Wanawake wahamasishwa kushiriki Siku ya Mwanamke
WANAWAKE nchini wamehamasishwa kushiriki Siku ya Wanawake Duniani itakayoadhimishwa Machi 15 jijini Dar es Salaam na kujadili masuala mbalimbali ya kumwezesha mwanamke. Mjumbe wa Mradi wa Mwanamakuka (Mwanamakuka Award) ambaye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hSh4UwcCdp4/UwCZy3dME2I/AAAAAAAFNa0/TzKI4dzS7vU/s72-c/unnamed+(20).jpg)
Wanawake wahamasishwa kushiriki siku ya mwanamke duniani
![](http://2.bp.blogspot.com/-hSh4UwcCdp4/UwCZy3dME2I/AAAAAAAFNa0/TzKI4dzS7vU/s1600/unnamed+(20).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Tluf1yuq8v8/UwEpxIGls6I/AAAAAAACawM/AnsMIMFWA44/s72-c/1.jpg)
UWF kuandaa hafla ya family day machi 15 escape one jijini dar,wanawake wahamasishwa kushiriki siku ya mwanamke duniani
![](http://4.bp.blogspot.com/-Tluf1yuq8v8/UwEpxIGls6I/AAAAAAACawM/AnsMIMFWA44/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lOv7YeSliUI/UwEokWw-XiI/AAAAAAACawE/sRsgVkk0Jrw/s1600/3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-v3GVFzgjVTE/XmZQT4v-CAI/AAAAAAABMtI/_DJtSzNqqjQGLlGJh79HmxO0tyZp2HtNgCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200307_122549_073.jpg)
DAWASA WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUSHIRIKI UZALISHAJI MAJI MTAMBO WA RUVU CHINI
Katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, Mamlaka ya maji safi na Usafi Dar es Salaam na Pwani DAWASA kwa watendaji wanawake kuhusika katika uzalishaji wa maji.
Wanawake wa Dawasa wameshiriki katika uzalishaji maji katika chanzo cha maji cha Ruvu Chini.
Akizungumzia Siku ya wanawake ambayo huadhimishwa Machi 08 kila mwaka, Mkurugenzi wa Mahusiano na Jamii Dawasa , Neli Msuya amesema wameamua kushiriki maadhimisho hayo kwa kwenda chanzo cha Ruvu Chini ili...
11 years ago
Mwananchi08 Mar
SIKU YA WANAWAKE: Shida ya mwanamke ni mila na desturi -Dk Bisimba
9 years ago
Habarileo17 Oct
Wanawake wahamasishwa kupiga kura
SHIRIKA lisilo la kiserikali ya Woman Wake Up (Wowap) limewataka wanawake wote kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura na kuchagua viongozi wanaowataka ambao watajali maslahi yao.
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Wanawake wakiafrika wahamasishwa kujiunga na sekta ya usafiri wa anga
Rubani mwanamke, Anne-Marie Lewis.
Pamoja na kwamba uwepo wa wanawake katika sekta ya usafiri wa anga bado ni mdogo, uwezo wa kuwa viongozi katika usafiri wa anga hauna mwiko. Wanawake barani Afrika hawapaswi kuogopa kuwa sehemu ya sekta hii inayokua barani kote. Hayo ni maneno kutoka kwa rubani mwanamke wa kwanza kuongoza ndege aina ya Airbus A380 inayomilikiwa na kampuni la fastjet Tanzania, rubani Anne-Marie Lewis, ambaye huongoza ndege hii ya Airbus katika mikoa ya Tanzania na nchi...
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Mwanamke wa Iran apata agizo la jaji kushiriki katika soka