Lowassa awaombea kura wabunge, madiwani wa CCM
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na mwavuli wa Ukawa, Edward Lowassa, amejikuta akiombea kura wabunge na madiwani waliosimamishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Q87OQdumM1g/XtvnqatRawI/AAAAAAABMT8/B6S6rUilpC0VTUgG-jEZrD4D6CKcbQ6VQCLcBGAsYHQ/s72-c/EZ2Tso8XsAAaTHy.jpeg)
MPOGOLO: WABUNGE, MADIWANI WALIOSHINDWA KUWAJIBIKA KWA WAPIGA KURA WAO HAWATAPITISHWA KUGOMBEA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q87OQdumM1g/XtvnqatRawI/AAAAAAABMT8/B6S6rUilpC0VTUgG-jEZrD4D6CKcbQ6VQCLcBGAsYHQ/s400/EZ2Tso8XsAAaTHy.jpeg)
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuwa wabunge na madiwani walioshindwa kuwajibika kwa wapiga kura wao, hawatapitishwa tena katika mchakato wa uchaguzi mwaka huu. Msimamo huo ulitolewa juzi na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Rodrick Mpogolo akiwa wilayani Korogwe mkoani Tanga.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-3_CptzYDIFw/XvFfVli8F1I/AAAAAAACOQA/i7A6eSMIC5UJwoLaqJv9iJLiFZNQs24nACLcBGAsYHQ/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
CCM YAWAONYA WATIA NIA WANAOCHAFUA MADIWANI NA WABUNGE WANAOMALIZA MUDA WAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-3_CptzYDIFw/XvFfVli8F1I/AAAAAAACOQA/i7A6eSMIC5UJwoLaqJv9iJLiFZNQs24nACLcBGAsYHQ/s400/1%2B%25281%2529.jpg)
Na Allawi Kaboyo, Bukoba
Wenye nia za kugombea Udiwani, Ubunge katika Kata na Majimbo mkoani Kagera kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameonywa kuacha tabia ya kutoa kauli za kuwachafua madiwani na wabunge wanaomaliza muda wao kama njia rahisi ya kushinda nafasi hizo katika Uchaguzi Mkuu uliopamgwa...
9 years ago
Michuzi30 Oct
UK DIASPORA YAMPONGEZA RAIS MTEULE< WABUNGE NA MADIWANI WA CCM KWA USHINDI MNONO
CHAMA CHA MAPINDUZI NCHINI UINGEREZA, WALES NA SCOTLAND "CCM UK DIASPORA" TUNATOA HONGERA NA PONGEZI KWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KWA KUCHAGULIWA KWAKE KUWA RAIS WA TANO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA BI, SAMIA SULUHU HASSAN KUWA MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
PIA WABUNGE, MADIWANI NA WANACCM NA WASIO WANACCM WALIOFANIKISHA KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KUFANIKISHA USHINDI ULIOPATIKANA. UMOJA NI USHINDI, SASA #HAPA KAZI TU!
TUNAKUAHIDI USHIRIKIANO WA HALI YA JUU...
10 years ago
Habarileo05 Aug
Waziri mwingine, wabunge 4 waanguka kura za maoni CCM
SIKU mbili baada ya mawaziri watano kushindwa katika kura za maoni ya ubunge ndani ya CCM, waziri mwingine, Gaudentia Kabaka anayeshughulikia Kazi na Ajira, naye amedondoshwa katika jimbo la Tarime Mjini.
10 years ago
Vijimambo10 Aug
Lowassa: CCM hodari wa kuiba kura
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2826456/highRes/1085316/-/maxw/600/-/o1sbuaz/-/lowassa.jpg)
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad na mgombea urais wa muungano wa Ukawa, Edward Lowassa wakiwapungia mkono wananchi waliofurika makao makuu ya CUF, Buguruni jijini Dar es Salaam jana. Picha na Anthony Siame Kwa ufupiLubuva ataka aeleze jinsi wizi unavyofanyikaMtikisiko mwingine CCM, Mwenyekiti Arusha atimkaBy Nuzulack Dausen na Suzan Mwillo, Mwananchi
Dar es Salaam. Mgombea wa urais kupitia Chadema, Edward Lowassa ameituhumu CCM kuwa ni hodari wa kuiba kura hivyo akawataka wananchi...
9 years ago
Michuzi29 Oct
TFF YAWAPONGEZA WABUNGE NA MADIWANI
![](http://tff.or.tz/images/malinziArst.png)
11 years ago
Habarileo16 May
Madiwani wapinga kushiriki uchaguzi na wabunge, rais
WAJUMBE wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (Alat), ambao wengi ni madiwani wamepinga utaratibu wa Uchaguzi Mkuu, kutumiwa na wananchi kuchagua rais, wabunge na madiwani.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PBMyR_H99yI/Xu-w1Tyr78I/AAAAAAALu2Q/5M-AnwjtbCAK_w13mEnGPfgz6a6shmmyACLcBGAsYHQ/s72-c/bashiru%252Bpic.jpg)
DKT. BASHIRU AFAFANUA UKOMO WA WABUNGE, WAWAKILISHI NA MADIWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-PBMyR_H99yI/Xu-w1Tyr78I/AAAAAAALu2Q/5M-AnwjtbCAK_w13mEnGPfgz6a6shmmyACLcBGAsYHQ/s640/bashiru%252Bpic.jpg)
Pamoja na mambo mengine, akifafanua suala hilo, Katibu Mkuu ameeleza kuwa ni vema Wabunge, Wawakilishi na Madiwani wa CCM wakaachwa waendelee kutekeleza majukumu yao kikatiba ikiwa ni pamoja na kuwa wajumbe wa vikao mbalimbali kwa mujibu wa...
9 years ago
Raia Mwema07 Nov
Jinsi wapiga kura wa vijijjini ‘walivyomwibia’ Lowassa kura
Hatimaye uchaguzi umemalizika!
Kitila Mkumbo