Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Forums ya maarifa ya IT Tanzania: Jifunze kutenda

Katika maendeleo ya jamii yoyote, moja ya kitu muhimu ni kukuwa kwa maarifa ya wanajamii. Maarifa yatakayowapa uwezo wa kutumia ujuzi kwenye kutenda. Haijalishi upo kwenye fani gani, bali siku ya mwisho ni lazima uweze kutenda na siyo kuishia vitabuni.
 Kwa miaka mingi, nimekuwa nikifuatilia tatizo la ajira, umasikini nk hapa nchini, ingawa kuna mambo mengi sana ndani yake, lakini mzizi wa yote ni maarifa. Kizazi chetu SIYO kizazi cha watu wenye maarifa. Hii inawezekana ni kutokana na uvivu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

CHONDE CHONDE WATUMIAJI WA INTERNETI TUMIENI TEKNOLOJIA HII KUPATA MAARIFA-VODACOM TANZANIA

Watumiaji wa teknolojia ya interneti nchini wametakiwa kutumia teknolojia hii kutafuta taarifa mbalimbali za maarifa na zenye  mwelekeo wa kuleta maendeleo badala ya kutumia teknolojia hii kutafuta taarifa zisizo na faida na zenye mwelekeo wa kupotosha kizazi cha sasa kimaadili.Wito huu umetolewa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia,katika siku ya matumizi ya interneti duniani iliyoadhimishwa leo duniani kote ambako alisema kuwa Vodacom kama...

 

10 years ago

Michuzi

Farmer Forums held in Bunda District

Dominicas Lusasi District Administrative Secretary - Bunda district talk to farmers of being motivated to have the best cotton crop at farmers forum held in Bunda district to give farmers an opportunity to discuss of the milestones and challenges in the sector while exploring expectations for the next season. Mr Japhet Kwangula drives his point home on the importance of getting input on time and in the quantity required. This was at farmers forum held in Bunda district to give farmers an...

 

10 years ago

IPPmedia

Two major media forums lined up for this week Dar


IPPmedia
Two major media forums lined up for this week Dar
IPPmedia
Two major media forums will this week (Thursday and Friday) be held in the commercial port city of Dar es Salaam ahead of the glamorous CNN Multichoice African Journalist of the Year Competition award night on Saturday. A senior journalist with The ...

 

10 years ago

Mwananchi

Sawa mnajua kuongea, kutenda je?

Wikiendi imefika, bila shaka kila mtu anawaza burudani na siyo mbaya kuburudika, ilimradi iwe ya kistaarabu, huku tukitafakari hili na lile linalojiri katika maisha yetu ya kila siku.

 

10 years ago

GPL

HABARI NJEMA KWA WANABLOG, FORUMS WATANZANIANIA JUU UANDIKISHAJI WANACHAMA TBN

Chama cha Wamiliki/Waendeshaji wa Mitandao ya Jamii nchini 'Tanzania Bloggers Network' - TBN kinapenda kuwajulisha wanaotaka kujiunga na chama hicho kuwa fomu za kujiunga zinatolewa. Wahusika ni wamiliki na waendeshaji wote wa mitandao ya kijamii (blogs na forums) Tanzania na Watanzania wanaofanya kazi kama hiyo nje ya nchi. Sifa kuu kwa mwanachama ni kuwa na blog ambayo ina umri wa miezi sita tangu ianze kuendeshwa mfululizo....

 

9 years ago

Michuzi

Mwili wa marehemu Dotto Mzava wa Jamii Forums wasafirishwa kuelekea Same Kilimanjaro kwaajili ya mazishi

 Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dotto Mzava likishushwa Kwenye gari maalum mara baada ya kuwasili katika kanisa la Wasabato Manzese uzuri kwaajili ya sala ya kuombea kabla ya Mwili kusafirishwa kuelekea Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro.

 Heshima za mwisho zikiendelea kutolewa kwa mwili wa marehemu Dotto Mzava kabla haujasafirishwa kuelekea Same Kilimanjaro kwaajili ya mazishi Mchungaji wa kanisa la Adventist wasabato akiendelea na ibada wakati wa ibada ya kumuombea marehemu kabla ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wa M23 wakana kutenda uovu

Kundi la wasi la M23 limekanusha madai ya kufanya uovu kama vile mauji ya kiholela pamoja na ubakaji katika eneo lililokuwa likidhidhiti katika Kivu Kaskazini.

 

10 years ago

Habarileo

Dk Shein ahakikishiwa mahakimu kutenda haki

Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omar Othman MakunguJAJI Mkuu wa Zanzibar, Omar Othman Makungu amemhakikishia Rais Dk Ali Mohamed Shein kwamba Mahakama itajipanga vizuri kukabiliana na hali itakayojitokeza kuhusu masuala ya uchaguzi kwa kuhakikisha mahakimu wanatenda haki kwa mujibu wa viapo vyao.

 

9 years ago

Habarileo

Longway aahidi kutenda haki NEC

KAMISHNA mpya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mary Longway amesema kwamba anatambua kuwa uchaguzi wa mwaka huu una vuguvugu kubwa, hivyo yeye kama mjumbe wa NEC atatenda haki kwa kila mgombea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani