Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mamia kuhudhuria kongamano la afya

WATAALAMU wa afya 1,000 na taasisi 100 kutoka sehemu mbalimbali nje na ndani ya nchi wanatarajia kushiriki katika kongamano la pili la wadau wa afya. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Rais wa Kongamano hilo, Omary Chilo wakati akizungumza na waandishi wa habari.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAMIA YA WANAWAKE WAJITOKEZA KUHUDHURIA SEMINA YA MWANAMKE NA AKIBA

Katika kuitikia wito uliotolewa jana na Mke wa Makamu wa Rais, Mama Asha Bilali wakati akifungua Tamasha la kwanza la kipekee kwa ajili ya wanawake na vijana lililopewa jina la Mwanamke na Akiba, mamia wa kinamama na vijana kutoka maeneo mbalimbali ya jijini Dar es Salaam na mkoa wa Pwani, leo walijitokeza kuhudhuria Semina ya Mwanamke na Akiba inayoendelea kufanyika katika Ukumbi wa Dar Live.
Akizungumza katika Semina hiyo Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Angels Moment, Bi Naima Malima...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Chiza kuhudhuria kongamano Kubwa la Biashara Visiwa vya Comoro

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Mhe. Mhandisi Christopher Chiza (Mb) ahudhuria Kongamano Kubwa la Biashara kati ya Comoro na Tanzania, litakalofanyika tarehe 23 Aprili, 2015 Visiwani Comoro.
Lengo kuu la kongamano hilo ni “kuongeza kiwango cha biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na Comoro kwa kutambua fursa zilizopo kati ya nchi hizi mbili na kurasimisha biashara ambayo kwa sasa hairatibiwi”.
Kongamano hilo ambalo litawakutanisha viongozi, maafisa...

 

10 years ago

Michuzi

MAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR

Ofisa Uratibu na Matekelezo wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Genoveva Vicent (kulia), akimuelekeza jambo mwananchi aliyetembelea banda la NHIF katika maonyesho ya wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea viwanja vya Manazi Mmoja Dar es Salaam jana. Wengine wa pili kushoto ni Ofisa wa NHIF, Ambrose Manyanda na Ofisa Mawasiliano wa NHIF, Luhende Singu.Ofisa wa NHIF, Ambrose Manyanda (kulia), akimuelekeza jambo mwananchi aliyetembelea banda la NHIF.Mtaalamu wa Maabara wa Hospitali ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM

Ofisa Uratibu na Matekelezo wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Genoveva Vicent (kulia), akimuelekeza jambo mwananchi aliyetembelea banda la NHIF katika maonyesho ya wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea viwanja vya Manazi Mmoja Dar es Salaam jana. Wengine wa pili kushoto ni Ofisa wa NHIF, Ambrose Manyanda na Ofisa Mawasiliano wa NHIF, Luhende Singu.Ofisa wa NHIF, Ambrose Manyanda (kulia), akimuelekeza jambo mwananchi aliyetembelea banda la NHIF.
Mtaalamu wa Maabara wa Hospitali ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete awasili Toronto, Canada kuhudhuria mkutano wa Afya ya Mama na Mtoto

Jakaya-Kikwete

Rais Jakaya Mrisho Kikwete amewasili Toronto Canada tarehe 27 Mei, 2014 usiku  kuhudhuria mkutano unaohusu Afya ya Mama na Mtoto kufuatia mualiko kutoka kwa Waziri Mkuu wa Canada Mheshimiwa Stephen Harper.

Mkutano wa Afya ya Mama na Mtoto , (Maternal, Newborn and Child Health -MNCH) unaanza Leo tarehe 28 – 30 Mei, 2014 ambapo Rais Kikwete pia anatarajiwa kuwa miongoni mwa wazungumzaji wakuu.

Lengo la mkutano huu ni kutoa nafasi kwa wataalamu na viongozi wa dunia kufikia makubaliano kwa...

 

5 years ago

Michuzi

DC MBONEKO AONGOZA MAMIA YA WANAWAKE KONGAMANO LA WANAWAKE 'SHINYANGA WOMEN'S DAY OUT'

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko akizungumza kwenye Kongamano la wanawake "Shinyanga Women's Day Out" lililoandaliwa na kikundi cha wanawake na mabadiliko Women for Change kutoka Shinyanga mjini leo Jumamosi Machi 7,2020. Picha zote na Marco Maduhu - Malunde 1 blog
Waandaaji wa Kongamano la Shinyanga Women's Day Out wakiwa ukumbini.Wanawake wakiwa kwenye Kongamano la Shinyanga Women's Day Out.
Meza Kuu 'VIP' wakiwa kwenye Kongamano la Shinyanga Women's Day Out.Awali Mkuu wa wilaya...

 

11 years ago

Michuzi

Waziri wa Afya na ustawi wa Jamii ahudhuria kongamano la ugonjwa wa Kansa chennai, India

 Waziri wa Afya na ustawi wa Jamii katika picha ya Pamoja na mgeni rasmi Rais wa Idnia Dkt. .APJ Abdul Kalam  baada ya kufungua kongamano linalojadili matokeo ya tafiti mbalimbali zinazohusu magonjwa ya saratani,hatua za kujikinga na magonjwa ya saratani,tiba za magonjwa ya saratani.mkutano huu uluhudhuriwa na washiriki mbalimbali kutoka bara la Afrika na Asia.Kulia kwa waziri wa Afya ni waziri wa Afya wa Zimbabwe Mhe David Parirenyatwa

 Waziri wa Afya na ustawi wa Jamii akifanya...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa afya ahudhuria Kongamano la AFRIKA HEALTHCARE SUMMIT 2015 JIJINI LONDON

Waziri wa Afya na ustawi wa jamii Dkt. Seif S.Rashid (MB) mwenye tai nyekundu mstari wa mbele  akiwa katika sherehe ya ufunguzi ya kongamano hilo. Katika  ni msajili wa baraza la wafamasia lililo chini ya wizara ya afya na ustawi wa jamii Bi.Elizabeth Shekelaghe na wa kwanza kushoto ni Dkt.Mariam Ongalla, mratibu wa kitengo cha "Public Private Partinership" kutoka wizara ya Afya na ustawi wa Jamii.

 

10 years ago

Michuzi

MAMIA YA WAUGUZI DAR ES SALAAM NA BAADHI YA MIKOA WAJITOKEZA KUMUAGA OFISA MKUU WA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII MAREHEMU CLAVERY MPANDANA

Sehemu ya Wauguzi wa Jijini Dar es Salaam na wale wa kutoka mikoa ya jirani wakiwa wamejumuika pamoja kuongoza jeneza lenye mwili wa aliyekuwa  Ofisa Muuguzi Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Clavery Mpandana,aliefariki dunia hivi karibuni katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kabla ya kwenda kuzikwa kwenye makaburi ya Kinondoni,jijini Dar es salaam. Mkurugenzi wa Uuguzi Agnes Mtawa, (kushoto ) akiwa anaanzisha wimbo katika kumuaga  Ofisa Muuguzi Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani