Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake wahamasishwa kushiriki Siku ya Mwanamke

WANAWAKE nchini wamehamasishwa kushiriki Siku ya Wanawake Duniani itakayoadhimishwa Machi 15 jijini Dar es Salaam na kujadili masuala mbalimbali ya kumwezesha mwanamke. Mjumbe wa Mradi wa Mwanamakuka (Mwanamakuka Award) ambaye...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Wanawake wahamasishwa kushiriki siku ya mwanamke duniani

Mjumbe wa Mradi wa Mwanamakuka (Mwanamakuka Awards) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Wanawake Tanzania,Bi. Margareth Chacha akisisitiza jambo mbele ya washindi wa Mwanamakuka mwaka 2012 na 2013 alipokuwa akiongelea siku ya wanawake duniani tarehe 15 mwezi ujao mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Meneja wa Mradi wa Mwanamakuka ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kituo cha Wanawake Marafiki (Unit of Women Friends),Bi Maryam Shamo.

 

11 years ago

Michuzi

UWF kuandaa hafla ya family day machi 15 escape one jijini dar,wanawake wahamasishwa kushiriki siku ya mwanamke duniani

 Mchoro wa tuzo ya Mwanamakuka kama uonekanavyo pichani  Kushoto ni Meneja wa Mradi wa Mwanamakuka ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kikundi cha Umoja wa Wanawake Marafi (Unit of Women Friends).Bi Maryam Shamo akifafanua jambo mbele ya Wanahabari (hawapo pichani) pamoja na Washindi wa tuzo ya Mwanamakuka 2012/2013,kuhusiana na hafla yao wanayoitarajia kuifanya siku ya Wanawake Duniani mnamo Machi,15 mwaka huu,ambayo imepangwa kufanyika ndani ya kiota kipya cha maraha na burudani,Escape One...

 

5 years ago

Michuzi

DAWASA WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUSHIRIKI UZALISHAJI MAJI MTAMBO WA RUVU CHINI

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, Mamlaka ya maji safi na Usafi Dar es Salaam na Pwani DAWASA kwa watendaji wanawake kuhusika katika uzalishaji wa maji.
Wanawake wa Dawasa wameshiriki katika uzalishaji maji katika chanzo cha maji cha Ruvu Chini.
Akizungumzia Siku ya wanawake ambayo huadhimishwa Machi 08 kila mwaka, Mkurugenzi wa Mahusiano na Jamii Dawasa , Neli Msuya amesema wameamua kushiriki maadhimisho hayo kwa kwenda chanzo cha Ruvu Chini ili...

 

11 years ago

Mwananchi

SIKU YA WANAWAKE: Shida ya mwanamke ni mila na desturi -Dk Bisimba

>Dunia hii leo inasherekea Sikukuu ya Wanawake, ambayo huadhimishwa Machi 8 ya kila mwaka. Kaulimbiu ya mwaka huu ni Chochea Mabadiliko, Kuleta Usawa wa Kijinsia.

 

9 years ago

Habarileo

Wanawake wahamasishwa kupiga kura

SHIRIKA lisilo la kiserikali ya Woman Wake Up (Wowap) limewataka wanawake wote kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura na kuchagua viongozi wanaowataka ambao watajali maslahi yao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanawake wahamasishwa kuwania uongozi TZ

Wanawake visiwani Unguja wahamasishwa kuwania uongozi

 

9 years ago

Dewji Blog

Wanawake wakiafrika wahamasishwa kujiunga na sekta ya usafiri wa anga

Ann-Marie Lewis

Rubani mwanamke, Anne-Marie Lewis.

Pamoja na kwamba uwepo wa  wanawake katika sekta ya usafiri wa anga bado ni mdogo, uwezo wa kuwa viongozi katika usafiri wa anga hauna mwiko. Wanawake barani Afrika hawapaswi kuogopa kuwa sehemu ya sekta hii inayokua barani kote. Hayo ni maneno kutoka kwa rubani mwanamke wa kwanza kuongoza ndege aina ya Airbus A380 inayomilikiwa na kampuni la fastjet Tanzania, rubani Anne-Marie Lewis, ambaye huongoza ndege hii ya Airbus katika mikoa ya Tanzania na nchi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke wa Iran apata agizo la jaji kushiriki katika soka

Mwanamke mmoja ambaye ni nyota wa soka nchini Iran amefanikiwa kushiriki katika mchuano mmoja ughaibuni baada ya jaji kuzuia juhudi za mumewe za kumtaka kutosafiri.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani