Tume kujumuika na Wadau kulaani mauaji dhidi ya watu wenye Ualbino
![](http://3.bp.blogspot.com/-8lktNoboX9g/VBrbUvotDeI/AAAAAAAGkSQ/PnKVh99NIIg/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa kushirikiana na Chama cha Albino Tanzania (TAS), Under The Same Sun (UTSS) Shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu ( SHIVYAWATA), taasisi za kiraia na wadau wengine wameandaa maandamano ya amani sanjari na maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Amani Duniani (International Day of Peace) yatakayofanyika Jumapili Septemba 21,2014 katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Kauli Mbiu ya maadhimisho haya ya kitaifa ni “Haki ya Amani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Tume ya Haki za Bindamu nchini yatoa mikakati dhidi ya mapambano ya mauaji kwa watu wenye Albinisim
Mwenyekiti wa tume ya Haki za Binadamu nchini, Bwana Bahame Tom Mukirya -Nyanduga (katikati) akiongea na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wao juu ya taarifa ya wadau kukomesha tatizo la mauaji kwa watu wenye Albinisim nchini. Mkutano huo na wandishi wa habari ulifanyika Idara Habari Maelezo,n mwishoni mwa wiki.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Tume ya Haki za Bindamu nchini, inatarajia kufanya tukio kubwa la Kitaifa katika maeneo ya Kanda ya Ziwa Tarehe 13 mwezi Juni...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z5x8hMaxtSM/Vm3TSL3Xa9I/AAAAAAAIMLo/pttfgNVjKnM/s72-c/a1.jpg)
MKURUGENI MKAAZI WA BANK YA DUNIA ACHUKIZWA NA MAUAJI YA WATU WENYE UALBINO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JJZ0SaUgrdA/VTS3-msw1LI/AAAAAAAHSEk/kxE4Y3wRKz4/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
Mh. Lowassa ashiriki Matembezi ya kupiga vita mauaji ya watu wenye Ualbino
![](http://4.bp.blogspot.com/-JJZ0SaUgrdA/VTS3-msw1LI/AAAAAAAHSEk/kxE4Y3wRKz4/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
10 years ago
MichuziJK MGENI RASMI MAADHIMISHO YA KIMATAIFA YA WATU WENYE UALBINO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-giEl4pM0Peo/VUktPMvzU8I/AAAAAAAHVms/ApUHji43qrs/s72-c/unnamed.jpg)
DC WA MISSENYI AWAPATIA MATIBABU YA BURE WATU WENYE UALBINO
![](http://3.bp.blogspot.com/-giEl4pM0Peo/VUktPMvzU8I/AAAAAAAHVms/ApUHji43qrs/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-iYgpoawGKBA/VUktPeBlVgI/AAAAAAAHVmw/HBdV--OBFM8/s640/unnamedmmm.jpg)
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xHXCZPX7nfs/XtE9sYxzhbI/AAAAAAALr_0/mI_M8VcBEgANgBi82HVfw3Za6OD-rTBGwCLcBGAsYHQ/s72-c/ALBINO00000.jpg)
TAS WAIOMBA SERIKALI KUANGALIA NAMNA YA KUWASAIDIA WATU WENYE UALBINO
Chama cha Watu wenye ualbino ( TAS) kimeiomba serikali kuangalia upya sera na miongozo katika sekta ya afya kuwasidia watu wenye ualbino katika upatikanaji wa vifaa kinga ikiwemo mafuta maalumu ya kujipaka ,kama ilivyo katika upatikanaji wa dawa za kufumpaza virusi vya Ukimwi ARV zinavyotolewa bure katika vituo vya afya na zahanati.
Kauri hiyo imetolewa mkoani Morogoro na katibu wa Tas Taifa Musaa Kabimba katika kliniki ya ngozi kwa watu wenye ualbino,...
10 years ago
MichuziSERIKALI YAZINDUA KAMATI YA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA USALAMA ZA WATU WENYE UALBINO
10 years ago
VijimamboSERIKALI YAZINDUA KAMATI YA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA USALAMA ZA WATU WENYE UALBINO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xQ0BzVIchVw/Xk9oIIzN6KI/AAAAAAALeno/kpOhiNhpk_saIwlppuLgoKFvKXX-5-yMgCLcBGAsYHQ/s72-c/fec2b9cf-a54a-4b9d-b607-f4b8464dc9be.jpg)
MDAU WA WATU WENYE UALBINO JOSEPH GORYO ATOA MISAADA SHULE YA MITINDO, MWANZA
MDAU mkubwa wa mambo ya jamii ikiwemo Elimu, Wanawake, Watoto na watu wenye Ualbino Joseph Goryo ametoa misaada mbalimbali shule ya msingi Mitindo iliyoko Wilayani Misungwi mkoani Mwanza.
Misaada hiyo maalum iliyotolewa kwa ajili ya watoto wanaolelewa shuleni hapo ni pamoja na: kandambili PC 100, mashuka 104, masweta ya shule 25, Sketi 10 na miwani kwa watoto wenye ualbino wanaolelewa na kusomea shule hiyo.
Akikabidhi misaada hiyo, Goryo amewaomba wadau mbalimbali kuitembelea shule ya msingi...