Gesi kuathiri soko la mafuta
Katibu Mkuu mstaafu wa Wizara ya Nishati na Madini kuanzia mwaka 1972 hadi 1974, Dk Ben Moshi amekiri kwamba ujio wa matumizi ya gesi katika huduma mbalimbali nchini, unaweza kuathiri kampuni nyingi za mafuta zinazofanya biashara nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Bei ya mafuta kuathiri utafutaji wa gesi Tz
11 years ago
MichuziKampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala yakaribishwa rasmi Soko la Hisa la Dar
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala yakaribishwa rasmi Soko la Hisa la Dar es Salaam
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala Bw. David Mestres akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa sherehe za kukaribishwa rasmi kwa kampuni ya Swala kwenye soko la Hisa la Dar Es Salaam.
Mwenyekiti wa Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala Bw. Ernest...
11 years ago
Mwananchi11 May
Mvua zahofiwa kuathiri mradi wa bomba la gesi
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Mawakili kusomea gesi, mafuta
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
‘Zanzibar haitaruhusu mafuta, gesi’
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema Zanzibar haiwezi kuruhusu kuchimbwa mafuta na gesi asilia kabla haijawa na sheria na sera juu ya mafuta hayo....
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Watanzania wanaamini gesi, mafuta vitawanufaisha
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Wadau wa mafuta na gesi ‘wapigwa msasa’
KAMPUNI ya MDT kwa kushirikiana na Calderberg International Enegy Corporation imeandaa kozi maalumu kuhusiana na gesi na mafuta nchini kwa ajili ya wadau wa sekta hiyo. Akizungumza na waandishi wa...
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
‘Ruksa kununua hisa mafuta na gesi’
NA RACHEL KYALA
SERIKALI kwa mara ya kwanza imetoa fursa kwa wananchi ya kuwekeza kwa kununua hisa katika sekta ya mafuta na gesi.
Hatua hiyo imekuja kufuatia serikali kutoa kibali kwa Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala, kuwa ya kwanza kuuza hisa Afrika Mashariki na kumilikiwa na wazawa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Swala, David Ridge, akizungumza jijini Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa uuzaji wa hisa, aliwataka watanzania kuchangamkia fursa hiyo ili kuinua uchumi wao na wa taifa kwa...