Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC KATAMBI AAHIDI KULINDA HAKI ZA WANAWAKE- " SITOKUBALI KUONA WAKIONEWA"


Charles James, Michuzi TV

WANAUME nchini wametakiwa kutowanyanyasa wanawake kwa kuwadhulumu haki zao, kuheshimu nafasi zao na zaidi kuepuka kuomba rushwa ya namna yoyote pindi wanapohitaji msaada.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe Patrobas Katambi kuelekea kilele cha siku ya Wanawake duniani Machi 8 mwaka huu ambapo kitaifa maadhimisho hayo yatafanyika Mkoani Simiyu.

DC Katambi amesema Wanawake wengi wapewapo fursa hufanya vizuri zaidi na kwa uaminifu kuliko wanaume wengi hivyo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

“Tume ya Haki za Binadamu Ina Jukumu Kubwa la Kulinda Haki za Wanawake na Watoto”-BALOZI SEIF

Makamu wa Pili wa Rais, Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, akipokea kitabu
kinachohusu masuala ya haki za binadamu na utawala bora kutoka kwa Mwenyekiti na
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu Mathew Mhina,
Walipomtembelea Ofisini kwake leo Juni 3, 2020 Vuga Mjini Zanzibar.
Mwenyekiti na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu
Mathew Mhina, akiteta jambo na Makamu Mwenyekiti, wa Tume ya Haki za Biadamu
na Utawala Bora, Mohamedi Khamis Hamadi, wakati wa ziara yake...

 

10 years ago

Michuzi

SITOKUBALI KUONA UJENZI WA MAABARA UNAKWAMA - RC KIGOMA

Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii, Kigoma WAKATI mkoa Kigoma ukiwa umefikia asilimia 90 ya ujenzi wa maabara za sayansi kwenye shule za sekondari mkoani humo MKUU wa mkoa Kigoma Mhe Issa Machibya amesema kuwa hatakubali kuona mtu yeyote anakwamisha jitihada za ujenzi huo na atamshughulikia kikamilifu.  Akizungumza wakati akikabidhi maabara kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Buyungu wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma Mhe Machibya alisema kuwa wanaotaka kutumia siasa kwenye suala la maabara na...

 

5 years ago

Michuzi

Wizara ya Katiba na Sheria na Tume ya Haki za Binadamu zina Wajibu wa kulinda haki za wananchi-Jaji Mstaafu Mwaimu



Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibari, Mhe.Khamis Juma Mwalim, akifafanua jambo kwa wajumbe na wageni wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora (hawapo pichani) wakiongozwa na Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) wakati wa kikao kifupi kilichofanyika ofisini kwake baada ya kutembelewa na ugeni huo loe Juni 4, 2020 Mjini...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Seni aahidi kulinda mali za kijiji

MGOMBEA Uenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Nheleghani, Manispaa ya Shinyanga, Deus Seni (CHADEMA) ameahidi kulinda raslimali za kijiji kwa kuwabana wawekezaji. Akijinadi katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi huo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mahakama ziwe mfano wa kuona haki inatendeka

VICHEKESHO, burdani na kile ambacho siku hizi kinajulikana kama usanii, ni mambo yanayokubalika katika mambo mengi ya maisha ya kila siku. Hali hii ipo hata katika kazi kwani kwa kiasi...

 

9 years ago

Habarileo

Anayenunua shahada hawezi kuona aibu kuuza haki

WANANCHI wametakiwa siku ya kupiga kura kuwa macho na watu wanaoweza kwenda kuwanunua kwa kuwagawia fedha wabadilishe msimamo wao. Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, alitoa hadhari hiyo jana mjini hapa kwenye mkutano wa kampeni uliohudhuriwa na maelfu ya watu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi kulinda haki za watoto

WANANCHI wametakiwa kuzingatia haki za binadamu na kutambua kuwa kila mmoja ana wajibu wa kuishi bila kushurutishwa na mtu. Kauli hiyo ilitolewa juzi na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa...

 

11 years ago

GPL

MUUNGANO WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YANAYOTETEA HAKI ZA WANAWAKE WASHEREKEA SIKUKUU YA WANAWAKE DUNIANI

Kutoka kushoto ni Miss Tanzania 2013 Happy Watimanywa , Dk. Agnes Nyomola kutoka Chuo kikuu cha Dar es salaam ambaye ni Mtaalam wa mambo ya Sayansi, na Specioza Rweyemamu ambaye ni Ispecta katika mambo ya anga katika Mamlaka wa usafiri wa Anga Tanzania, ambao ndio walikuwa wasemaji katika sherehe hizo
  Dk. Agnes Nyomola kutoka Chuo kikuu cha Dar es salaam ambaye ni Mtaalam wa mambo ya Sayansi akizungumza na wanafunzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani