Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MJADALA: Kasaka, Butiku: Sera ya CCM ni Serikali mbili kwenda moja

>Makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Joseph Butiku na Njelu Kasaka wamesema kuwa msimamo wa chama hicho uliotokana na vikao vyake ni kuelekea Serikali moja na siyo kama kinavyoshikilia sasa kuendelea na Muundo wa Serikali Mbili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Sera ya uhamiaji yazua mjadala UK

Zaidi ya robo ya raia wa Uingereza wanataka kuona swala la uhamiaji likikomeshwa.

 

11 years ago

Mwananchi

CCM watofautiana Serikali mbili

Baadhi ya wabunge wa CCM ambao ni wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wamepinga msimamo wa chama hicho unaowataka kutetea muundo wa Serikali mbili katika mijadala ya Bunge hilo.

 

11 years ago

Habarileo

CCM yasisitiza Serikali mbili

WAKATI Bunge Maalumu la Katiba likianza leo mjini hapa, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesisitiza kuwa msimamo wa kuwapo kwa Serikali mbili na kuunga mkono maoni ya wengi, lakini ikaonya kuwa si vyema kutishana na kuburuzana.

 

9 years ago

Michuzi

STARS KWENDA UTURUKI MOJA KWA MOJA

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro sasa itaondoka nchini siku ya jumapili usiku kuelekea Istambul nchini Uturuki kwa kambi ya siku nane kujiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria Septemba 05, 2015.
Awali Taifa Stars ilikua ipitie Muscat nchini Oman kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya taifa ya nchi hiyo, lakini kutokana na shirkikisho la Soka la Oman kushindwa kukidhi mahitaji ya Kanuni za FIFA za uuandaaji wa mechi ya kimataifa ya kirafiki sasa mchezo huo...

 

11 years ago

Mwananchi

‘CCM ina masilahi na Serikali mbili’

>Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesisitiza msimamo wake wa kutaka kuendelea na muundo wa Serikali mbili huku kikiweka wazi kuwa kina masilahi makubwa na mfumo huo.

 

11 years ago

Habarileo

CCM-Tunataka serikali mbili lakini hatulazimishi

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesisitiza msimamo wake kuhusu muundo wa Muungano ni serikali mbili, lakini ikiwa wananchi wataamua vinginevyo katika mchakato unaoendelea, wataheshimu uamuzi. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye leo aliwaambia waandishi wa habari kuwa, CCM inaendelea kuamini katika Muungano wa Serikali mbili na itasimamia hilo ingawa haimlazimishi mtu, taasisi wala chama chochote kuamini katika msimamo huo.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwaulize CCM, bila serikali mbili, watakufa?

Aprili 26 mwaka huu, Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar unatimiza miaka 50. Maadhimisho hayo yanakwenda sanjari na mchakato wa Katiba mpya unaochukuliwa kama suluhisho la malalamiko ya muda mrefu kati ya pande mbili za Muungano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani