JK awateua Mary Longway na Asina Omari kuwa Makamishna NEC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amewateua Makamishna wawili wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Uteuzi wa Makamishna hao Mhe. Mary Longway na Bi. Asina A. Omari umeanza leo, Jumatatu, Septemba 14, 2015.
Mhe. Mary Longway ni Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Bi. Asina A. Omari ni Wakili wa Kujitegemea.
Wataapishwa, Ikulu, Dar es Salaam kesho kutwa, Jumatano, Septemba 16, 2015.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo17 Sep
Longway aahidi kutenda haki NEC
KAMISHNA mpya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mary Longway amesema kwamba anatambua kuwa uchaguzi wa mwaka huu una vuguvugu kubwa, hivyo yeye kama mjumbe wa NEC atatenda haki kwa kila mgombea.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-F-ryg_poH0I/Vfx9lfLcRtI/AAAAAAAH5-I/HbPqlHq-Ezs/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
MTENDAJI MKUU PDB Omari Issa katika Mahafali ya 23 ya Shule ya Sekondari ya St. Mary’s Mazinde
![](http://1.bp.blogspot.com/-F-ryg_poH0I/Vfx9lfLcRtI/AAAAAAAH5-I/HbPqlHq-Ezs/s640/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0_kKqoJFols/Vfx9lQBQrxI/AAAAAAAH5-Q/iG_77Pn7mOs/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bGQFMflLG_E/Vfx9lblnkiI/AAAAAAAH5-E/9isor5K2SJU/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Rais Kikwete awateua mawaziri 8 Tanzania
10 years ago
BBCSwahili04 Jan
Papa Francis awateua makadinali 20 wapya
10 years ago
Habarileo20 Jun
NEC yabanwa vyama kuwa na wakalimani
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetakiwa kuvibana vyama vya siasa vitakavyosimamisha wagombea wa nafasi ya urais kuwa na wakalimani wa lugha za alama katika mikutano yao ya kampeni ili kutoa fursa kwa walemavu kuweza kuelewa wanachokizungumza.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SbPtpagBI-c/XncvTPWXcUI/AAAAAAALkt0/OPaci0Uw7fArWjcKh3Q3qpaG68KbwC4rwCLcBGAsYHQ/s72-c/MPANGO%2B2018_0.jpg)
DKT. MPANGO AWATEUA WAJUMBE BODI YA KAMPUNI YA MADINI YA TWIGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SbPtpagBI-c/XncvTPWXcUI/AAAAAAALkt0/OPaci0Uw7fArWjcKh3Q3qpaG68KbwC4rwCLcBGAsYHQ/s640/MPANGO%2B2018_0.jpg)
Wajumbe walioteuliwa ni
1. Bw. Casmir Sumba Kyuki 2. Bw. Michael Jonathan Kambi
Uteuzi wa wajumbe hao watakaotumikia nafasi zao kwa kipindi cha miaka mitatu, unafuatia makubaliano mapya ya namna ya...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_NHk13MbBfA/Vdbs6Ybc2-I/AAAAAAAAtzc/LMW213mY3uw/s72-c/MMGL0316.jpg)
NEC YAWATHIBITISHA LOWASSA NA DUNI KUWA WAGOMBEA WA CHADEMA KUPITIA UKAWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-_NHk13MbBfA/Vdbs6Ybc2-I/AAAAAAAAtzc/LMW213mY3uw/s640/MMGL0316.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o64ufUSnPKo/Vdbs7gfBy5I/AAAAAAAAtzk/gQUCzWnWS7M/s640/MMGL0274.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cQazizbl1eo/VkHzNIhszrI/AAAAAAABo_M/60NwfhqiKp0/s72-c/IMG_9206.jpg)
VYOMBO HABARI VIMECHANGIA KUFANYA UCHAGUZI KUWA WAZI NA HAKI NA HURU —NEC
![](http://3.bp.blogspot.com/-cQazizbl1eo/VkHzNIhszrI/AAAAAAABo_M/60NwfhqiKp0/s1600/IMG_9206.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sppIwy4N8wQ/VkHzg1q7T2I/AAAAAAABo_s/k3YO2b-VXpk/s640/IMG_9232.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/oOMW3_93vhw/default.jpg)