Bakwata yakemea mapinduzi misikitini
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limekemea vitendo vya baadhi ya waumini wa dini hiyo kuvamia na kupora misikitini na kusababisha uvunjifu wa amani.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 May
CCM yanadi serikali 2 misikitini
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kinadaiwa kuwatumia baadhi ya masheikh kuhubiri muundo wa muungano wa serikali mbili misikitini. Kwa mujibu wa vyanzo vyetu, kampeni hiyo inasimamia na Katibu Mkuu wa CCM,...
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Watu 45 wafariki misikitini Yemen
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Mbaroni kwa utapeli misikitini
KIJANA, John Charles, anashikiliwa katika Kituo cha Polisi Sitakishari, Dar es Salaam kwa tuhuma za utapeli kupitia misikiti. Tanzania Daima ilishuhudia kijana huyo akikamatwa na kufikishwa kwa Mwenyekiti wa Mtaa...
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Watoto 147 wakutwa misikitini Kilimanjaro
NA UPENDO MOSHA, HAI
WATOTO 140 wenye umri kati ya miaka 10 na 21 wamekamatwa wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wakilelewa katika misikiti mitatu tofauti.
Taarifa zilizopatikana wilayani hapa zinasema watoto hao wamekuwa wakifundishwa mafunzo ya dini ya kiislam kinyume cha sheria.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, watoto hao waligundulika baada ya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Hai kupata taarifa na kuwafuatilia kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, kati ya Machi 25 na 27 mwaka huu.
Taarifa...
5 years ago
BBCSwahili23 May
Hali ikoje misikitini wakati huu wa janga la corona?
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Imam Bahloul: Mwanamke aliyefufua mjadala wa wanawake kuongoza ibada misikitini
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Serikali Bunda yakemea ukabila
MKUU wa Wilaya ya Bunda, Joshua Mirumbe, amekemea ubaguzi wa kikabila kati ya Wajaluo na Wajita, ulioanza kujitokeza katika Kijiji cha Karukekere, kilichoko wilayani Bunda, mkoani Mara. Mirumbe, alitoa onyo...
11 years ago
Habarileo24 May
Serikali yakemea utesaji mifugo
SERIKALI imekemea tabia inayozidi kujengeka ya kutesa mifugo kwa kuinyima chakula na maji, kuipiga risasi au kuikata mapanga kwa kisingizio cha migogoro ya ardhi. Aidha, imesisitiza wafugaji kuheshimu shughuli za watumiaji wengine wa ardhi kwani jamii zote zinategemeana.
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Bavicha yakemea kauli za CCM