RIDHIWANI ASHUHUDIA SHULE ILIYOEZULIWA PAA NA KIMBUNGA KATIKA KIJIJI CHA KIKWAZU, AAHIDI KUSAIDIA KUIBORESHA TENA
![](https://4.bp.blogspot.com/-x-Ioa5sKiHk/Uy7iOwuEGxI/AAAAAAAAkyw/fkkFh9JAEI8/s1600/gz1.jpg)
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM, Ridhiwani Kikwete akipata maelezo kutoka kwa Mtendaji wa Kijiji cha Kikwazu, Mussa Yahaya kuhusu shule ya msingi Kikwazu iliezuliwa paa na kimbunga mwanzoni mwa mwaka huu na kubakisha darasa moja tu linalotumika. Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM, Ridhiwani Kikwete … ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Ridhiwani Kikwete azindua Kisima cha Maji, Lambo katika kijiji cha jamii ya Wafugaji cha Mbala,Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan Kikwete akionozana na akina mama wa jamii ya kimasai waliobeba maji waliyoyateka baada ya mbunge huyo kuzindua kisima cha maji katika Kijiji cha Mbala, Chalinze, Bagamoyo mkoani Pwani jana. Kisima hicho pamoja na lambo la kunyweshea mifugo vimejengwa na Kanisa la Wasabato kwa gharama ya sh. mil. 76. Kushoto ni Kiongozi wa mradi huo, Joseph Chagama na nyuma yake ni Askofu wa Kanisa la Wasabato Jimbo la Mashariki,Mark Malekana. (PICHA NA RICHARD...
11 years ago
Mwananchi22 Mar
Ridhiwani aahidi kuongeza shule, mabweni Chalinze
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iODbUo3ZGQM/VSYiVbXqkpI/AAAAAAAHPsI/ssUKv2df7l0/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
WAZIRI MAGUFULI AHUDHURIA MAHAFALI YA KUMI YA KIDATO CHA SITA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA CHATO, AAHIDI MAJENGO YA KAMBI YA MKANDARASI KUWA MALI YA SHULE YA MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iODbUo3ZGQM/VSYiVbXqkpI/AAAAAAAHPsI/ssUKv2df7l0/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2eGh_mz7mUQ/VSYiVwtNODI/AAAAAAAHPsM/h9Z_zaW6zho/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pg-3rZmzaiU/VSYiWmmKT5I/AAAAAAAHPsU/95XBUg5ES2M/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-iJwAB0tyELI/VOsSYbzku0I/AAAAAAADaiA/ew23Tj-AG2g/s72-c/01.jpg)
AMIN SALMINI AAHIDI KUIBORESHA OFISI YA SERIKALI YA MTAA KATA YA TABATA, WAKIFANYA SHEREHE YA KUWASHUKURU WAPIGA KURA WAO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-iJwAB0tyELI/VOsSYbzku0I/AAAAAAADaiA/ew23Tj-AG2g/s1600/01.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-upXPEjD_Dpw/VHX4jCYOW2I/AAAAAAACvZU/4t92O1kdQjk/s72-c/unnamed.jpg)
Wafanyakazi wa Airtel kuwaunganisha wadau katika kusaidia shule ya msingi Kumbukumbu-Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-upXPEjD_Dpw/VHX4jCYOW2I/AAAAAAACvZU/4t92O1kdQjk/s1600/unnamed.jpg)
Wafanyakazi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kupitia mpango wake maalumu wa “Airtel tunakujali” imeandaa matembezi ya hisani huku ikialika wadau wote wenye wito wa kuchangia elimu kuungamkono jitiada hizo ili kukamilisha lengo la kuikarabati shule ya msingi kumbukumbu iliyopo kinondoni jijini Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QIFFGR1PhRM/VW_z6LO4NAI/AAAAAAAAQaw/wVTadcD7i5U/s72-c/11401425_10153393923402938_4064528746182093187_n.jpg)
NASSAR ASHIRIKI UJENZI WA CHANZO CHA MAJI KIJIJI CHA KARANGAI KATIKA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI
Zoezi hilo lilo anza majira ya saa 3 asubuhi na kumalizika majira ya saa 12 jioni ilishuhudiwa Mbunge Nassar akishiriki kazi za mikono ikiwemo kubeba mawe na kuayapanga katika eneo la mto kwa ajili ya ujenzi wa chanzo hicho.Akizungumza katika eneo hilo ,Nassar...
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Mbunge Joshua Nassari ashiriki ujenzi wa chanzo cha maji kijiji cha Karangai katika jimbo la Arumeru Mashariki
![](http://2.bp.blogspot.com/-QIFFGR1PhRM/VW_z6LO4NAI/AAAAAAAAQaw/wVTadcD7i5U/s640/11401425_10153393923402938_4064528746182093187_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cKtCfTghbvo/VW_zy1isn_I/AAAAAAAAQaY/R04Q3tcGpTU/s640/11350631_10153393922822938_4279072481082144597_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ePmbIYrDxv4/VW_zzfgT7EI/AAAAAAAAQac/CJiAlEgkTZU/s640/11377205_10153393924747938_7031091485843044706_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2TNsBTjfLHE/VW_z6LAThkI/AAAAAAAAQa4/ABXOdZNxLyc/s640/11391753_10153393923607938_4006811402682417743_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-QIFFGR1PhRM/VW_z6LO4NAI/AAAAAAAAQaw/wVTadcD7i5U/s72-c/11401425_10153393923402938_4064528746182093187_n.jpg)
MBUNGE JOSHUA NASSAR ASHIRIKI UJENZI WA CHANZO CHA MAJI KIJIJI CHA KARANGAI KATIKA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-QIFFGR1PhRM/VW_z6LO4NAI/AAAAAAAAQaw/wVTadcD7i5U/s640/11401425_10153393923402938_4064528746182093187_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cKtCfTghbvo/VW_zy1isn_I/AAAAAAAAQaY/R04Q3tcGpTU/s640/11350631_10153393922822938_4279072481082144597_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pyoSi_p0KGI/VW_zyp4oASI/AAAAAAAAQaU/H72cXnQJsHU/s640/11136751_10153393923082938_5790109227992099170_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ePmbIYrDxv4/VW_zzfgT7EI/AAAAAAAAQac/CJiAlEgkTZU/s640/11377205_10153393924747938_7031091485843044706_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2TNsBTjfLHE/VW_z6LAThkI/AAAAAAAAQa4/ABXOdZNxLyc/s640/11391753_10153393923607938_4006811402682417743_n.jpg)