CCM yanadi serikali 2 misikitini
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kinadaiwa kuwatumia baadhi ya masheikh kuhubiri muundo wa muungano wa serikali mbili misikitini. Kwa mujibu wa vyanzo vyetu, kampeni hiyo inasimamia na Katibu Mkuu wa CCM,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo20 Sep
UDP yanadi sera za CCM
![UDP yanadi sera za CCM](http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/john-Cheyo19_478_290.jpg)
MWENYEKITI wa Taifa wa chama cha United Democrat Party (UDP), John Cheyo, ambaye pia ni mgombea anayetetea kiti cha ubunge katika jimbo la Itilima mkoani Simiyu kupitia chama hicho, amezindua kampeni zake kwa kunadi sera za CCM.
Akizindua kampeni hizo jana katika uwanja wa mpira wa kikapu, Cheyo alisema katika sera yake pamoja na chama chake ni kuhakikisha elimu inatolewa bure kuanzia chekechea hadi kidato cha nne.
Mbali na sera hiyo, mgombea ubunge huyo pia alisema kuwa wananchi wakimpa...
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Watu 45 wafariki misikitini Yemen
11 years ago
Habarileo15 Jan
Bakwata yakemea mapinduzi misikitini
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limekemea vitendo vya baadhi ya waumini wa dini hiyo kuvamia na kupora misikitini na kusababisha uvunjifu wa amani.
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Mbaroni kwa utapeli misikitini
KIJANA, John Charles, anashikiliwa katika Kituo cha Polisi Sitakishari, Dar es Salaam kwa tuhuma za utapeli kupitia misikiti. Tanzania Daima ilishuhudia kijana huyo akikamatwa na kufikishwa kwa Mwenyekiti wa Mtaa...
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Watoto 147 wakutwa misikitini Kilimanjaro
NA UPENDO MOSHA, HAI
WATOTO 140 wenye umri kati ya miaka 10 na 21 wamekamatwa wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wakilelewa katika misikiti mitatu tofauti.
Taarifa zilizopatikana wilayani hapa zinasema watoto hao wamekuwa wakifundishwa mafunzo ya dini ya kiislam kinyume cha sheria.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, watoto hao waligundulika baada ya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Hai kupata taarifa na kuwafuatilia kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, kati ya Machi 25 na 27 mwaka huu.
Taarifa...
5 years ago
BBCSwahili23 May
Hali ikoje misikitini wakati huu wa janga la corona?
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Imam Bahloul: Mwanamke aliyefufua mjadala wa wanawake kuongoza ibada misikitini
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
Kamati Kuu CCM yamteua Mangula kuongoza kamati maalum kuandaa ilani ya CCM uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba, ambapo aliwaeleza kuwa Kamati Kuu imemteua Ndugu Philipo Mangula kuongoza Timu ya Kamati Maalum ya CCM itakayoandaa Ilani ya CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pia Kamati Kuu imemteua Ndugu Adam Kimbisa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uhuru Media tarehe 16 Julai 2014.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
9 years ago
CCM BlogKAMATI KUU YA CCM YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI NA WASAIDIZI WAKE, NI KWA KUSIMAMIA VYANZO VYA MAPATO YA SERIKALI, KUDHIBITI MATUMIZI YA SERIKALI NA UHIMIZAJI WANANCHI KUFANAYA KAZI KWA BIDII