AMIN SALMINI AAHIDI KUIBORESHA OFISI YA SERIKALI YA MTAA KATA YA TABATA, WAKIFANYA SHEREHE YA KUWASHUKURU WAPIGA KURA WAO.

Mtoto wa Rais Mstaafu wa awamu ya tano Zanzibar, Amin Salmin, akimkabidhi Cheti, Mwenyekiti wa UWT ambaye pia ni Kaimu Katibu wa CCM wa Tabata Relini, Shahani Mtwawa, wakati wa Sherehe maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya kuwashukuru Wapiga Kura wa CCM, waliofanikisha kuchaguliwa kwa Viongozi wa Serikali ya Mtaa huo wa Kata ya Tabata. Sherehe hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika Ofisi za Serikali ya Mtaa Kata ya Tabata, jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake mgeni rasmi huyo, aliahidi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Mtoto wa Rais wa awamu ya tano Zanzibar kuboresha ofisi ya serikali ya mtaa kata ya Tabata
Mtoto wa Rais Mstaafu wa awamu ya tano Zanzibar, Amin Salmin, akimkabidhi Cheti, Mwenyekiti wa UWT ambaye pia ni Kaimu Katibu wa CCM wa Tabata Relini, Shahani Mtwawa, wakati wa Sherehe maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya kuwashukuru Wapiga Kura wa CCM, waliofanikisha kuchaguliwa kwa Viongozi wa Serikali ya Mtaa huo wa Kata ya Tabata. Sherehe hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika Ofisi za Serikali ya Mtaa Kata ya Tabata, jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake mgeni rasmi huyo, aliahidi...
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Mtoto wa Rais mstaafu Salmini Amour ‘Komando’ Amin Salmini achukua fomu kuwania ubunge jimbo la Mkwajuni Zanzibar
Wilaya ya Kaskazini A Unguja, Shafi Hamadi wakati alipofika kwenye Ofisi hizo za CCM kwa ajili ya kuchukua fomu za kugombea Ubunge wa Jimbo la Mkwajuni Zanzibar.
9 years ago
CHADEMA Blog
MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA KUFANYA ZIARA YA KUWASHUKURU WAPIGA KURA
11 years ago
GPL
WANANCHI AFGHANISTAN WAPIGA KURA KUMCHAGUA RAIS WAO
5 years ago
CCM BlogUWT KATA YA MAKONGO WAFANYA SHEREHE KUWAPONGEZA KINA MAMA 13 WALIOZOA VITI VYOTE KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KATIKA KATA HIYO MWAKA JANA
MAKONGO, Dar es Salaam
Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Kata ya...
5 years ago
CCM Blog
MPOGOLO: WABUNGE, MADIWANI WALIOSHINDWA KUWAJIBIKA KWA WAPIGA KURA WAO HAWATAPITISHWA KUGOMBEA

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuwa wabunge na madiwani walioshindwa kuwajibika kwa wapiga kura wao, hawatapitishwa tena katika mchakato wa uchaguzi mwaka huu. Msimamo huo ulitolewa juzi na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Rodrick Mpogolo akiwa wilayani Korogwe mkoani Tanga.
5 years ago
CCM BlogWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA NEC
5 years ago
MichuziWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI WAPIGA KURA NEC
10 years ago
Vijimambo
VIONGOZI WOTE WA CCM WA KATA YA MKOMAZI NA WAPIGA KURA 1,400 WA CCM WAHAMIA CHADEMA
