Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Haki na wajibu wako katika mkataba (3)

Mkataba wowote ni lazima uwe na haki kwa upande mmoja na wajibu kwa upande mwingine. Mtu anapoingia katika mkataba anatarajia kuwa atatimiza wajibu wake na mwenzake atatimiza wajibu wake ili kila mmoja apate haki yake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Fahamu haki, wajibu katika ardhi unayomiliki

Watu wengi wameonewa, kudhulumiwa na kunyanyaswa katika ardhi zao wenyewe kwa sababu ya kutojua haki na wajibu wao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Abiria wana haki ya kujua wajibu, haki zao

WATUMIAJI wa huduma za usafiri wa nchi kavu na majini, bado hawajatambua haki na wajibu wao wawapo safarini. Hiyo yote inatokana na kutokufahamu wapi wapeleke malalamiko yao. Lakini makala hii...

 

5 years ago

Michuzi

Wizara ya Katiba na Sheria na Tume ya Haki za Binadamu zina Wajibu wa kulinda haki za wananchi-Jaji Mstaafu Mwaimu



Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibari, Mhe.Khamis Juma Mwalim, akifafanua jambo kwa wajumbe na wageni wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora (hawapo pichani) wakiongozwa na Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) wakati wa kikao kifupi kilichofanyika ofisini kwake baada ya kutembelewa na ugeni huo loe Juni 4, 2020 Mjini...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kijana ni wajibu wako, sababu ndiyo kesho yako

Ukiuliza watu mtaani Siasa ni nini? bila kusita watakuambia, Siasa ni wongo, ushirikina, utapeli, ni lugha ya mficho yenye maana ya uovu, uongo na laana. Tafsiri hii ya neno siasa imesababisha kutokea kwa makundi mawili, kundi la kwanza ni la watu ambalo ndio kundi kubwa wanaichukia na kujitenga na siasa na kundi dogo la watu wanaipenda na kuikumbatia.

Mjadala huu utajikita zaidi katika kuangalia kundi hili kubwa la watu ambao wanaichukia na kujitenga na siasa. Takwimu zinaonyesha kuwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Haki na wajibu wa mfanyakazi II

Haki ya kupata mapumziko ya uzazi Hakuna mfanyakazi aliyejifungua atakayefanya kazi ndani ya wiki sita tangu ajifungue isipokuwa kwa ruhusa ya daktari. Mfanyakazi aliyejifungua ana haki ya kuendelea na kazi...

 

10 years ago

Mwananchi

Fahamu haki, wajibu wa mwanahisa kisheria

Haki na wajibu ni sawa na pande mbili za sarafu moja. Ili iwepo haki lazima wajibu uwepo. Kwa hiyo ni muhimu sana mwanahisa ukafahamu wajibu wako ili upate uhalali na nguvu za kutosha za kudai na kuzisimamia haki zako.

 

10 years ago

Mwananchi

Fahamu haki na wajibu wa mfanyakazi kisheria

Huwezi kudai kitu ambacho hufahamu kuwa kipo na hata kama unajua kipo hujui kinapatikanaje na hata kama unajua kinavyopatikana hujui nani anawajibika kukupatia.

 

10 years ago

GPL

KILA MMOJA AFAHAMU HAKI NA WAJIBU WA MPIGA KURA

Jaji Damian Lubuva. NIMSHUKURU Mungu kwa kuniweka salama na kuja kuzungumza nanyi kwa njia hii ya maandishi. Mchakato wa uchuguzi wa viongozi kuanzia rais, wabunge na madiwani kwa njia ya kidemokrasia hufanywa kwa njia ya kupiga kura.Huu ndiyo wakati ambao kila mwananchi mwenye umri wa miaka 18 na zaidi hushiriki kuchagua viongozi wa kushika madaraka ya dola na uakilishi kwa kipindi cha miaka 5 kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya...

 

5 years ago

Michuzi

RC SINGIDA DK.NCHIMBI: NI WAJIBU WA SERIKALI KULINDA HAKI NA MALI ZA RAIA

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk. Rehema Nchimbi  akimpa pole Fundi Ujenzi,  Daniel Michael wa Kijiji cha Itagata baada ya kutoa   malalamiko ya kutolipwa zaidi ya Sh.milioni 4.6 na mkandarasi aliyejenga bwawa la mradi wa kilimo cha umwagiliaji katika kijiji hicho, wakati akiwa katika ziara ya kutembelea na  kukagua miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Itigi juzi.
 Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Dk. Angelina Lutambi, akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Itigi (hawapo pichani...

 

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani