Mtoto wa Rais mstaafu Salmini Amour ‘Komando’ Amin Salmini achukua fomu kuwania ubunge jimbo la Mkwajuni Zanzibar
Mtoto wa Rais Mstaafu wa awamu ya Tano Zanzibar, Dkt. Salmin Amour, Amin Salmini, akimkabidhi fedha za kulipia fomu za kuwania Ubunge, Katibu Msaidizi wa CCM
Wilaya ya Kaskazini A Unguja, Shafi Hamadi wakati alipofika kwenye Ofisi hizo za CCM kwa ajili ya kuchukua fomu za kugombea Ubunge wa Jimbo la Mkwajuni Zanzibar.
Katibu Msaidizi wa CCM Wilaya ya Kaskazini A Unguja, Shafi Hamadi, akimkabidhi fomu za kugombea Ubunge, Mwanachama wa CCM, Amin Salmini, bada ya kulipia.
Salmini,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziAmini Salimini Amour Awania Ubunge Jimbo la Mkwajuni Zanzibar Kupitia Tiketi ya CCM
9 years ago
Vijimambo18 Aug
MWIGULU NCHEMBA ACHUKUA FOMU YA SERIKALI YA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA IRAMBA
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/11900005_965256420203096_5206799777640777334_n.jpg?oh=93f20042bff7f879e79644838a8e063b&oe=5635CDA3&__gda__=1450708681_de956b738104bc7659d0c0dd22265749)
![](https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11855639_965256443536427_7854052006018475247_n.jpg?oh=c90ca90844409ca0794d2d9cabb44238&oe=56431DA9)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/11898624_965256496869755_3959267737132567820_n.jpg?oh=a417250e5bbcfe80621e4fee9240c5bf&oe=5644EC9E&__gda__=1451118871_e5c1168cab42c2fba53a0ebd3c427d05)
10 years ago
VijimamboKAMANDA JOHN BUYAMBA ACHUKUA FOMU YA KUWANIA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ILEMELA.
Na:George GB PazzoMakada mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoani Mwanza, wameendelea kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya chama hicho ili kugombea nafasi za uongozi kwa ngazi za Udiwani na Ubunge.
Zaidi ya Makada sita wa chama hicho tayari wamejitokeza na kuchukua fomu kwa ajili ya kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Ilemela,...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-iJwAB0tyELI/VOsSYbzku0I/AAAAAAADaiA/ew23Tj-AG2g/s72-c/01.jpg)
AMIN SALMINI AAHIDI KUIBORESHA OFISI YA SERIKALI YA MTAA KATA YA TABATA, WAKIFANYA SHEREHE YA KUWASHUKURU WAPIGA KURA WAO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-iJwAB0tyELI/VOsSYbzku0I/AAAAAAADaiA/ew23Tj-AG2g/s1600/01.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Jul
Wakili Elias Nawera achukua fomu za kuwania Ubunge jimbo la Kawe Jijini Dar
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
JUST IN: Saed Kubenea achukua fomu ya kuwania ubunge kwa tiketi ya Chadema jimbo la Ubungo
Mwanahabari mkongwe Saed Kubenea (pichani) achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania ubunge kupitia Chadema jimbo la Ubungo.
Saed Kubenea ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Hali Halisi Publishers Ltd., inayochapisha magazeti ya MwanaHALISI; MSETO; MwanaHALISI Online na MwanaHALISI Forum na ndiye mmiliki wa kampuni hiyo.
10 years ago
VijimamboJUMAA MHINA 'PIJEI' ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KAWE, ATAJA VIPAUMBELE VYAKE
10 years ago
VijimamboWAKILI ELIAS NAWERA ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KAWE JIJINI DAR ES SALAAM
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-s_NXerJ1U3o/XuxoX-eokOI/AAAAAAABMgA/KY4cHoLMT0QJu1R6e30GtBm_7P3E01NTwCLcBGAsYHQ/s72-c/P45A1399.jpg)
MEJA JENERALI MSTAAFU, ISSA SULEIMAN NASSOR ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-s_NXerJ1U3o/XuxoX-eokOI/AAAAAAABMgA/KY4cHoLMT0QJu1R6e30GtBm_7P3E01NTwCLcBGAsYHQ/s400/P45A1399.jpg)