Wafanyakazi wa Airtel kuwaunganisha wadau katika kusaidia shule ya msingi Kumbukumbu-Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-upXPEjD_Dpw/VHX4jCYOW2I/AAAAAAACvZU/4t92O1kdQjk/s72-c/unnamed.jpg)
· Wafanyakazi wa Airtel kutembea ili kukusanya jumla ya zaidi ya milioni 10.· Wafanyakazi wa Airtel kukarabati darasa na kununa madawati shule ya kumbukumbu.
Wafanyakazi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kupitia mpango wake maalumu wa “Airtel tunakujali” imeandaa matembezi ya hisani huku ikialika wadau wote wenye wito wa kuchangia elimu kuungamkono jitiada hizo ili kukamilisha lengo la kuikarabati shule ya msingi kumbukumbu iliyopo kinondoni jijini Dar es...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GQqaCSiYWZw/VHw1wc2Pc2I/AAAAAAAG0dI/V_rRdQF97aE/s72-c/1.jpg)
Airtel yakabithi kisima cha maji kwa shule ya msingi Kumbukumbu Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-GQqaCSiYWZw/VHw1wc2Pc2I/AAAAAAAG0dI/V_rRdQF97aE/s1600/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nl_RhkhuZE0/VPCxUi6dajI/AAAAAAAHGUs/jYR907vMehM/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
Wafanyakazi wa Airtel wachangia kuboresha mazingara ya shule ya msingi Ushindi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MgXKgenvDM4fgTfi6KEJNkmhsKaRvz6Pjmto*8txB8IpocQoK2MoGePYSPSDIknSSFZAcw5aTrRsnpnx5Fvo8YB/1.jpg?width=650)
AIRTEL YAFANYA MATEMBEZI YA HISANI NA KUKABIDHI KISIMA CHA MAJI SAFI SHULE YA MSINGI KUMBUKUMBU
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Shule ya msingi Green Hill ya jijini Dar yafanya vizuri katika mtihani wa darasa la saba
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y2RDaDVFLGw/VjZDdmWRWDI/AAAAAAAAHfQ/w9W2x3lRif0/s640/GREEN%2BHILL%2BPIC%2B1.jpg)
Shule ya Msingi Green Hill iliyopo Ilala Mkoani Dar es salaam imekuwa miongoni mwa shule bora zilizofanya vizuri katika mtihani wa darasa la saba, uliofanyika mwezi Septemba mwaka huu kote nchini.
Katika Matokeo yaliyotangazwa juzi na Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani nchini NECTA Dk.Charles Msonde, ufaulu wa Kitaifa mwaka huu umepanda kwa asilimia 10.85 kutoka asilimia 56.99 za mwaka jana, ambapo wanafunzi waliofaulu ni 518,034 kati ya 775,273 waliosahiliwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-beXam-apnMw/VRlPwyp2iRI/AAAAAAAHOZ8/_k6FfTjQKaQ/s72-c/1B.jpg)
AIRTEL YAKARABATI DARASA SHULE YA MSINGI USHINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-beXam-apnMw/VRlPwyp2iRI/AAAAAAAHOZ8/_k6FfTjQKaQ/s1600/1B.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XRmBvNJ58Pw/VRlPyKTWfwI/AAAAAAAHOaM/HBGWVSMcqBU/s1600/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ShxwJaAFr8Y/UySFYWh5qrI/AAAAAAAFTpg/sKvyNnevnzY/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Rotary Club Dar es Salaam wazindua mabomba ya maji safi na salama ya kunywa katika Shule ya msingi ya Kijitonyama
![](http://1.bp.blogspot.com/-ShxwJaAFr8Y/UySFYWh5qrI/AAAAAAAFTpg/sKvyNnevnzY/s1600/unnamed+(13).jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/130.jpg)
AIRTEL KUPITIA MRADI WA TUNAKUJALI WAENDELEA KUSAIDIA SHULE HAPA NCHINI
11 years ago
MichuziAirtel yatoa vifaa vya ofisi ya walimu wa shule ya msingi Bayuni
kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imetoa msaada wa seti ya meza...
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Pinda aendelea kupokea misaada ya vifaa mbalimbali kusaidia shule mpya ya msingi Kakuni Mkoani Katavi
Mwakilishi wa Kampuni ya HUAWEI nchini Tanzania Bw. Jimmy Liguo Jin (kushoto) akimkabidhi Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda sehemu ya msaada wa kompyuta mpakato zilizotolewa na kampuni hiyo kusaidia wanafunzi wa shule mpya ya Msingi ya Kakuni iliyo katika kijiji cha Kibaoni mkoani Katavi leo jijini Dar es salaam. Shule hiyo ya kisasa imeanzishwa kufuatia wazo la Wazo la Waziri Mkuu, Mhe.Mizengo Pinda la kuwa na shule Bora na ya kisasa katika kijiji hicho na inajengwa kupitia michango na...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10