WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII AZINDUA BODI MPYA YA USHAURI WA UONGOZI WA HOSPITALI BINAFSI NCHINI
Na Dotto Mwaibale
SERIKALI imesema itaainisha ukomo wa tozo kwa kila huduma inayotolewa kwa kila ngazi ya kituo cha huduma ili kudhibiti gharama za huduma za afya nchini.
Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid Dar es Salaam leo asubuhi wakati akizindua bodi mpya ya ushauri ya Hospitali binafsi nchini.
Dk. Rashid alisema hatua hiyo imekuja baada ya kuwepo kwa malalamiko kuhusu huduma zinazotolewa na hospitali hizo hivyo hatua hiyo itasaidia kuboresha mfumo na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII AZINDUA NEMBO MPYA YA AMREF HEALTH AFRICA TANZANIA
wa Amref Health Africa baada ya Uzinduzi.
SHIRIKA la kimataifa...
10 years ago
Michuzi22 Mar
ZIARA YA KIKAZI YA BODI YA USHAURI YA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII (MAB) KWA TFDA JIJINI ARUSHA
10 years ago
MichuziWaziri wa Afya na ustawi wa Jamii akabidhi tuzo na kutembelea Hospitali ya Rufaa kanda ya Kati singida
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Dk. Seif azindua bodi ya ushauri huduma za afya
WAJUMBE wapya wa bodi ya ushauri ya uongozi wa hospitali binafsi, wametakiwa kuhakikisha sheria inayosimamia vituo vya kutolea huduma za afya inafanyiwa maboresho ili usimamizi uwe na ufanisi zaidi. Akizungumza...
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Dk Kigwangalla-Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-S5H1zKYU8YE/VkDTYds2YsI/AAAAAAAIFF4/gCDOTHs_PU0/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
BREAKING NYUZZZZZ.....: RAIS MAGUFULI AVUNJA BODI YA UONGOZI WA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI, ATEUA UONGOZI MPYA WA MUDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-S5H1zKYU8YE/VkDTYds2YsI/AAAAAAAIFF4/gCDOTHs_PU0/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
“ Rais amesikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya huduma kwa wagonjwa hususan wanaolala chini. Pia amekasirishwa na hali ya kutokujali wala kushughulikia vifaa vya kufanyia kazi ambapo amekuta mashine muhimu za uchunguzi wa magonjwa kama vile MRI na CT-SCAN zikiwa hazifanyi kazi kwa muda wa miezi miwili...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Cl1CG6Iko38/UvXUdPlEpZI/AAAAAAAFLsc/Txn6QOdCi5Q/s72-c/unnamed+(44).jpg)
Waziri wa Afya na ustawi wa Jamii ahudhuria kongamano la ugonjwa wa Kansa chennai, India
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cl1CG6Iko38/UvXUdPlEpZI/AAAAAAAFLsc/Txn6QOdCi5Q/s1600/unnamed+(44).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V_kj-3Sc0os/UvXUeg49ckI/AAAAAAAFLsk/qPYQMv5raV4/s1600/unnamed+(45).jpg)
10 years ago
VijimamboNAWERA AITAKA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII KUPUNGUZA BEI KUBWA ZA DAWA NCHINI
MWENYEKITI wa Chama cha Walaji na Tiba Tanzania , Elias Nawera, ameitaka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kutatua changamoto ya bei kubwa ya dawa za binadamu wanayotozwa Watanzania.
Nawera alisema sera ya afya inasema kila mtu ana haki ya kupata huduma za afya kwa bei nafuu, lakini bado Watanzania wengi wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kununua dawa kwa bei kubwa.“Tunaomba Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii aingilie kati suala hili,wanaoteseka kwa kiwango...