UK DIASPORA YAMPONGEZA RAIS MTEULE< WABUNGE NA MADIWANI WA CCM KWA USHINDI MNONO
CHAMA CHA MAPINDUZI NCHINI UINGEREZA, WALES NA SCOTLAND "CCM UK DIASPORA" TUNATOA HONGERA NA PONGEZI KWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KWA KUCHAGULIWA KWAKE KUWA RAIS WA TANO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA BI, SAMIA SULUHU HASSAN KUWA MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
PIA WABUNGE, MADIWANI NA WANACCM NA WASIO WANACCM WALIOFANIKISHA KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KUFANIKISHA USHINDI ULIOPATIKANA. UMOJA NI USHINDI, SASA #HAPA KAZI TU!
TUNAKUAHIDI USHIRIKIANO WA HALI YA JUU...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Rwanda yampongeza rais mteule wa Burundi, je huu ndio mwanzo mpya?
9 years ago
Dewji Blog31 Oct
Mbene aahidi makubwa kwa ushindi mnono
Na Mwandishi wetu
MBUNGE mteule katika Jimbo la Ileje mkoani Songwe ambaye pia ni Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mbene (CCM) amewashukuru wananchi wa jimbo hilo kwa kumpa kura za kishindo, madiwani na Dkt. Jonh Magufuli anayewania urais.
Akizungumza na wakazi wa Ileje, Mbene alisema ushindi wa kura 27,583 aliopewa na wana Ileje dhidi ya Emmanuel Mbuba wa NCCR Mageuzi aliyepata kura 14,578 atahakikisha anawapa wananchi hao kupitia ushirikiano, usimamizi na utatuzi wa changamoto...
10 years ago
MichuziMENEJIMENTI YA OFISI YA MKUU WA MKOA WA RUKWA YAMPONGEZA MKUU WA MKOA HUO ENG. STELLA MANYANYA KWA USHINDI WA KISHINDO KURA ZA MAONI CCM JIMBO LA MBINGA MAGHARIBI
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/CSjOelOW4AE7cUo.jpg?width=600)
RAIS MTEULE JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHA USHINDI
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/MAGUFURI-1.jpg)
RAIS MTEULE WA TANZANIA JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHAKE CHA USHINDI
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-7A2r6-CDav8/VjNTl0xLxtI/AAAAAAAA04c/PQUjjSyOVEw/s72-c/DSC_0413.jpg)
RAIS MTEULE WA TANZANIA DK. JOHN MAGUFULI AKABIDHIWA CHETI CHAKE CHA USHINDI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-7A2r6-CDav8/VjNTl0xLxtI/AAAAAAAA04c/PQUjjSyOVEw/s640/DSC_0413.jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Polisi Singida yapiga marufuku maandamao ya UKAWA kupinga ushindi wa Rais mteule Dk. Magufuli
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Singida, Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari juu ya kupinga maandamano ya vyama vinavyounda Katiba ya Wananchi (UKAWA) kupinga matokeo ya tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.
Na Hillary Shoo, SINGIDA
JESHI la polisi Mkoani Singida limepiga marufuku maandamano yanayotarajiwa kuandaliwa na kufanyika chini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ya kupinga ushindi wa...
9 years ago
CCM BlogKAMATI KUU YA CCM YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI NA WASAIDIZI WAKE, NI KWA KUSIMAMIA VYANZO VYA MAPATO YA SERIKALI, KUDHIBITI MATUMIZI YA SERIKALI NA UHIMIZAJI WANANCHI KUFANAYA KAZI KWA BIDII
9 years ago
Habarileo24 Oct
Lowassa awaombea kura wabunge, madiwani wa CCM
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na mwavuli wa Ukawa, Edward Lowassa, amejikuta akiombea kura wabunge na madiwani waliosimamishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM).