Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Michepuko Embu Ooneeni Huruma Ndoa za Wenzenu..Someni Hapa Jinsi ya Kuandika Meseji Kwa Jamaa yako ili Hata ikisomwa na Mkewe Isiwe Shida


Embu hili swala liangaliwe vizuri ili kutosababisha matatizo ktk ndoa za watu.Jana nimetoka kazini, nikakatext ka mchepuko ka kitambo kidogo.Mimi: Mambo vipi!Mchepuko: Poa tu mpenzi wangu.
Aisee nikashtuka nikaidelete sms haraka. Nikajiuliza vipi kama ingepokelewa na mke wangu.
Jamani michepuko ifike mahala mjue kabisa tuko na familia zetu, lakini pia tunawajali. Chondechonde msilainishe sms. Andikeni sms ngumu ngumu., ili hata ikisomwa kwa bahati mbaya na wake zetu wasilete shida.
Mfano:Mimi:...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

VITUKO UGHAIBUNI: JAMAA AZIGAWA MALI ZAKE NUSU KWA NUSU BAADA YA KUMWAGANA NA MKEWE

Baiskeli iliyokatwa na jamaa huyo. Gari hili nalo lilikatwa katikati kwa ajili ya kumaliza mgogoro kati ya jamaa huyo na mkewe. Video ya jamaa huyo akikata mali zake katikati. NJEMBA mmmoja nchini Ujerumani amezua sintofahamu baada ya kuamua kugawa nusu kwa nusu kila mali…

 

10 years ago

Mwananchi

Someni ili mnufaike na gesi, mafuta

Wakati Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa anaendelea na ziara yake ya siku tatu nchini Qatar na kazi kubwa ni kutafuta wawekezaji katika sekta ya mafuta na gesi wananchi mkoani lindi wamehimizwa kusoma ili waweze kuzitumia vyema fursa zitakazotokana na rasilimali hizo.

 

10 years ago

GPL

WANAUMEEEEEEE, SOMENI HAPA

HABARI za leo wapendwa wasomaji wa safu hii. Ni tumaini langu kuwa wote mnaendelea vyema na shughuli za kila siku, hasa katika wakati huu ambao tumetoka katika Sikukuu ya Pasaka, ambayo ninajua wengi wenu itakuwa imewakausha mifuko yenu, maana kama siyo wewe mwenyewe na mwenza wako, basi watoto walikaba koo kutaka mambo flani. Juzikati, nilipata sms moja kati ya nyingi ninazopata toka kwenu wasomaji wangu na baada ya kuisoma,...

 

11 years ago

Mwananchi

Mazoezi kuimarisha tendo la ndoa hata kwa wazee

Naendelea kujibu maswali yaliyoulizwa katika mada hii iliyoanzia wiki iliyopita na leo nitafafanua juu ya mazoezi ambayo ni muhimu kumwezesha mtu kuwa na uwezo mzuri wa kufanya tendo la ndoa.

 

9 years ago

Mwananchi

AFYA: Wapenda soda someni hapa

Kama wewe ni mteja wa vitu vitamu, bila shaka habari hii itakukera.

 

9 years ago

Habarileo

Ajinyonga kwa kukataliwa tendo la ndoa na mkewe

WATU wawili wamekufa mkoani Ruvuma katika matukio mawili tofauti, likiwemo la mkazi mmoja kujinyonga kwa kutumia kamba ya miti baada ya kukataliwa tendo la ndoa na mkewe.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jinsi ya kusafisha simu yako kwa njia salama

Wataalamu wanashauri kutumia sabuni na maji kufuta simu yako.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii someni hapa

SIKU zote Watanzania tumekuwa tukiamini kwamba maendeleo ya taifa letu hili bado ni duni sana. Pamoja na kilio chetu hiki cha uhaba wa maendeleo, leo nataka nizungumzie ugonjwa hatari wa saratani...

 

10 years ago

GPL

MICHEPUKO: MWANAUME ANG'ATWA SEHEMU NYETI AKILAZIMISHA KUFANYA MAPENZI NA RAFIKI WA MKEWE

Maria Ionita akiwa na mumewe, Florin Ionita hospitalini. MWANAUME aitwaye Florin Ionita, 53, ameng'atwa sehemu yake nyeti na rafiki wa mkewe wakati akijaribu kumlazimisha afanye naye mapenzi. Wauguzi waliokuwa wakimpatia huduma Florin Ionita. Florin Ionita na mkewe Maria Ionita, 49, walikuwa katika karamu huko Chisinau nchini Moldova wakiwa na rafiki wa mkewe. Baada ya karamu hiyo, Maria aliamua kuwapeleka baadhi ya marafiki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani