Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMIA YA WANAWAKE WAJITOKEZA KUHUDHURIA SEMINA YA MWANAMKE NA AKIBA

Katika kuitikia wito uliotolewa jana na Mke wa Makamu wa Rais, Mama Asha Bilali wakati akifungua Tamasha la kwanza la kipekee kwa ajili ya wanawake na vijana lililopewa jina la Mwanamke na Akiba, mamia wa kinamama na vijana kutoka maeneo mbalimbali ya jijini Dar es Salaam na mkoa wa Pwani, leo walijitokeza kuhudhuria Semina ya Mwanamke na Akiba inayoendelea kufanyika katika Ukumbi wa Dar Live.
Akizungumza katika Semina hiyo Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Angels Moment, Bi Naima Malima...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mamia ya wakazi wa Dodoma wajitokeza kwa wingi katika semina ya ujasiriamali kuhusu biashara ya mtandao

Mamia ya wakazi wa mkoa wa Dodoma na mikoa ya jirani juzi jumanne tarehe 7 /04/2015  karume DAY walijitokeza kwa wingi kwa semina kuhusu biashara ya mtandao ambayo ni biashara ambayo ya karne ya 21 na kuendelea kukua kwa kasi duniani pia hapa nchini na kuwezesha kutengeneza mamilionea kwa wingi bila kujali kiwango chao cha elimu wala kipato na pia huanza kwa mtaji kidogo na bila mkopo toka benki. Mfanyabiashara wa kimataifa na mjasiriamali aliyefanikiwa katika biashara ya mtandao dada...

 

9 years ago

Habarileo

Mamia kuhudhuria kongamano la afya

WATAALAMU wa afya 1,000 na taasisi 100 kutoka sehemu mbalimbali nje na ndani ya nchi wanatarajia kushiriki katika kongamano la pili la wadau wa afya. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Rais wa Kongamano hilo, Omary Chilo wakati akizungumza na waandishi wa habari.

 

10 years ago

Mtanzania

Mamia wajitokeza kumzika Mez B

jeneza(1)NA RAMADHAN HASSAN, DODOMA
MAMIA ya mashabiki na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, jana walijitokeza kuupumzisha mwili wa msanii, Moses Bushangama ‘Mez B’, katika makaburi ya Wahanga wa Treni, Mailimbili mkoani hapa.
Akizungumza wakati wa kuuaga mwili huo, mama wa marehemu, Mchungaji Mary Katambi, aliwataka vijana kumrudia Mungu.
“Mwanangu aliuona uwepo wa Mungu, nilikuwa nikimsihi kuokoka na kumrudia Mungu na alikuwa akinijibu itafika wakati mimi wa yeye kufanya hivyo,” alisema...

 

11 years ago

Mwananchi

Mamia wajitokeza kumzika Gurumo

>Safari ya miaka 74 duniani ya nguli wa muziki wa dansi nchini, Muhidin Mwalimu Gurumo ilifikia tamati jana baada ya kuzikwa kijijini kwake Masaki Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani.

 

10 years ago

Mtanzania

Mamia wajitokeza kumzika Ebby Sykes

sykesNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
SAFARI ya mwisho ya aliyekuwa mkongwe wa muziki wa Ragger nchini ambaye pia ni baba mzazi wa msanii, Dully Sykes, Ebby Sykes (62), imehitimishwa jana kwenye makaburi ya Kisutu, Dar es Salaam.
Mkongwe huyo alifikwa na umauti juzi mchana katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa vidonda miguuni vilivyodaiwa kueneza sumu mwilini mwake kutokana na matumizi ya uvutaji wa sigara.
Wasanii mbalimbali wameonyesha kusikitishwa na kifo...

 

10 years ago

GPL

MAMIA WAJITOKEZA KUMZIKA MWANAMUZIKI SHEM KARENGA

Sehemu ya jeneza la marehemu Karenga.
Mwili ukisitiliwa kaburini.…

 

10 years ago

Bongo5

Video/Picha: Mamia wajitokeza kwa kumzika YP

Msanii wa muziki kutoka kundi la TMK Wanaume Family YP amezikwa Jumatano hii katika makaburi ya Chang’ombe jijini Dar es Salaam. Jeneza likiwa linaingizwa makaburini tayari kwa mazishi Katika mazishi hayo wadau mbalimbali wa muziki, filamu pamoja na wanafamilia wa msanii huyo waliungana kwa pamoja kumsindikiza katika makao yake ya kudumu. Tazama video na picha. […]

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA: MAMIA WAJITOKEZA KUMZIKA BANZA STONE


Mamia ya Waumini wa Kiislam wakiwa wamebeba Jeneza lenye mwili wa Marehemu Ramadhan Masanja 'Banza Stone' wakati wakiutoa mwili huo nyumbani kwao kuelekea Msikitini kwa kuswaliwa na kisha kwenda kuuhifandi kwenye Makaburi ya Sinza, Jijini Dar es salaam alasiri hii.Mamia ya Waumini wa Kiislam wakiwa wamebeba Jeneza lenye mwili wa Marehemu Ramadhan Masanja 'Banza Stone' wakati wakiutoa mwili huo nyumbani kwao kuelekea Msikitini kwa kuswaliwa na kisha kwenda kuuhifandi kwenye Makaburi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani