Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baraza jipya la mawaziri, Rais Kikwete amechemka

HONGERENI mawaziri na naibu mawaziri mlioteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuongoza nafasi hizo. Siku zote naamini taifa linajengwa katika misingi ya uwajibikaji ulio thabiti na si tofauti na hapo. Naamini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AAPISHA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI IKULU DAR

Rais Jakaya Kikwete. Rais Jakaya Kikwete ameanza kuapisha Baraza Jipya la Mawaziri lililotangazwa jana katika viwanja vya Ikulu jijini Dar!

 

9 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZ...: RAIS MAGUFULI ATANGAZA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akitangaza baraza lake la mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam leo Desemba 10, 2015. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na kushoto ni Waziri Mkuu, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akitangaza baraza lake la mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam leo Desemba 10, 2015. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na kushoto ni...

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais Magufuli atangaza Baraza jipya la Mawaziri huku akiwaweka kiporo wengine!!

jbb1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akitangaza baraza lake la mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam leo Desemba 10, 2015. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na kushoto ni Waziri Mkuu, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa.

BARAZA LA MAWAZIRI

1.Wizara ya Ofisi ya Rais,Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora.

Mawaziri – George Simbachawene  na Angella Kairuki

Naibu Waziri – Sumeilam Jafo. Naibu.

2.Wizara ya Ofisi ya Makamu wa Raisi, Muungano na...

 

10 years ago

StarTV

Rais Kikwete afanya mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri.

Rais Jakaya kikwete wa Tanzania ametangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri.

Rais amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano.

Tangazo hilo lilifanywa na katibu katika ikulu ya rais balozi Ombeni Sefue.

Mabadiliko hayo yanajumuisha wadhfa wa waziri wa nishati na kawi wa Profesa Muhongo ambaye amejiuzulu mapema leo pamoja na wadhfa wa waziri wa ardhi ambao uliwachwa wazi baada ya kupigwa kalamu kwa Anna Tibaijuka.

Mawaziri hao wawili wanahusishwa na kashfa ya ufisadi...

 

9 years ago

GPL

BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI

TAIFA liko katika mkao wa kusubiri kuapishwa kwa Rais Mteule wa Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli ambaye Alhamisi iliyopita alitangazwa kuwa mshindi wa kinyang’anyiro cha urais dhidi ya wenzake saba lakini tayari Wabongo wanaumiza vichwa kuhusu Baraza Jipya la Mawaziri la Magufuli. Rais Mteule wa Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli.  Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (Nec), ilimtangaza Dk. Magufuli kuwa mshindi mbele...

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete afanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri


Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue akiongea na vyombo vya habari jioni hii.
Hatimaye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete Ametangaza mabadiliko katika baraza lake la Mawaziri
Rais Kikwete amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano. Tangazo hilo lililotangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue katika Ikulu ya Rais Balozi 
Mabadiliko hayo yanajumuisha wadhfa wa Waziri wa Nishati na madini Prof Sospeter Muhongo ambae amejiuzulu mapema leo pamoja na...

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Dodoma

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiendelea kuchapa kazi ndani ya ndege yake akiwa safarini kutoka Dar es Salaam kuelekea mjini Dodoma ambapo ataongoza kikao cha baraza la Mawaziri(Picha na Freddy Maro)

 

9 years ago

TZToday

BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LATANGAZWA

 

Jumla ya wizara ni 18 , Mawaziri ni 19.

Wizara ya Mambo ya Nje na EAC/ Kimataifa
- Augustino Mahiga, Naibu Waziri - Dk. Suzan Kolimba

Wazara wa Utamaduni, Sanaa na michezo
Waziri-Nape Nnauye

Wizara ya Nishati na Madini
Waziri -Sospeter Muhongo na Naibu Waziri-Medard Kalemani

Wizara ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu
Waziri -Jenista Mhagama

Wizara ya ofisi ya Rais, Utumishi na utawala
mawaziri wawili - Simbachawene na Kairuki

Ofisi ya Makamu wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Baraza jipya la mawaziri laiva

pombeNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

RAIS Dk. John Magufuli, wakati wowote anatarajiwa kutangaza Baraza la Mawaziri baada ya kukamilisha wiki kadhaa za kuchuja majina ya wanaofaa kuwa mawaziri.

Hatua hiyo inakuja baada ya jana kukutana faragha kwa saa moja na Waziri Mkuu wake Kassim Majaliwa katika kikao kilichofanyika ofisini kwa waziri huyo.

Katika kile kinachoonekana ni tofauti na marais waliopita, ambao wengi wao walikuwa wakifuatwa ofisini, hali imekuwa tofauti kwa Dk. Magufuli ambaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani