Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Namna unavyoweza kuimba sauti ya ndani yako ili kupata maendeleo

Mwaka 2007 kuna mtu alikuja na kunieleza kuwa kila mtu ameshachukuliwa nimebaki mimi! Nikamuuliza una maana gani? Akanijibu kimkato sana, “ Wewe acha tu ishi toleo la mwingine.” Ilinichukua muda kuelewa hakika huyu mtu anamaanisha nini kwa kauli hizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Fahamu namna unavyoweza kunufaika kutokana na kupenda kujisomea

Hivi karibuni nilipokuwa nafikiria kuhusu safu yangu ya Jitambue, niligundua kuwa nimekuwa nikiandika makala kila Jumapili sasa yapata mwaka mmoja na nusu. Baada ya kubaini hivyo, kuna swali moja likanijia katika mawazo yangu. “Je wasomaji wangu wanajua jinsi ya kunufaika kutokana na usomaji?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Jinsi unavyoweza kufanikiwa binafsi kujitenga ili kuepusha maambukizi.

Kuanzia kuagiza chakula hadi namna unavyoweza kuishi na familia, hivi ndivyo unavyoweza kuepuka kusambaza virusi vya Corona.

 

10 years ago

Mwananchi

Fahamu jinsi unavyoweza kutumia kushindwa kwako kama kichocheo cha kupata ushindi maishani

Je umewahi kushindwa kutenda jambo lilikuwa muhimu sana kwa maendeleo ya maisha yako? Je hali hii huwa inatokea mara kwa mara au mara chache sana? Inapotokea huwa unafanya nini? Huwa unakata tamaa kabisa na kuacha kujaribu tena? Kabla hujatafakari sana kuhusu suala hili hebu soma taarifa yangu fupi kuhusu suala hili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SAIDA MASHAUZI: Nilivunja ndoa ili niendelee kuimba

MTOTO wa nyoka ni nyoka, wanasema wahenga. Hivi ndivyo inajidhihirisha kwa Saida Ramadhani Makongo maarufu kama Saida Mashauzi, mwimbaji nyota wa kundi la muziki wa taarabu la Mashauzi Classic la...

 

10 years ago

Bongo5

Kadja wa ‘Maumivu’ aahidi kuonesha uwezo wake wa kuimba mbele ya Sauti Sol

Msanii anayefanya vizuri na wimbo ‘Maumivu’ Kadja Nito kutoka THT amesema atahakikisha anaonesha uwezo wake wote wakati atakapokuwa akitumbuiza kwenye jukwaa moja na kundi la Sauti Sol la Kenya. “Mashabiki wangu wakae tayari kwa kazi yangu mpya na na pia nafurahi kupata nafasi ya kufanya show na wasanii wakubwa kutoka Kenya Sauti Sol jukwaa moja. […]

 

9 years ago

Bongo5

Fid Q asema ataendelea kuimba live band ili kuboresha show za Hip Hop

Rapper Fareed Kubanda aka Fid Q amesema ataendelea kufanya show na live band ili kuboresha show za muziki wa Hip Hop. Fid Q ambaye alionesha uwezo wake wa kuimba live na bendi kwenye show ya Kilifest iliyofanyika weekend iliyopita katika viwanja Leades Club jijini Dar es salaam, ameambia Planet Bongo ya East Africa Radio kuwa, […]

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Ukiona Jirani Anafaidika Na Mali Yako....Jua Kuna Mchawi Ndani Ya Nyumba Yako-Lulu

Kwa upande wa fasheni hakuna anebisha kuwa  mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ni DIVA wa ukweli kwa hapa Bongo na Afrika, Akitupia picha hizi Lulu aliandika msomo huu,

“Ukiona jirani anafaidika na mali yako....jua kuna mchawi ndani ya nyumba yako”

Mimi sijui alikuwa anamaanisha nini, lakini nadhani kila mtu anaweza kutafsiri kwa namna alivyo muelewa.Jambo la msingi jionee picha hizo alizopigwa na Slide Visuals..Enjoy!!

 

10 years ago

Bongo5

Una kipaji cha kuimba? Airtel Trace Music Stars inaweza kubadilisha maisha yako!

Kuna vipaji vingi vya muziki hapa nchini ambavyo kutokana na sababu mbalimbali, vimeshindwa kuonekana. Kikwazo kikubwa ni gharama za kuingia studio na kurekodi wimbo wenye kiwango kizuri cha kuchezwa redioni. Hata kwa wale waliofanikiwa kurekodi nyimbo zao, bado wanakutana na vikwazo vingi pale wanapopeleka nyimbo zao kwenye vituo vya redio. Kutokana na kuwepo wingi wa […]

 

10 years ago

Mwananchi

Je, unajua namna ya kuboresha haiba yako?

Je, ukikutana na mtu akakuuliza kama una haiba utamjibu vipi? Pengine huenda ukashindwa kumjibu kwa sababu hujui maana ya neno haiba. Siku moja nilimsikia mtu fulani akimwambia mwenzake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani