafanya kwa ufasaha.
Lakini yule ambaye maisha yake ya...
10 years ago
VijimamboHAPPYNESS WATIMANYWA AFUNGUA CLUB YA KUJISOMEA WATOTO YA NKEMA
10 years ago
GPLREDDS MISS TANZANIA 2013, HAPPYNESS WATIMANYWA AFUNGUA CLUB YA KUJISOMEA WATOTO YA NKEMA
 Redds Miss Tanzania 2013, Happness Watimanywa (wa pili kushoto), akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Club ya kujisomea watoto ya ijulikanayo kwa jina la Nkema Reading Club iliyopo Kinondoni Mtaa wa Kasana jirani na Kituo kinachojengwa kwa ajli ya Mabasi ya Mwendokasi nyuma ya Sheli ya Mwanamboka katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Club hiyo, Getrude Kilyabusebu.… ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qWaXDknmMoc/XmN56mpKT-I/AAAAAAAEGHQ/oGZ1S0Y6_ncBz42QkZUFkucsfHoRtZuIQCLcBGAsYHQ/s72-c/71df1999-7f84-43e8-8de8-87a92892b7a5.jpg)
Kusherehekea wiki ya wanawake duniani Vodacom yatoa hamasa kwa watoto wa kike kujifunza Tehama
![](https://1.bp.blogspot.com/-qWaXDknmMoc/XmN56mpKT-I/AAAAAAAEGHQ/oGZ1S0Y6_ncBz42QkZUFkucsfHoRtZuIQCLcBGAsYHQ/s640/71df1999-7f84-43e8-8de8-87a92892b7a5.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/e17805d8-71fb-4bf2-99a2-5ac51c2778e9.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cPh-K-nP1JI/XnnSaP4VzVI/AAAAAAAEGaY/My26ik4PTYMMerVwoSgHAeUf5Rj5-Tl7gCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Ubongo yatoa programu za watoto kujifunza majumbani wakati shule zimefungwa kutokana na ugonjwa wa corona
Katika kuunga mkono juhudi za kupambana na usambaaji wa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona, taasisi ya Ubongo, ambayo inayoongoza barani Afrika kwa kutengeneza vipindi kwa njia ya kidigitali kwa ajili ya kufundisha watoto wa rika mbalimbali kwa njia ya mfumo wa elimu-burudani imesema kuwa itatoa ushirikiano mkubwa katika kuchukua hatua madhubuti na kuwaunga mkono walezi na watoto kuendelea kujifunza nyumbani wakati shule zimefungwa.
Takwimu zilizotolewa na shirika la umoja wa Mataifa...
Takwimu zilizotolewa na shirika la umoja wa Mataifa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PgEuc64m5Do/Xk4NRseIsFI/AAAAAAALeZY/kyXytTx7LuouVC-2SEUZ5rmcNXBwZFjCgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_3195-1024x684.jpg)
Wananchi Wapewa Mbinu za Kuwachuja Wagombea 2020 Kupitia Huduma kwa Watoto
![](https://1.bp.blogspot.com/-PgEuc64m5Do/Xk4NRseIsFI/AAAAAAALeZY/kyXytTx7LuouVC-2SEUZ5rmcNXBwZFjCgCLcBGAsYHQ/s640/DSC_3195-1024x684.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akisalimiana na wananfunzi wa shule ya Sekondari Kizwite kabla ya kuwazawadia fedha baada ya kutumbuiza kwa wito unaohamasisha ilinzi kwa watoto katika sherehe za uzinduzi wa Mkakati wa Miaka mitano (2020 – 2025) wa kukabiliana na mimba za utotoni mkoa wa Rukwa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC_3286-1024x684.jpg)
Wanafunzi wa shule ya Msingi majengo wakitoa burudani mbele ya mgeni rasmi mkuu wa mkoa wa Rukwa (hayupo pichani) kwa wimbo wao wa kuhamasisha kumjali na kumpatia haki mtoto katika ...
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Tusipopenda kujisomea tutapataje maarifa?
Maendeleo yote ya binadamu yametokana na maarifa. Maarifa ni ufahamu, uwezo wa kufikiri, utambuzi, ujuzi na utashi.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZFVQGyC-7KiO-nOQB1YSe*UNqVV*o76zkhAGZ0SB16OE9mbpj98AqWi0fmn8mC9j4IsiKk8kR4VwJmakALlddwV*HI4kSzML/studyincanadapic1.jpg)
FAHAMU MAZINGIRA RAFIKI YA KUJISOMEA
Kila kitu kina mazingira yake ya kuweza kukifanya kwa ufanisi ili kutoa matokeo yaliyokusudiwa kwa asilimia kubwa; vivyo hivyo zoezi la kujisomea kwa wanafunzi pia hupaswa kuandaliwa mazingira rafiki ili kufanya ubongo upokee mambo mengi kwa wakati mmoja na hatimaye kuweza kufaulu vizuri katika masomo yao. Wanafunzi wengi hujisomea bila kujali mazingira ya kufanya hivyo jambo ambalo huwafanya washindwe kufaulu mitihani yao vizuri...
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Fahamu namna unavyoweza kunufaika kutokana na kupenda kujisomea
Hivi karibuni nilipokuwa nafikiria kuhusu safu yangu ya Jitambue, niligundua kuwa nimekuwa nikiandika makala kila Jumapili sasa yapata mwaka mmoja na nusu. Baada ya kubaini hivyo, kuna swali moja likanijia katika mawazo yangu. “Je wasomaji wangu wanajua jinsi ya kunufaika kutokana na usomaji?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania