MJADALA: Kasaka, Butiku: Sera ya CCM ni Serikali mbili kwenda moja
>Makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Joseph Butiku na Njelu Kasaka wamesema kuwa msimamo wa chama hicho uliotokana na vikao vyake ni kuelekea Serikali moja na siyo kama kinavyoshikilia sasa kuendelea na Muundo wa Serikali Mbili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili07 Jan
Sera ya uhamiaji yazua mjadala UK
11 years ago
Mwananchi19 Feb
CCM watofautiana Serikali mbili
11 years ago
Habarileo18 Feb
CCM yasisitiza Serikali mbili
WAKATI Bunge Maalumu la Katiba likianza leo mjini hapa, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesisitiza kuwa msimamo wa kuwapo kwa Serikali mbili na kuunga mkono maoni ya wengi, lakini ikaonya kuwa si vyema kutishana na kuburuzana.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kBCKc186hLM/VdX1M01byoI/AAAAAAAHyp4/GZTNT9UjIT8/s72-c/Mkwasa1.png)
STARS KWENDA UTURUKI MOJA KWA MOJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-kBCKc186hLM/VdX1M01byoI/AAAAAAAHyp4/GZTNT9UjIT8/s640/Mkwasa1.png)
Awali Taifa Stars ilikua ipitie Muscat nchini Oman kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya taifa ya nchi hiyo, lakini kutokana na shirkikisho la Soka la Oman kushindwa kukidhi mahitaji ya Kanuni za FIFA za uuandaaji wa mechi ya kimataifa ya kirafiki sasa mchezo huo...
11 years ago
Mwananchi21 Mar
‘CCM ina masilahi na Serikali mbili’
11 years ago
Habarileo20 Mar
CCM-Tunataka serikali mbili lakini hatulazimishi
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesisitiza msimamo wake kuhusu muundo wa Muungano ni serikali mbili, lakini ikiwa wananchi wataamua vinginevyo katika mchakato unaoendelea, wataheshimu uamuzi. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye leo aliwaambia waandishi wa habari kuwa, CCM inaendelea kuamini katika Muungano wa Serikali mbili na itasimamia hilo ingawa haimlazimishi mtu, taasisi wala chama chochote kuamini katika msimamo huo.
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Tuwaulize CCM, bila serikali mbili, watakufa?