‘Sera ya gesi, mafuta iwekwe wazi’
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ametaka uwazi katika suala la gesi na mafuta. Balozi Sefue pia aliwataka Watanzania wajipange, wajitume kuhakikisha sekta ya gesi na mafuta itakapoanza kazi hawatakuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
‘Sera ya gesi iwe wazi kwa wananchi’
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amewataka wajumbe kutoka taasisi mbalimbali kuwa wawazi kwa wananchi katika utungaji wa sera ya upatikanaji wa gesi asilia na petroli. Prof....
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2z3HhgT0EWg/U5iY62mT9OI/AAAAAAAFp0U/LZLD2Rg4aZA/s72-c/unnamed+(77).jpg)
WADAU WA SHUGHULI ZA UZALISHAJI NA UTAFUTAJI GESI,MAFUTA WATOA MAONI RASIMU YA SERA YA PETROLI
![](http://1.bp.blogspot.com/-2z3HhgT0EWg/U5iY62mT9OI/AAAAAAAFp0U/LZLD2Rg4aZA/s1600/unnamed+(77).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hrGBCz-EHV8/U5iY9Q-hfsI/AAAAAAAFp0c/4QLXH1nTkwE/s1600/unnamed+(76).jpg)
5 years ago
CHADEMA Blog![](https://img.youtube.com/vi/3oqxHOLqISY/default.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar19 Sep
CCM wamedandia sera ya mafuta — M.Seif
By Goodluck Eliona na Khelef Nassor Zanzibar: Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema hakuna mwenye uhalali wa kuzungumzia uchimbaji wa mafuta ya Zanzibar zaidi yake. Alisema […]
The post CCM wamedandia sera ya mafuta – M.Seif appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Sera madhubuti ya gesi kuinyayua Tanzania
Meneja wa kituo cha Kahama FM Redio, Marco Mipawa (kushoto) akielekea kukwea pipa kuelekea nchini Ghana kwenye ziara ya mafunzo ya wiki mbili.
Na Marco Mipawa, Accra- Ghana
Tanzania inaweza kuwa nchi ya kwanza katika maendeleo ya uchumi iwapo itaweka sera madhubuti za uzalishaji wa Gesi na kuwa na viongozi wenye dhamira dhabiti ya kuiendeleza nchi na kuboresha maisha ya watu.
Haya yamebainishwa na Meneja wa Redio Kahama FM Marco Mipawa leo wakati akiendelea na ziara ya mafunzo nchini Ghana...
10 years ago
Habarileo15 Aug
Mkapa: Sera ya gesi wapewe wataalamu
RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ametaka suala la utungaji sera za nchi katika mafuta na gesi, washirikishwe zaidi wanasayansi na wataalamu wa jiolojia badala ya kuachiwa wanasiasa. Amesema wataalamu hao wana mchango mkubwa na wamefanya utafiti mbalimbali, hivyo wanapaswa wasipuuzwe.
10 years ago
GPL![](https://dub123.mail.live.com/Handlers/ImageProxy.mvc?bicild=&canary=hc29iaFoUs7ntYn4h1jkUT1XxdzegWvps3z6qTVfdGA%3d0&url=http%3a%2f%2fdewjiblog.com%2fwp-content%2fuploads%2f2014%2f12%2fMipawa-to-Ghana.jpg&width=650)
SERA MADHUBUTI YA GESI KUINYAYUA TANZANIA
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Mawakili kusomea gesi, mafuta
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
‘Zanzibar haitaruhusu mafuta, gesi’
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema Zanzibar haiwezi kuruhusu kuchimbwa mafuta na gesi asilia kabla haijawa na sheria na sera juu ya mafuta hayo....