MPOGOLO: WABUNGE, MADIWANI WALIOSHINDWA KUWAJIBIKA KWA WAPIGA KURA WAO HAWATAPITISHWA KUGOMBEA

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuwa wabunge na madiwani walioshindwa kuwajibika kwa wapiga kura wao, hawatapitishwa tena katika mchakato wa uchaguzi mwaka huu. Msimamo huo ulitolewa juzi na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Rodrick Mpogolo akiwa wilayani Korogwe mkoani Tanga.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
LOWASSA AZIDI KUHAMASIKA JUU YA KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS, AWAHIMIZA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWA WINGI DAFTARI LA WAPIGA KURA

Lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya watu wa makundi mbalimbali ya jamii wanao muomba kugombea urais mwaka...
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Wapiga kura wanavyowalaghai wabunge UG
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Wagombea ubunge na udiwani uso kwa uso na wapiga kura wao Mufindi, waulizwa maswali mazito juu ya ajenda ya watoto


10 years ago
Vijimambo
WAGOMBEA UBUNGE NA UDIWANI USO KWA USO NA WAPIGA KURA WAO MUFINDI , WAULIZWA MASWALI MAZITO JUU YA AJENDA YA WATOTO


5 years ago
CCM Blog
CCM YAWAONYA WATIA NIA WANAOCHAFUA MADIWANI NA WABUNGE WANAOMALIZA MUDA WAO

Na Allawi Kaboyo, Bukoba
Wenye nia za kugombea Udiwani, Ubunge katika Kata na Majimbo mkoani Kagera kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameonywa kuacha tabia ya kutoa kauli za kuwachafua madiwani na wabunge wanaomaliza muda wao kama njia rahisi ya kushinda nafasi hizo katika Uchaguzi Mkuu uliopamgwa...
11 years ago
GPL
WANANCHI AFGHANISTAN WAPIGA KURA KUMCHAGUA RAIS WAO
10 years ago
Habarileo24 Oct
Lowassa awaombea kura wabunge, madiwani wa CCM
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na mwavuli wa Ukawa, Edward Lowassa, amejikuta akiombea kura wabunge na madiwani waliosimamishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
GPL
KIMENUKA BUNGENI; WABUNGE WAPIGA KELELE WAKITAKA MAJIBU KURA YA MAONI
5 years ago
CCM BlogWAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA NEC