Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapanga kuandamana Ijumaa kulaani mauaji ya Palestina

VYUO vya dini ya Kiislamu vya Hazrat Imam Sadiq vinatarajia kufanya maandamano ya kulaani vitendo wanavyofanyiwa Wapalestina. Maandamano hayo yatafanyika Ijumaa ya mwisho wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kuandamana Dar kupinga mauaji Palestina

TAASISI ya Hawzat-Imam-Swadiq (A.S), iliyopo Kigogo Post, jijini Dar es Salaam, imepanga kufanya maandamano kesho kupinga mauaji yanayoendelea Mashariki ya Kati dhidi ya Wapalestina. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana,...

 

11 years ago

Dewji Blog

Baada ya mabasi kuzuiwa kituo cha Mwenge wafanyabiashara wadogo wapanga kuandamana kupinga kuweka meza zao za biashara ndani ya kituo

unnamed

Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita Mwenge Bila kusimama.

unnamed (1)

 Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote.

unnamed (2)

 Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi Beach kikiwa Kitupu Muda huu.

unnamed (3)

Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja.

unnamed (4)

Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge.

unnamed (5)

Eneo ambalo Daladala zilikuwa nyingi sasa hakuna tena mabasi hayo.

unnamed (6)

unnamed (7)

 Bajaji zikiendelea na Kazi.

unnamed (8)

 Upande wa Mwenge kwenda Morocco Pia hakuna mabasi...

 

10 years ago

GPL

T.F.S.C KUANDAA BONANZA KULAANI, KUPINGA MAUAJI YA ALBINO

Msemaji wa Temeke Family and Sports Club, Maulid Kisoma wa pili kutoka kulia akiongea jambo katika mkutano huo. Mwenyekiti wa Club hiyo, Hassan Mulajani,(wa kwanza kushoto) Katibu Mkuu wa  Club hiyo, Kassim Lumeta(wa pili kushoto) pamoja na Ernest Kimaya (kulia) Mwenyekiti wa Chama…

 

9 years ago

Dewji Blog

Tamko la THBUB kulaani mauaji na matukio ya uvunjifu wa sheria huko Tarime

Makao makuu ya THBUB_Luthuli st. DSM

Makao makuu ya THBUB barabara ya Luthuli jijini Dar.

Mhe. Bahame Nyanduga

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Mhe. Bahame Nyanduga.

Tamko la THBUB_Kulaani mauaji na uvunjifu wa sheria.doc 

 

11 years ago

Michuzi

HAWZAT IMAM SWADIQ KUONGOZA MAANDAMANO YA KULAANI MAUAJI YA HUKO GAZA

Na Rose Masaka MAELEZO-Dar es Salaam
TAASISI ya  Hawzat Imam Swadiq wameandaa maandamano ya kulaani mashambulizi yanayofanywa na Vikosi vya Israel dhidi ya wananchi wa Palestina wasio na hatia.
Kwa mujibu wa Msemaji wa Taasisi hiyo Profesa Abdul Shariff, maandamano hayo yanalenga kuueleza ulimwengu kuwa wananchi wa Tanzania wanalaani mauaji yanayoendelea huko Gaza Palestina.
Amesema kuwa maandamano hayo  ambayo yatafanyika siku ya Ijumaa  Julai 25 mwaka huu yanatarajia kuanzia Kituo cha...

 

10 years ago

Michuzi

Tume kujumuika na Wadau kulaani mauaji dhidi ya watu wenye Ualbino

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa kushirikiana na Chama cha Albino Tanzania (TAS), Under The Same Sun (UTSS) Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu ( SHIVYAWATA), taasisi za kiraia na wadau wengine wameandaa maandamano ya amani sanjari na maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Amani Duniani (International Day of Peace) yatakayofanyika Jumapili Septemba 21,2014 katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Kauli Mbiu ya maadhimisho haya ya kitaifa ni “Haki ya Amani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani