HAWZAT IMAM SWADIQ KUONGOZA MAANDAMANO YA KULAANI MAUAJI YA HUKO GAZA
Na Rose Masaka MAELEZO-Dar es Salaam
TAASISI ya Hawzat Imam Swadiq wameandaa maandamano ya kulaani mashambulizi yanayofanywa na Vikosi vya Israel dhidi ya wananchi wa Palestina wasio na hatia.
Kwa mujibu wa Msemaji wa Taasisi hiyo Profesa Abdul Shariff, maandamano hayo yanalenga kuueleza ulimwengu kuwa wananchi wa Tanzania wanalaani mauaji yanayoendelea huko Gaza Palestina.
Amesema kuwa maandamano hayo ambayo yatafanyika siku ya Ijumaa Julai 25 mwaka huu yanatarajia kuanzia Kituo cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
Tamko la THBUB kulaani mauaji na matukio ya uvunjifu wa sheria huko Tarime
Makao makuu ya THBUB barabara ya Luthuli jijini Dar.
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Mhe. Bahame Nyanduga.
Tamko la THBUB_Kulaani mauaji na uvunjifu wa sheria.doc
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Viongozi wa Chuo cha Kiislamu cha Imam Swadiq watoa salamu za Krismas
Sheikh Hemed Jalala akiongea na waandhishi wa habari (hawapo pichani).
Sheikh Hemed Jalala akisisitiza jambo.
Waandishi wa habari wakichukua matukio.
Viongozi wa Chuo cha Kiislam cha Imam Swadiq, watoa salamu za pongezi kwa Wakristo katika kusherehekea Sikukuu ya Krismas.
Sheikh Hemed Jalala alisema: “Wakristo ni ndugu zetu kwa msingi mkuu wa ubinadamu, hivyo umoja wa kijamii na kitaifa unaunganishwa na ubinadamu na si itikadi.”
(Habari/Picha: Gabriel Ng’osha)
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Imam Bahloul: Mwanamke aliyefufua mjadala wa wanawake kuongoza ibada misikitini
5 years ago
CCM Blog03 Jun
MAANDAMANO YA KULAANI UKATILI WA POLISI YA MAREKANI YAFANYIKA KENYA NA NIGERIA
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Mauaji ya Imam:Msikiti wapekuliwa London
11 years ago
Habarileo24 Jul
Wapanga kuandamana Ijumaa kulaani mauaji ya Palestina
VYUO vya dini ya Kiislamu vya Hazrat Imam Sadiq vinatarajia kufanya maandamano ya kulaani vitendo wanavyofanyiwa Wapalestina. Maandamano hayo yatafanyika Ijumaa ya mwisho wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
10 years ago
GPLT.F.S.C KUANDAA BONANZA KULAANI, KUPINGA MAUAJI YA ALBINO
10 years ago
Michuzi15 Jul