Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAIDA MASHAUZI: Nilivunja ndoa ili niendelee kuimba

MTOTO wa nyoka ni nyoka, wanasema wahenga. Hivi ndivyo inajidhihirisha kwa Saida Ramadhani Makongo maarufu kama Saida Mashauzi, mwimbaji nyota wa kundi la muziki wa taarabu la Mashauzi Classic la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Namna unavyoweza kuimba sauti ya ndani yako ili kupata maendeleo

Mwaka 2007 kuna mtu alikuja na kunieleza kuwa kila mtu ameshachukuliwa nimebaki mimi! Nikamuuliza una maana gani? Akanijibu kimkato sana, “ Wewe acha tu ishi toleo la mwingine.” Ilinichukua muda kuelewa hakika huyu mtu anamaanisha nini kwa kauli hizo.

 

9 years ago

Bongo5

Fid Q asema ataendelea kuimba live band ili kuboresha show za Hip Hop

Rapper Fareed Kubanda aka Fid Q amesema ataendelea kufanya show na live band ili kuboresha show za muziki wa Hip Hop. Fid Q ambaye alionesha uwezo wake wa kuimba live na bendi kwenye show ya Kilifest iliyofanyika weekend iliyopita katika viwanja Leades Club jijini Dar es salaam, ameambia Planet Bongo ya East Africa Radio kuwa, […]

 

10 years ago

Michuzi

MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI WATHIBITISHA RASMI MTANANGE WA JAHAZI NA MASHAUZI CLASSIC

Hatimaye wakurugenzi wa Mashauzi Classic na Jahazi Modern Taarab, wamefanya mkutano na waandishi wa habari na kuthibitisha kuwepo kwa onyesho la pamoja la makundi hayo yenye nguvu katika muziki wa taarab.
 Onyesho hilo litafanyika mwezi huu Jumapili tarehe 22 ndani ya ukumbi wa Travertine Hotel Magomeni. Mkurugenzi wa Jahazi, Mzee Yussuf na mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Isha Ramadhan maarufu kama Isha Mashauzi, wamesema siku hiyo hatumwi mtoto dukani. 
 Wakiongea katika mkutano huo wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Adaiwa kuiba kichanga ili kulinda ndoa

JESHI la polisi mkoani Rukwa linamshikilia Magreth Juma (34), mkazi wa mtaa wa Chanji Manispaa ya Sumbawanga kwa tuhuma za wizi wa mtoto mchanga wa siku mbili. Mtuhumiwa huyo, alikamatwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mambo ya kuzingatia ili ndoa iwe halali

NDOA nyingi zimekuwa na migogoro  ya mara kwa mara ambayo hupelekea ndoa hizo kutodumu. Tafiti zinaonyesha wanandoa wengi ambao wanaishi katika ndoa zao sio kwa kuwa wanapendana, bali ni kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mambo ya kuzingatia ili ndoa iwe halali (2)

 (e) Wafunga ndoa wawe wametimiza umri unaokubalika kisheria: Mwanamke na mwanaume wawe wametimiza miaka 18, ili kufunga ndoa. Hata hivyo mwanamke anaweza kuolewa akiwa na umri wa chini ya 18,...

 

11 years ago

Mwananchi

Unachotakiwa kufanya ili uwe na ndoa yenye amani-2

Kama unaingia kwenye ndoa kwa sababu ya kumkera fulani, fahamu kwamba hilo ni kosa na linasababisha wakati fulani watu kujuta kwanini amekutana na fulani.

 

9 years ago

Bongo5

Khloe Kardashian na Lamar Odom wafuta kesi yao ya talaka ili kuipa ndoa nafasi ya pili

Kufuatia kuugua kwa mcheza kikapu wa NBA Lamar Odom, hali hiyo imewaunganisha tena na mke wake Khloe Kardashian ambapo sasa couple hiyo kwa pamoja imeamua kufuta kesi yao ya talaka ili waendelee kuwa mume na mke. Kwa mujibu wa TMZ, mwanasheria wa Khloe aitwaye Laura Wasser Jumatano Oct 20 alienda kwa hakimu kuomba kusitisha kesi […]

 

10 years ago

Vijimambo

Michepuko Embu Ooneeni Huruma Ndoa za Wenzenu..Someni Hapa Jinsi ya Kuandika Meseji Kwa Jamaa yako ili Hata ikisomwa na Mkewe Isiwe Shida


Embu hili swala liangaliwe vizuri ili kutosababisha matatizo ktk ndoa za watu.Jana nimetoka kazini, nikakatext ka mchepuko ka kitambo kidogo.Mimi: Mambo vipi!Mchepuko: Poa tu mpenzi wangu.
Aisee nikashtuka nikaidelete sms haraka. Nikajiuliza vipi kama ingepokelewa na mke wangu.
Jamani michepuko ifike mahala mjue kabisa tuko na familia zetu, lakini pia tunawajali. Chondechonde msilainishe sms. Andikeni sms ngumu ngumu., ili hata ikisomwa kwa bahati mbaya na wake zetu wasilete shida.
Mfano:Mimi:...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani