Someni ili mnufaike na gesi, mafuta
Wakati Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa anaendelea na ziara yake ya siku tatu nchini Qatar na kazi kubwa ni kutafuta wawekezaji katika sekta ya mafuta na gesi wananchi mkoani lindi wamehimizwa kusoma ili waweze kuzitumia vyema fursa zitakazotokana na rasilimali hizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-IGK5_aHR83U/VYVTkuPCJqI/AAAAAAAAwBs/dM1G-dLehVo/s72-c/black-couple-kissing1.jpg)
Michepuko Embu Ooneeni Huruma Ndoa za Wenzenu..Someni Hapa Jinsi ya Kuandika Meseji Kwa Jamaa yako ili Hata ikisomwa na Mkewe Isiwe Shida
![](http://1.bp.blogspot.com/-IGK5_aHR83U/VYVTkuPCJqI/AAAAAAAAwBs/dM1G-dLehVo/s640/black-couple-kissing1.jpg)
Embu hili swala liangaliwe vizuri ili kutosababisha matatizo ktk ndoa za watu.Jana nimetoka kazini, nikakatext ka mchepuko ka kitambo kidogo.Mimi: Mambo vipi!Mchepuko: Poa tu mpenzi wangu.
Aisee nikashtuka nikaidelete sms haraka. Nikajiuliza vipi kama ingepokelewa na mke wangu.
Jamani michepuko ifike mahala mjue kabisa tuko na familia zetu, lakini pia tunawajali. Chondechonde msilainishe sms. Andikeni sms ngumu ngumu., ili hata ikisomwa kwa bahati mbaya na wake zetu wasilete shida.
Mfano:Mimi:...
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Mawakili kusomea gesi, mafuta
11 years ago
Mwananchi21 May
Gesi kuathiri soko la mafuta
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
‘Zanzibar haitaruhusu mafuta, gesi’
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema Zanzibar haiwezi kuruhusu kuchimbwa mafuta na gesi asilia kabla haijawa na sheria na sera juu ya mafuta hayo....
11 years ago
Mwananchi04 Jul
MAFUTA NA GESI: 'Watanzania wanaweza kuwekeza'
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
‘Sera ya gesi, mafuta iwekwe wazi’
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ametaka uwazi katika suala la gesi na mafuta. Balozi Sefue pia aliwataka Watanzania wajipange, wajitume kuhakikisha sekta ya gesi na mafuta itakapoanza kazi hawatakuwa...
11 years ago
Habarileo17 Jul
Watanzania kujifunza gesi, mafuta Canada
SERIKALI ya Tanzania inatarajia kutuma wataalamu kwenda Canada katika Kamisheni ya Mafuta na Gesi ya jimbo la British Columbia (BC Oil& Gas Commission), kujifunza udhibiti wa mafuta na gesi.
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Bei ya mafuta kuathiri utafutaji wa gesi Tz
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Watanzania wanaamini gesi, mafuta vitawanufaisha