CCM wamedandia sera ya mafuta — M.Seif
By Goodluck Eliona na Khelef Nassor Zanzibar: Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema hakuna mwenye uhalali wa kuzungumzia uchimbaji wa mafuta ya Zanzibar zaidi yake. Alisema […]
The post CCM wamedandia sera ya mafuta – M.Seif appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
‘Sera ya gesi, mafuta iwekwe wazi’
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ametaka uwazi katika suala la gesi na mafuta. Balozi Sefue pia aliwataka Watanzania wajipange, wajitume kuhakikisha sekta ya gesi na mafuta itakapoanza kazi hawatakuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2z3HhgT0EWg/U5iY62mT9OI/AAAAAAAFp0U/LZLD2Rg4aZA/s72-c/unnamed+(77).jpg)
WADAU WA SHUGHULI ZA UZALISHAJI NA UTAFUTAJI GESI,MAFUTA WATOA MAONI RASIMU YA SERA YA PETROLI
![](http://1.bp.blogspot.com/-2z3HhgT0EWg/U5iY62mT9OI/AAAAAAAFp0U/LZLD2Rg4aZA/s1600/unnamed+(77).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hrGBCz-EHV8/U5iY9Q-hfsI/AAAAAAAFp0c/4QLXH1nTkwE/s1600/unnamed+(76).jpg)
9 years ago
Mwananchi19 Sep
Maalim Seif: Mimi ndiye wa kuzungumzia mafuta Z’bar
9 years ago
Vijimambo12 Sep
MAALIM SEIF AAHIDI MAFUTA, GESI NDANI YA SIKU 100 ZANZIBAR
![Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF,](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2867330/highRes/1117034/-/maxw/600/-/3xnm11z/-/Sef.jpg)
Maalim Seif alisema hayo juzi kwenye viwanja vya Tibirinzi mkoani Kusini Pemba alipokuwa akizungumza na wananchi na wafuasi wa vyama vinavyounda Ukawa.
Aliwaomba wananchi wa Unguja na Pemba wampe ridhaa ya kuongoza visiwa vya Zanzibar ili aweze kuwaletea maendeleo...
9 years ago
Mwananchi12 Sep
Maalim Seif aahidi mafuta, gesi ndani ya siku 100 Zanzibar
9 years ago
MichuziMAALIM SEIF ATEMBELEA KISIMA KINACHOSADIKIWA KUWA NA MAFUTA KATIKA ENEO LA TUNDAUWA,ZANZIBAR
Amesema kwa miaka mingi Zanzibar imeshindwa kuchimba mafuta yake kutokana na kutokuwepo mikakati imara, na kuahidi kuwa iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar atahakikisha kuwa suala hilo linawekewa mikakati imara ya...
9 years ago
Vijimambo20 Sep
UDP yanadi sera za CCM
![UDP yanadi sera za CCM](http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/john-Cheyo19_478_290.jpg)
MWENYEKITI wa Taifa wa chama cha United Democrat Party (UDP), John Cheyo, ambaye pia ni mgombea anayetetea kiti cha ubunge katika jimbo la Itilima mkoani Simiyu kupitia chama hicho, amezindua kampeni zake kwa kunadi sera za CCM.
Akizindua kampeni hizo jana katika uwanja wa mpira wa kikapu, Cheyo alisema katika sera yake pamoja na chama chake ni kuhakikisha elimu inatolewa bure kuanzia chekechea hadi kidato cha nne.
Mbali na sera hiyo, mgombea ubunge huyo pia alisema kuwa wananchi wakimpa...
10 years ago
Habarileo06 Sep
Mbunge akiri ufanisi sera za CCM
MBUNGE wa Kondoa Kaskazini, Zabein Mhita amefagilia mipango ya serikali ya Chama Cha Mapinduzi ambayo imeleta neema kwa wananchi wake hasa ongezeko la uzalishaji katika sekta ya kilimo.
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Mchakamchaka umeanza Arusha, wagombea Ubunge CCM wamwaga sera
Kada maarufu wa chama cha mapinduzi ambaye pia ni mfanyabiashara wa madini jijini Arusha, Justine Nyari, akizungumza katika mkutano wa hadhara wa kujinadi nafasi ya Ubunge kupitia chama cha mapinduzi katika kata mpya ya Sinoni jijini Arusha(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha, Mustafa Panju akizungumza na wananchi wa kata mpya ya Sinoni kuhusu nia yake ya kugombea nafasi ya Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi...