Waziri wa Afya na ustawi wa Jamii ahudhuria kongamano la ugonjwa wa Kansa chennai, India
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cl1CG6Iko38/UvXUdPlEpZI/AAAAAAAFLsc/Txn6QOdCi5Q/s72-c/unnamed+(44).jpg)
Waziri wa Afya na ustawi wa Jamii katika picha ya Pamoja na mgeni rasmi Rais wa Idnia Dkt. .APJ Abdul Kalam baada ya kufungua kongamano linalojadili matokeo ya tafiti mbalimbali zinazohusu magonjwa ya saratani,hatua za kujikinga na magonjwa ya saratani,tiba za magonjwa ya saratani.mkutano huu uluhudhuriwa na washiriki mbalimbali kutoka bara la Afrika na Asia.Kulia kwa waziri wa Afya ni waziri wa Afya wa Zimbabwe Mhe David Parirenyatwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-V_kj-3Sc0os/UvXUeg49ckI/AAAAAAAFLsk/qPYQMv5raV4/s1600/unnamed+(45).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII WATOA TAARIFA YA UGONJWA WA KIPINDUPINDU
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Dk Kigwangalla-Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
Dk Hamis Andrea Kigwangalla ndiye Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto katika Serikali ya Awamu ya Tano, ameteuliwa katika baraza la mwanzo la mawaziri la Rais John Pombe Magufuli.
10 years ago
MichuziWaziri wa afya ahudhuria Kongamano la AFRIKA HEALTHCARE SUMMIT 2015 JIJINI LONDON
11 years ago
MichuziWAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII AZINDUA NEMBO MPYA YA AMREF HEALTH AFRICA TANZANIA
wa Amref Health Africa baada ya Uzinduzi.
SHIRIKA la kimataifa...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII AZINDUA BODI MPYA YA USHAURI WA UONGOZI WA HOSPITALI BINAFSI NCHINI
Na Dotto Mwaibale
SERIKALI imesema itaainisha ukomo wa tozo kwa kila huduma inayotolewa kwa kila ngazi ya kituo cha huduma ili kudhibiti gharama za huduma za afya nchini.
Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid Dar es Salaam leo asubuhi wakati akizindua bodi mpya ya ushauri ya Hospitali binafsi nchini.
Dk. Rashid alisema hatua hiyo imekuja baada ya kuwepo kwa malalamiko kuhusu huduma zinazotolewa na hospitali hizo hivyo hatua hiyo itasaidia kuboresha mfumo na...
SERIKALI imesema itaainisha ukomo wa tozo kwa kila huduma inayotolewa kwa kila ngazi ya kituo cha huduma ili kudhibiti gharama za huduma za afya nchini.
Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid Dar es Salaam leo asubuhi wakati akizindua bodi mpya ya ushauri ya Hospitali binafsi nchini.
Dk. Rashid alisema hatua hiyo imekuja baada ya kuwepo kwa malalamiko kuhusu huduma zinazotolewa na hospitali hizo hivyo hatua hiyo itasaidia kuboresha mfumo na...
10 years ago
Vijimambo07 Jun
NAIBU WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII,DK STEPHEN KEBWE AHITIMISHA KAMPENI YA FISTULA MJINI DODOMAâ€
![](http://api.ning.com/files/Bsue-*vlnnbc2SKozOrKel2VFCrkfDgYktZ7HwCtz1-G8rFuHbO*CrBShOOKi8*iq8PC4RM3muMaqqzjKgrEJSmSJjPyxhJt/fistulawasanii.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/Bsue-*vlnna7D76s*te7z2wRLNeikuiiFyYUKUZAKKYhbRZFmhCe034cr3jPtmUQ5amxdY0RTsflDpIQ11rKdjoLA6l3O82E/fistulawasanii_02.jpg?width=650)
10 years ago
MichuziWaziri wa Afya na ustawi wa Jamii akabidhi tuzo na kutembelea Hospitali ya Rufaa kanda ya Kati singida
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aUrjaSbgWbg/Ux1x7aZYIRI/AAAAAAAFShs/m6i6CAitofQ/s72-c/unnamed+(64).jpg)
WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII Dkt.SEIF S.RASHID(Mb) AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 15 WA PRINMAT 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-aUrjaSbgWbg/Ux1x7aZYIRI/AAAAAAAFShs/m6i6CAitofQ/s1600/unnamed+(64).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aWwP03vpddo/Ux1x8Ubf_eI/AAAAAAAFSh0/Ma4qB5izfS0/s1600/unnamed+(61).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania