Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UDP yanadi sera za CCM


UDP yanadi sera za CCM

MWENYEKITI wa Taifa wa chama cha United Democrat Party (UDP), John Cheyo, ambaye pia ni mgombea anayetetea kiti cha ubunge katika jimbo la Itilima mkoani Simiyu kupitia chama hicho, amezindua kampeni zake kwa kunadi sera za CCM.

Akizindua kampeni hizo jana katika uwanja wa mpira wa kikapu, Cheyo alisema katika sera yake pamoja na chama chake ni kuhakikisha elimu inatolewa bure kuanzia chekechea hadi kidato cha nne.

Mbali na sera hiyo, mgombea ubunge huyo pia alisema kuwa wananchi wakimpa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yanadi serikali 2 misikitini

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kinadaiwa kuwatumia baadhi ya masheikh kuhubiri muundo wa muungano wa serikali mbili misikitini. Kwa mujibu wa vyanzo vyetu, kampeni hiyo inasimamia na Katibu Mkuu wa CCM,...

 

10 years ago

Mwananchi

Cheyo atafuta wagombea urais kupitia UDP

Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Cheyo ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha UDP, amesema wanamkaribisha mwanachama wa chama chochote cha siasa nchini kuwania nafasi ya urais kupitia chama hicho.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

CCM wamedandia sera ya mafuta — M.Seif

By Goodluck Eliona na Khelef Nassor Zanzibar: Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema hakuna mwenye uhalali wa kuzungumzia uchimbaji wa mafuta ya Zanzibar zaidi yake. Alisema […]

The post CCM wamedandia sera ya mafuta – M.Seif appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge akiri ufanisi sera za CCM

Zabein MhitaMBUNGE wa Kondoa Kaskazini, Zabein Mhita amefagilia mipango ya serikali ya Chama Cha Mapinduzi ambayo imeleta neema kwa wananchi wake hasa ongezeko la uzalishaji katika sekta ya kilimo.

 

10 years ago

Mwananchi

Cheyo akaribisha ‘wageni’ kuwania urasi kupitia UDP

Mbunge wa Bariadi  Mashariki na Mwenyekiti wa Chama cha UDP, John Cheyo  amesema wanakaribisha wanachama wa chama chochote cha siasa nchini kuwania nafasi ya urais kupitia chama hicho.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mchakamchaka umeanza Arusha, wagombea Ubunge CCM wamwaga sera

unnamed (1)

Kada maarufu wa chama cha mapinduzi ambaye pia ni mfanyabiashara wa madini jijini Arusha, Justine Nyari, akizungumza katika mkutano wa hadhara wa kujinadi nafasi ya Ubunge kupitia chama cha mapinduzi katika kata mpya ya Sinoni jijini Arusha(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).

unnamed

Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha, Mustafa Panju akizungumza na wananchi wa kata mpya ya Sinoni kuhusu nia yake ya kugombea nafasi ya Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi...

 

11 years ago

Mwananchi

MJADALA: Kasaka, Butiku: Sera ya CCM ni Serikali mbili kwenda moja

>Makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Joseph Butiku na Njelu Kasaka wamesema kuwa msimamo wa chama hicho uliotokana na vikao vyake ni kuelekea Serikali moja na siyo kama kinavyoshikilia sasa kuendelea na Muundo wa Serikali Mbili.

 

5 years ago

Michuzi

CCM wamnasa Kigogo aliyewahi kuwa mkuu wa Idara ya Sera na Itifaki CHADEMA

Na Amiri Kilagalila,Njombe

Aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi,Mkuu wa Idara ya Sera na Itifaki CHADEMA,Mjumbe wa kamati ya Ukawa na kampeni meneja wa Mgombea wa Makam wa Rais Ukawa Bwana,Juju Martin Danda amepokelewa na Chama cha Mapinduzi CCM na kukabidhiwa kadi ya Chama hicho na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Njombe.

Akizungumza dhamira ya kujiunga na Chama hicho,Martin Danda amesema ni kutokana na uozo uliopo katika vyama vya upinzani.

“Nilifanya harakati...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

“CCM Kutumia SERA NA ILANI ZA UONGO: “Lengo Nikubadilisha Imani ya Wapiga Kura”

Asalamu Alaikhum Warahmatullah Wabarakatuhu Ndugu Wazanzibari wenzangu wa Ndani na Nje ya Visiwa Vyetu Adhimu. Ama mimi sina budi ila kumshukuru Allah (SW) Kwakunipa Uzim na wasia wakuandika makala hii ambayo naamini Inaweza kuwa-amsha Wazanzibari wenzangu […]

The post “CCM Kutumia SERA NA ILANI ZA UONGO: “Lengo Nikubadilisha Imani ya Wapiga Kura” appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani