Wapanga kuandamana Ijumaa kulaani mauaji ya Palestina
VYUO vya dini ya Kiislamu vya Hazrat Imam Sadiq vinatarajia kufanya maandamano ya kulaani vitendo wanavyofanyiwa Wapalestina. Maandamano hayo yatafanyika Ijumaa ya mwisho wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Kuandamana Dar kupinga mauaji Palestina
TAASISI ya Hawzat-Imam-Swadiq (A.S), iliyopo Kigogo Post, jijini Dar es Salaam, imepanga kufanya maandamano kesho kupinga mauaji yanayoendelea Mashariki ya Kati dhidi ya Wapalestina. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana,...
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Baada ya mabasi kuzuiwa kituo cha Mwenge wafanyabiashara wadogo wapanga kuandamana kupinga kuweka meza zao za biashara ndani ya kituo
Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita Mwenge Bila kusimama.
Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote.
Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi Beach kikiwa Kitupu Muda huu.
Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja.
Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge.
Eneo ambalo Daladala zilikuwa nyingi sasa hakuna tena mabasi hayo.
Bajaji zikiendelea na Kazi.
Upande wa Mwenge kwenda Morocco Pia hakuna mabasi...
10 years ago
GPLT.F.S.C KUANDAA BONANZA KULAANI, KUPINGA MAUAJI YA ALBINO
10 years ago
Michuzi15 Jul
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
Tamko la THBUB kulaani mauaji na matukio ya uvunjifu wa sheria huko Tarime
Makao makuu ya THBUB barabara ya Luthuli jijini Dar.
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Mhe. Bahame Nyanduga.
Tamko la THBUB_Kulaani mauaji na uvunjifu wa sheria.doc
11 years ago
Michuzi23 Jul
HAWZAT IMAM SWADIQ KUONGOZA MAANDAMANO YA KULAANI MAUAJI YA HUKO GAZA
TAASISI ya Hawzat Imam Swadiq wameandaa maandamano ya kulaani mashambulizi yanayofanywa na Vikosi vya Israel dhidi ya wananchi wa Palestina wasio na hatia.
Kwa mujibu wa Msemaji wa Taasisi hiyo Profesa Abdul Shariff, maandamano hayo yanalenga kuueleza ulimwengu kuwa wananchi wa Tanzania wanalaani mauaji yanayoendelea huko Gaza Palestina.
Amesema kuwa maandamano hayo ambayo yatafanyika siku ya Ijumaa Julai 25 mwaka huu yanatarajia kuanzia Kituo cha...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8lktNoboX9g/VBrbUvotDeI/AAAAAAAGkSQ/PnKVh99NIIg/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
Tume kujumuika na Wadau kulaani mauaji dhidi ya watu wenye Ualbino
Kauli Mbiu ya maadhimisho haya ya kitaifa ni “Haki ya Amani...