MAALIM SEIF ATEMBELEA KISIMA KINACHOSADIKIWA KUWA NA MAFUTA KATIKA ENEO LA TUNDAUWA,ZANZIBAR
Na: Hassan Hamad, OMKRMgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ametembelea kisima kinachosadikiwa kuwa na mafuta katika eneo la Tundauwa, na kusema kuwa mafuta ya Zanzibar yatachimbwa katika kipindi kifupi kijacho.
Amesema kwa miaka mingi Zanzibar imeshindwa kuchimba mafuta yake kutokana na kutokuwepo mikakati imara, na kuahidi kuwa iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar atahakikisha kuwa suala hilo linawekewa mikakati imara ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cu2qYYyNUzc/UvozjuZUoII/AAAAAAAFMZA/TvN4uDVriHc/s72-c/unnamed+(90).jpg)
Maalim Seif atembelea sehemu inayoingia maji ya chumvi katika eneo la Kilimani mjini Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-cu2qYYyNUzc/UvozjuZUoII/AAAAAAAFMZA/TvN4uDVriHc/s1600/unnamed+(90).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VTJeoqxs75o/Uvozj963obI/AAAAAAAFMZI/PpFz656mz18/s1600/unnamed+(91).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tD5wO4IkCWo/Uvozj0EjuZI/AAAAAAAFMZE/2mR94Uck0ZE/s1600/unnamed+(92).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-yCqf3WZJQiE/VG2RnLa9a_I/AAAAAAABcU4/n7_RbUjlZhk/s72-c/shangani%2Bpix.jpg)
MAALIM SEIF ATEMBELEA ENEO LA JENGO LILILOANGUKA JANA MJI MKONGWE ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-yCqf3WZJQiE/VG2RnLa9a_I/AAAAAAABcU4/n7_RbUjlZhk/s1600/shangani%2Bpix.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0aPElGNNJXY/VG2RtgWSPeI/AAAAAAABcVA/PxtUqu9_G58/s1600/shangani.jpg)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amezitaka Mamlaka zinazosimamia majengo katika enelo la Mji Mkongwe Zanzibar kuwa na utaratibu mzuri wa kuyakagua ili kuhakikisha uimara wake na kuepusha maafa kwa watumiaji na jamii nzima.
Maalim...
11 years ago
MichuziMaalim Seif atembelea eneo la Mji Mkongwe Zanzibar kuangalia mradi wa ujenzi wa hoteli ya kisasa ya Grand Hyatt
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF ATEMBELEA MASOKO KUANGALIA UPATIKANAJI WA VYAKULA KATIKA KIPINDI HIKI CHA MFUNGO WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gDRvUbeGG0s/U9P3GacYBeI/AAAAAAAF6pY/JBHNVd8RQAg/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad, atembelea maduka mbali mbali ya nguo na viatu katika maeneo ya Mlandege, Mchangani na Darajani Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-gDRvUbeGG0s/U9P3GacYBeI/AAAAAAAF6pY/JBHNVd8RQAg/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AQerfULHSlg/U9P3G1MPEdI/AAAAAAAF6pc/1BA2KHqgMKE/s1600/unnamed+(9).jpg)
9 years ago
MichuziMAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR MAALIM SEIF ATEMBELEA KIWANJA CHA NDEGE ZANZIBAR
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R5yj_tI-0P0/U7hD6QhYiKI/AAAAAAAFvLQ/pl2yID01TJU/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Maalim Seif atembelea masoko ya manispaa ya Zanzibar.
9 years ago
Vijimambo12 Sep
MAALIM SEIF AAHIDI MAFUTA, GESI NDANI YA SIKU 100 ZANZIBAR
![Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF,](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2867330/highRes/1117034/-/maxw/600/-/3xnm11z/-/Sef.jpg)
Maalim Seif alisema hayo juzi kwenye viwanja vya Tibirinzi mkoani Kusini Pemba alipokuwa akizungumza na wananchi na wafuasi wa vyama vinavyounda Ukawa.
Aliwaomba wananchi wa Unguja na Pemba wampe ridhaa ya kuongoza visiwa vya Zanzibar ili aweze kuwaletea maendeleo...
9 years ago
Mwananchi12 Sep
Maalim Seif aahidi mafuta, gesi ndani ya siku 100 Zanzibar
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10