Seni aahidi kulinda mali za kijiji
MGOMBEA Uenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Nheleghani, Manispaa ya Shinyanga, Deus Seni (CHADEMA) ameahidi kulinda raslimali za kijiji kwa kuwabana wawekezaji. Akijinadi katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi huo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CXrWldP9uDs/XmPNzdFRUYI/AAAAAAALhvo/Qf202ccegsw_iIRDsRzI_TGAlaIIcjwdgCLcBGAsYHQ/s72-c/7da1ad14-ded8-4080-8791-c4db82ca2003.jpg)
DC KATAMBI AAHIDI KULINDA HAKI ZA WANAWAKE- " SITOKUBALI KUONA WAKIONEWA"
Charles James, Michuzi TV
WANAUME nchini wametakiwa kutowanyanyasa wanawake kwa kuwadhulumu haki zao, kuheshimu nafasi zao na zaidi kuepuka kuomba rushwa ya namna yoyote pindi wanapohitaji msaada.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe Patrobas Katambi kuelekea kilele cha siku ya Wanawake duniani Machi 8 mwaka huu ambapo kitaifa maadhimisho hayo yatafanyika Mkoani Simiyu.
DC Katambi amesema Wanawake wengi wapewapo fursa hufanya vizuri zaidi na kwa uaminifu kuliko wanaume wengi hivyo...
10 years ago
BBCSwahili17 Aug
Mali:Wanajeshi 2 wa kulinda amani wauawa
Wanajeshi wawili wa kulinda amani raia wa Burkina Farso katika shirika la Umoja wa Mataifa wameuawa na saba wengine kujeruhiwa
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Mali:Mwanajeshi wa kulinda amani auawa.
Afisa mmoja wa kikosi cha kulinda amani katika Umoja wa Mataifa ameuawa na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo kazkazini mwa Mali.
5 years ago
MichuziRC SINGIDA DK.NCHIMBI: NI WAJIBU WA SERIKALI KULINDA HAKI NA MALI ZA RAIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-g-t23m67l70/XuYYiU0jR6I/AAAAAAAAlFw/9L0CxGvxAaEVbFzsm5pUMkgZdy-SKT9lACLcBGAsYHQ/s640/2.png)
11 years ago
GPL![](https://4.bp.blogspot.com/-x-Ioa5sKiHk/Uy7iOwuEGxI/AAAAAAAAkyw/fkkFh9JAEI8/s1600/gz1.jpg)
RIDHIWANI ASHUHUDIA SHULE ILIYOEZULIWA PAA NA KIMBUNGA KATIKA KIJIJI CHA KIKWAZU, AAHIDI KUSAIDIA KUIBORESHA TENA
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM, Ridhiwani Kikwete akipata maelezo kutoka kwa Mtendaji wa Kijiji cha Kikwazu, Mussa Yahaya kuhusu shule ya msingi Kikwazu iliezuliwa paa na kimbunga mwanzoni mwa mwaka huu na kubakisha darasa moja tu linalotumika. Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM, Ridhiwani Kikwete … ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iODbUo3ZGQM/VSYiVbXqkpI/AAAAAAAHPsI/ssUKv2df7l0/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
WAZIRI MAGUFULI AHUDHURIA MAHAFALI YA KUMI YA KIDATO CHA SITA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA CHATO, AAHIDI MAJENGO YA KAMBI YA MKANDARASI KUWA MALI YA SHULE YA MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iODbUo3ZGQM/VSYiVbXqkpI/AAAAAAAHPsI/ssUKv2df7l0/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2eGh_mz7mUQ/VSYiVwtNODI/AAAAAAAHPsM/h9Z_zaW6zho/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pg-3rZmzaiU/VSYiWmmKT5I/AAAAAAAHPsU/95XBUg5ES2M/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6QzVEOciBno/Uyr6tv8tyaI/AAAAAAACdDE/QrPusb8lDRs/s72-c/UB+4.jpg)
KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA KIJIJI KWA KIJIJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-6QzVEOciBno/Uyr6tv8tyaI/AAAAAAACdDE/QrPusb8lDRs/s1600/UB+4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9QZDqllaCHE/Uyr6t8geP2I/AAAAAAACdDI/utbvAvqj7B4/s1600/UB+5.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania