Fahamu namna unavyoweza kunufaika kutokana na kupenda kujisomea
Hivi karibuni nilipokuwa nafikiria kuhusu safu yangu ya Jitambue, niligundua kuwa nimekuwa nikiandika makala kila Jumapili sasa yapata mwaka mmoja na nusu. Baada ya kubaini hivyo, kuna swali moja likanijia katika mawazo yangu. “Je wasomaji wangu wanajua jinsi ya kunufaika kutokana na usomaji?
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZFVQGyC-7KiO-nOQB1YSe*UNqVV*o76zkhAGZ0SB16OE9mbpj98AqWi0fmn8mC9j4IsiKk8kR4VwJmakALlddwV*HI4kSzML/studyincanadapic1.jpg)
FAHAMU MAZINGIRA RAFIKI YA KUJISOMEA
Kila kitu kina mazingira yake ya kuweza kukifanya kwa ufanisi ili kutoa matokeo yaliyokusudiwa kwa asilimia kubwa; vivyo hivyo zoezi la kujisomea kwa wanafunzi pia hupaswa kuandaliwa mazingira rafiki ili kufanya ubongo upokee mambo mengi kwa wakati mmoja na hatimaye kuweza kufaulu vizuri katika masomo yao. Wanafunzi wengi hujisomea bila kujali mazingira ya kufanya hivyo jambo ambalo huwafanya washindwe kufaulu mitihani yao vizuri...
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Namna unavyoweza kuimba sauti ya ndani yako ili kupata maendeleo
Mwaka 2007 kuna mtu alikuja na kunieleza kuwa kila mtu ameshachukuliwa nimebaki mimi! Nikamuuliza una maana gani? Akanijibu kimkato sana, “ Wewe acha tu ishi toleo la mwingine.†Ilinichukua muda kuelewa hakika huyu mtu anamaanisha nini kwa kauli hizo.
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Fahamu jinsi unavyoweza kutumia kushindwa kwako kama kichocheo cha kupata ushindi maishani
Je umewahi kushindwa kutenda jambo lilikuwa muhimu sana kwa maendeleo ya maisha yako? Je hali hii huwa inatokea mara kwa mara au mara chache sana? Inapotokea huwa unafanya nini? Huwa unakata tamaa kabisa na kuacha kujaribu tena? Kabla hujatafakari sana kuhusu suala hili hebu soma taarifa yangu fupi kuhusu suala hili.
5 years ago
BBCSwahili22 May
Virusi vya Corona: Fahamu namna ya kusali sala ya Idi nyumbani
Virusi vya Corona: Fahamu namna ya kusali sala ya Idi nyumbani
10 years ago
Vijimambo16 Mar
FAHAMU: Namna ya kujibashiria rizki yako kwa kutumia kiganja cha mkono wako
![](http://www.jukwaahuru.com/wp-content/uploads/2013/04/life_line-1200x545_c.png)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-T8Lo27RSiWs/VglG8ApQNaI/AAAAAAAAT_Q/KLIlOUC5xgE/s72-c/AFYA.jpg)
FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-T8Lo27RSiWs/VglG8ApQNaI/AAAAAAAAT_Q/KLIlOUC5xgE/s640/AFYA.jpg)
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa...
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Mbinu za watoto kujisomea, kujifunza
Wazazi wengi wanaamini kuwa elimu ndiyo mkombozi mkubwa wa maisha ya watoto wao.
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Tusipopenda kujisomea tutapataje maarifa?
Maendeleo yote ya binadamu yametokana na maarifa. Maarifa ni ufahamu, uwezo wa kufikiri, utambuzi, ujuzi na utashi.
10 years ago
VijimamboHAPPYNESS WATIMANYWA AFUNGUA CLUB YA KUJISOMEA WATOTO YA NKEMA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania