Longway aahidi kutenda haki NEC
KAMISHNA mpya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mary Longway amesema kwamba anatambua kuwa uchaguzi wa mwaka huu una vuguvugu kubwa, hivyo yeye kama mjumbe wa NEC atatenda haki kwa kila mgombea.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
JK awateua Mary Longway na Asina Omari kuwa Makamishna NEC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amewateua Makamishna wawili wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Uteuzi wa Makamishna hao Mhe. Mary Longway na Bi. Asina A. Omari umeanza leo, Jumatatu, Septemba 14, 2015.
Mhe. Mary Longway ni Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Bi. Asina A. Omari ni Wakili wa Kujitegemea.
Wataapishwa, Ikulu, Dar es Salaam kesho kutwa, Jumatano, Septemba 16, 2015.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya...
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
CHADEMA wataka Polisi kutenda haki
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimelitaka Jeshi la Polisi mkoani hapa kutenda haki kwa vyama vyote vya siasa katika kudhibiti misafara mirefu ya magari, pikipiki na aina yoyote ya...
10 years ago
Habarileo11 Feb
Dk Shein ahakikishiwa mahakimu kutenda haki
JAJI Mkuu wa Zanzibar, Omar Othman Makungu amemhakikishia Rais Dk Ali Mohamed Shein kwamba Mahakama itajipanga vizuri kukabiliana na hali itakayojitokeza kuhusu masuala ya uchaguzi kwa kuhakikisha mahakimu wanatenda haki kwa mujibu wa viapo vyao.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-iuB_w20-8Q4/VDaxPeyqspI/AAAAAAAASNc/4wITkEIKILk/s72-c/5.jpg)
KINANA AWATAKA VIONGOZI KUWA MSTARI WA MBELE KATIKA KUTENDA HAKI MUFINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-iuB_w20-8Q4/VDaxPeyqspI/AAAAAAAASNc/4wITkEIKILk/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qYR4M0lFOyU/VDaxQFPSbHI/AAAAAAAASNo/0zcv6b_goPg/s1600/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_rzFpKRosK8/VDaxQQaTDpI/AAAAAAAASNs/xmgy__uGhdY/s1600/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MvjMf4Ci8ag/VDaxQ81LNdI/AAAAAAAASNw/T2xAi41VlO0/s1600/8.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-qrmI_jcQlAI/VMFR0gu_6ZI/AAAAAAAAV6U/26A6lnGk6rk/s72-c/22.jpg)
KINANA AWATAKA VIONGOZI WA CCM KUTENDA HAKI NA KUACHA KUWABEBA WAGOMBEA WASIO NA SIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-qrmI_jcQlAI/VMFR0gu_6ZI/AAAAAAAAV6U/26A6lnGk6rk/s1600/22.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uom6bAfSmFY/VMFR7EBHA3I/AAAAAAAAV6c/niuJax62tXg/s1600/23.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yV6PTlC8TAU/VMFR_NGYqqI/AAAAAAAAV6k/JTPEYXcF7ks/s1600/24.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lXzNMLR9NbA/VMFSDEiA1BI/AAAAAAAAV6s/ba5e5zRsvVc/s1600/25.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H4DFfNHXYkc/VMfQ7yg3t4I/AAAAAAACywI/rA74j8583hA/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE WETE-KASKAZINI PEMBA,AWATAKA VIONGOZI WA CUF KUTENDA HAKI KWA WANANCHI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-H4DFfNHXYkc/VMfQ7yg3t4I/AAAAAAACywI/rA74j8583hA/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CS2K4IrK3Qw/VMfQ8TSdcqI/AAAAAAACywQ/c1hqveBpwno/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jMrz0ANvGiM/VMfQ-Pwl6pI/AAAAAAACyww/aXwM_QCBEWA/s1600/7.jpg)
9 years ago
Habarileo25 Oct
Shein aahidi uchaguzi huru na wa haki
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amesisitiza kuwa uchaguzi unaofanyika leo utakuwa huru, haki na wenye utulivu na kuwahakikishia washirika wa maendeleo, likiwemo Shirika la Misaada la Uingereza (DFID) kuwa Zanzibar itaendelea kuwa na amani kwani ndio msingi wa maendeleo.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qkQkDhsyhrQ/U2Ui5gkXhBI/AAAAAAAFfOI/hGuQq4Tzpkw/s72-c/unnamed.jpg)
DIAMOND AAHIDI KUWATENDEA HAKI KILA MWAKA WAKAZI WA KUSINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qkQkDhsyhrQ/U2Ui5gkXhBI/AAAAAAAFfOI/hGuQq4Tzpkw/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-eWD6VYdS-tQ/U2Ui6XJ1PnI/AAAAAAAFfOM/rhWvmbYeNfY/s1600/unnamed,...jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CXrWldP9uDs/XmPNzdFRUYI/AAAAAAALhvo/Qf202ccegsw_iIRDsRzI_TGAlaIIcjwdgCLcBGAsYHQ/s72-c/7da1ad14-ded8-4080-8791-c4db82ca2003.jpg)
DC KATAMBI AAHIDI KULINDA HAKI ZA WANAWAKE- " SITOKUBALI KUONA WAKIONEWA"
Charles James, Michuzi TV
WANAUME nchini wametakiwa kutowanyanyasa wanawake kwa kuwadhulumu haki zao, kuheshimu nafasi zao na zaidi kuepuka kuomba rushwa ya namna yoyote pindi wanapohitaji msaada.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe Patrobas Katambi kuelekea kilele cha siku ya Wanawake duniani Machi 8 mwaka huu ambapo kitaifa maadhimisho hayo yatafanyika Mkoani Simiyu.
DC Katambi amesema Wanawake wengi wapewapo fursa hufanya vizuri zaidi na kwa uaminifu kuliko wanaume wengi hivyo...