RC SINGIDA DK.NCHIMBI: NI WAJIBU WA SERIKALI KULINDA HAKI NA MALI ZA RAIA
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk. Rehema Nchimbi akimpa pole Fundi Ujenzi, Daniel Michael wa Kijiji cha Itagata baada ya kutoa malalamiko ya kutolipwa zaidi ya Sh.milioni 4.6 na mkandarasi aliyejenga bwawa la mradi wa kilimo cha umwagiliaji katika kijiji hicho, wakati akiwa katika ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Itigi juzi.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Dk. Angelina Lutambi, akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Itigi (hawapo pichani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k9VaLQL_XnA/XtlI-tokMPI/AAAAAAALspA/PA1UYlDOs_kK07YGKk92raUmgI81WSr4wCLcBGAsYHQ/s72-c/1-6.jpg)
Wizara ya Katiba na Sheria na Tume ya Haki za Binadamu zina Wajibu wa kulinda haki za wananchi-Jaji Mstaafu Mwaimu
![](https://1.bp.blogspot.com/-k9VaLQL_XnA/XtlI-tokMPI/AAAAAAALspA/PA1UYlDOs_kK07YGKk92raUmgI81WSr4wCLcBGAsYHQ/s640/1-6.jpg)
Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibari, Mhe.Khamis Juma Mwalim, akifafanua jambo kwa wajumbe na wageni wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora (hawapo pichani) wakiongozwa na Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) wakati wa kikao kifupi kilichofanyika ofisini kwake baada ya kutembelewa na ugeni huo loe Juni 4, 2020 Mjini...
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Abiria wana haki ya kujua wajibu, haki zao
WATUMIAJI wa huduma za usafiri wa nchi kavu na majini, bado hawajatambua haki na wajibu wao wawapo safarini. Hiyo yote inatokana na kutokufahamu wapi wapeleke malalamiko yao. Lakini makala hii...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VY2tNXw2AwI/XtfulTanrsI/AAAAAAALsjE/Y0mxdMOGILInkFT2_NTXM7f-HoVGQYVjACLcBGAsYHQ/s72-c/4-3.jpg)
“Tume ya Haki za Binadamu Ina Jukumu Kubwa la Kulinda Haki za Wanawake na Watotoâ€-BALOZI SEIF
![](https://1.bp.blogspot.com/-VY2tNXw2AwI/XtfulTanrsI/AAAAAAALsjE/Y0mxdMOGILInkFT2_NTXM7f-HoVGQYVjACLcBGAsYHQ/s640/4-3.jpg)
kinachohusu masuala ya haki za binadamu na utawala bora kutoka kwa Mwenyekiti na
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu Mathew Mhina,
Walipomtembelea Ofisini kwake leo Juni 3, 2020 Vuga Mjini Zanzibar.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6-2.jpg)
Mwenyekiti na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu
Mathew Mhina, akiteta jambo na Makamu Mwenyekiti, wa Tume ya Haki za Biadamu
na Utawala Bora, Mohamedi Khamis Hamadi, wakati wa ziara yake...
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Haki na wajibu wa mfanyakazi II
Haki ya kupata mapumziko ya uzazi Hakuna mfanyakazi aliyejifungua atakayefanya kazi ndani ya wiki sita tangu ajifungue isipokuwa kwa ruhusa ya daktari. Mfanyakazi aliyejifungua ana haki ya kuendelea na kazi...
5 years ago
MichuziWANAWAKE SINGIDA WATOA YA MOYONI, RC NCHIMBI AWAPA UJASIRI
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi katikati mwenye miwani akiwa na baadhi ya washiriki wa Kongamano la Wanawake Kanda ya Kati, lililofanyika Singida juzi.
Baadhi ya washiriki kutoka mikoa ya Tabora, Dodoma na Singida wakisikiliza mada mbalimbali kwenye Kongamano la Wanawake Kanda ya Kati, lililofanyika mkoa wa Singida.
Kongamano la Wanawake likiendelea.
Wanawake wakiwa kwenye kongamano hilo.
Wakina baba wakijumuika kwenye kongamano hilo.
Afisa Maendeleo ya Jamii mkoa wa Singida,...
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Haki na wajibu wako katika mkataba (3)
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Fahamu haki, wajibu wa mwanahisa kisheria
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Fahamu haki na wajibu wa mfanyakazi kisheria
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Fahamu haki, wajibu katika ardhi unayomiliki