Wakili Elias Nawera achukua fomu za kuwania Ubunge jimbo la Kawe Jijini Dar
Wakili Elias Nawera akionyesha alama ya dole baada ya kukabidhiwa fomu hizo. Kulia ni mgombea ubunge mkoa wa Dar es Salaam kupitia Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Lilian Mkosani.
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kinondoni, Athuman Sheshe (kushoto), akimkabidhi fomu ya kugombea ubunge jimbo la Kawe, kada wa chama hicho, Wakili Elias Nawera (katikati), Dar es Salaam leo mchana. Kulia ni mgombea ubunge mkoa wa Dar es Salaam kupitia Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWAKILI ELIAS NAWERA ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KAWE JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
VijimamboMUWANIA UBUNGE JIMBO LA KAWE WAKILI ELIAS NAWERA KUMPA USHIRIKIANO ATAKAYEPITISHWA NA CCM, AELEZEA KUHUSISHWA NA RUSHWA
10 years ago
VijimamboMTANGAZA NIA YA UBUNGE JIMBO LA KAWE KUPITIA CCM, WAKILI ELIAS NAWERA AHIMIZA VIJANA KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Mgombea ubunge Kawe, Wakili Elias Nawera ahadi kumpa ushirikiano atakayepitishwa na CCM, aelezea kuhusishwa na rushwa
![2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/2.jpg)
10 years ago
VijimamboJUMAA MHINA 'PIJEI' ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KAWE, ATAJA VIPAUMBELE VYAKE
9 years ago
Vijimambo18 Aug
MWIGULU NCHEMBA ACHUKUA FOMU YA SERIKALI YA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA IRAMBA
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/11900005_965256420203096_5206799777640777334_n.jpg?oh=93f20042bff7f879e79644838a8e063b&oe=5635CDA3&__gda__=1450708681_de956b738104bc7659d0c0dd22265749)
![](https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11855639_965256443536427_7854052006018475247_n.jpg?oh=c90ca90844409ca0794d2d9cabb44238&oe=56431DA9)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/11898624_965256496869755_3959267737132567820_n.jpg?oh=a417250e5bbcfe80621e4fee9240c5bf&oe=5644EC9E&__gda__=1451118871_e5c1168cab42c2fba53a0ebd3c427d05)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e__cDQ2OYMs/VadpA1cl39I/AAAAAAAHqCo/JW6LKMfwuIk/s72-c/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
IDD AZAN na Jumaa Mhina 'Pijei' wachukua fomu kuwania ubunge Jimbo la Kinondoni na Kawe
![](http://1.bp.blogspot.com/-e__cDQ2OYMs/VadpA1cl39I/AAAAAAAHqCo/JW6LKMfwuIk/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IHXpBFgfMiQ/VadpBfaUzfI/AAAAAAAHqCw/Tca_fYKf7pQ/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboKAMANDA JOHN BUYAMBA ACHUKUA FOMU YA KUWANIA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ILEMELA.
Na:George GB PazzoMakada mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoani Mwanza, wameendelea kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya chama hicho ili kugombea nafasi za uongozi kwa ngazi za Udiwani na Ubunge.
Zaidi ya Makada sita wa chama hicho tayari wamejitokeza na kuchukua fomu kwa ajili ya kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Ilemela,...
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
JUST IN: Saed Kubenea achukua fomu ya kuwania ubunge kwa tiketi ya Chadema jimbo la Ubungo
Mwanahabari mkongwe Saed Kubenea (pichani) achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania ubunge kupitia Chadema jimbo la Ubungo.
Saed Kubenea ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Hali Halisi Publishers Ltd., inayochapisha magazeti ya MwanaHALISI; MSETO; MwanaHALISI Online na MwanaHALISI Forum na ndiye mmiliki wa kampuni hiyo.