Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Imam Bahloul: Mwanamke aliyefufua mjadala wa wanawake kuongoza ibada misikitini

Jina la msomi wa masuala ya Kiislamu Imam Bahloul lilirejelewa mara kwa mara Ijumaa iliopita baada ya swala ya Ijumaa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

HAWZAT IMAM SWADIQ KUONGOZA MAANDAMANO YA KULAANI MAUAJI YA HUKO GAZA

Na Rose Masaka MAELEZO-Dar es Salaam
TAASISI ya  Hawzat Imam Swadiq wameandaa maandamano ya kulaani mashambulizi yanayofanywa na Vikosi vya Israel dhidi ya wananchi wa Palestina wasio na hatia.
Kwa mujibu wa Msemaji wa Taasisi hiyo Profesa Abdul Shariff, maandamano hayo yanalenga kuueleza ulimwengu kuwa wananchi wa Tanzania wanalaani mauaji yanayoendelea huko Gaza Palestina.
Amesema kuwa maandamano hayo  ambayo yatafanyika siku ya Ijumaa  Julai 25 mwaka huu yanatarajia kuanzia Kituo cha...

 

10 years ago

GPL

WANAWAKE WA-IRAN WAFUNGISHWA NDOA NA IMAM SHOGA SWEDEN

Shoga, Imam Zahed akiwafungisha ndoa Maryam Iranfar (mume mwenye mtandio) na Sahar Mosleh (mke). Maryam Iranfar (kushoto) akimbusu mkewake, Sahar Mosleh.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke achaguliwa kuongoza Nepal

Bunge nchini Nepal limemchagua mtetezi wa haki za wanawake Bidhya Devi Bhandari kuwa rais, na kumfanya kuwa mwanamke wa kwanza kabisa kuwa rais nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanawake wa Afrika: Jinsi ya kuchangia mjadala

BBC itaendesha mjadala wa Global Questions ambapo raia watashiriki kwa kuuliza jopo la wataalam jinsi wanawake wanaweza kushirikishwa kikamilifu kuamua mustakabali wa Afrika.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Waziri mwanamke wa Jamaica azua mjadala mtandaoni kwa kupost picha akiwa nusu utupu

Waziri wa Vijana na Utamaduni wa Jamaica , Lisa Hannah amezua mjadala kwa kupost picha akiwa amevaa bikini na top yenye picha ya Bob Marley. Lisa ambaye amewahi kuwa Miss World mwaka 1993, alipost picha hiyo kwenye ukurasa wake wa facebook na kusababisha mjadala juu ya picha hiyo, wengine wakisema sio sahihi kwa kiongozi ambaye […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake wahamasishwa kushiriki Siku ya Mwanamke

WANAWAKE nchini wamehamasishwa kushiriki Siku ya Wanawake Duniani itakayoadhimishwa Machi 15 jijini Dar es Salaam na kujadili masuala mbalimbali ya kumwezesha mwanamke. Mjumbe wa Mradi wa Mwanamakuka (Mwanamakuka Award) ambaye...

 

11 years ago

Michuzi

Wanawake wahamasishwa kushiriki siku ya mwanamke duniani

Mjumbe wa Mradi wa Mwanamakuka (Mwanamakuka Awards) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Wanawake Tanzania,Bi. Margareth Chacha akisisitiza jambo mbele ya washindi wa Mwanamakuka mwaka 2012 na 2013 alipokuwa akiongelea siku ya wanawake duniani tarehe 15 mwezi ujao mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Meneja wa Mradi wa Mwanamakuka ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kituo cha Wanawake Marafiki (Unit of Women Friends),Bi Maryam Shamo.

 

11 years ago

Michuzi

MAMIA YA WANAWAKE WAJITOKEZA KUHUDHURIA SEMINA YA MWANAMKE NA AKIBA

Katika kuitikia wito uliotolewa jana na Mke wa Makamu wa Rais, Mama Asha Bilali wakati akifungua Tamasha la kwanza la kipekee kwa ajili ya wanawake na vijana lililopewa jina la Mwanamke na Akiba, mamia wa kinamama na vijana kutoka maeneo mbalimbali ya jijini Dar es Salaam na mkoa wa Pwani, leo walijitokeza kuhudhuria Semina ya Mwanamke na Akiba inayoendelea kufanyika katika Ukumbi wa Dar Live.
Akizungumza katika Semina hiyo Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Angels Moment, Bi Naima Malima...

 

11 years ago

Mwananchi

SIKU YA WANAWAKE: Shida ya mwanamke ni mila na desturi -Dk Bisimba

>Dunia hii leo inasherekea Sikukuu ya Wanawake, ambayo huadhimishwa Machi 8 ya kila mwaka. Kaulimbiu ya mwaka huu ni Chochea Mabadiliko, Kuleta Usawa wa Kijinsia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani