Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Kikwete awateua mawaziri 8 Tanzania

Rais amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AWAVUA VYEO MAWAZIRI WANNE

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi . Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraza jipya la mawaziri, Rais Kikwete amechemka

HONGERENI mawaziri na naibu mawaziri mlioteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuongoza nafasi hizo. Siku zote naamini taifa linajengwa katika misingi ya uwajibikaji ulio thabiti na si tofauti na hapo. Naamini...

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka 10 ya Rais Kikwete: Ateua mawaziri 120

Rais Jakaya Kikwete ambaye alianza kipindi chake cha kuongoza nchi mwaka 2005 kwa kuteua jumla ya mawaziri na manaibu 60, anaondoka akiwa ameteua jumla ya watu 118 kushika nyadhifa hizo, Mwananchi inaweza kukuthibitishia.

 

10 years ago

StarTV

Rais Kikwete afanya mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri.

Rais Jakaya kikwete wa Tanzania ametangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri.

Rais amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano.

Tangazo hilo lilifanywa na katibu katika ikulu ya rais balozi Ombeni Sefue.

Mabadiliko hayo yanajumuisha wadhfa wa waziri wa nishati na kawi wa Profesa Muhongo ambaye amejiuzulu mapema leo pamoja na wadhfa wa waziri wa ardhi ambao uliwachwa wazi baada ya kupigwa kalamu kwa Anna Tibaijuka.

Mawaziri hao wawili wanahusishwa na kashfa ya ufisadi...

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Dodoma

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiendelea kuchapa kazi ndani ya ndege yake akiwa safarini kutoka Dar es Salaam kuelekea mjini Dodoma ambapo ataongoza kikao cha baraza la Mawaziri(Picha na Freddy Maro)

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete afanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri


Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue akiongea na vyombo vya habari jioni hii.
Hatimaye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete Ametangaza mabadiliko katika baraza lake la Mawaziri
Rais Kikwete amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano. Tangazo hilo lililotangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue katika Ikulu ya Rais Balozi 
Mabadiliko hayo yanajumuisha wadhfa wa Waziri wa Nishati na madini Prof Sospeter Muhongo ambae amejiuzulu mapema leo pamoja na...

 

11 years ago

Mwananchi

Rais Jakaya Kikwete ana mkosi gani na mawaziri wake?

Hatua iliyochukuliwa na Bunge ya kuwashinikiza mawaziri kujiuzulu na hatimaye Rais Jakaya Kikwete kuwaengua mawaziri wanne hivi karibuni ni mtihani mwingine kwa Serikali.

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AAPISHA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI IKULU DAR

Rais Jakaya Kikwete. Rais Jakaya Kikwete ameanza kuapisha Baraza Jipya la Mawaziri lililotangazwa jana katika viwanja vya Ikulu jijini Dar!

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri mjini Dodoma

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiendelea kuchapa kazi ndani ya ndege yake akiwa safarini kutoka Dar es Salaam kuelekea mjini Dodoma ambapo aliongoza kikao cha baraza la Mawaziri.(Picha na Freddy Maro)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani