Wafanyakazi wa Airtel wachangia kuboresha mazingara ya shule ya msingi Ushindi
![](http://2.bp.blogspot.com/-nl_RhkhuZE0/VPCxUi6dajI/AAAAAAAHGUs/jYR907vMehM/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
Kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel kupitia mradi wake wa “AirtelTunakujali” wakishirikiana na wafanyakazi wa kitengo cha Airtel Biashara za Mashirika wameendeleza dhamira ya kusaidia jamii kwa kukarabati darasa la chekechea katika shule ya msingi Ushindi iliyopo jijini Dar Es Salaam. Airtel imeendelea kushirikiana na wafanya kazi wake kutoa mchango kwa jamii kwa kuhakikisha shule zinakuwa na miundombinu na mazingira bora ya kujifunza hali itakayochochea wanafunzi kupenda shule. Uchakavu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-beXam-apnMw/VRlPwyp2iRI/AAAAAAAHOZ8/_k6FfTjQKaQ/s72-c/1B.jpg)
AIRTEL YAKARABATI DARASA SHULE YA MSINGI USHINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-beXam-apnMw/VRlPwyp2iRI/AAAAAAAHOZ8/_k6FfTjQKaQ/s1600/1B.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XRmBvNJ58Pw/VRlPyKTWfwI/AAAAAAAHOaM/HBGWVSMcqBU/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-upXPEjD_Dpw/VHX4jCYOW2I/AAAAAAACvZU/4t92O1kdQjk/s72-c/unnamed.jpg)
Wafanyakazi wa Airtel kuwaunganisha wadau katika kusaidia shule ya msingi Kumbukumbu-Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-upXPEjD_Dpw/VHX4jCYOW2I/AAAAAAACvZU/4t92O1kdQjk/s1600/unnamed.jpg)
Wafanyakazi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kupitia mpango wake maalumu wa “Airtel tunakujali” imeandaa matembezi ya hisani huku ikialika wadau wote wenye wito wa kuchangia elimu kuungamkono jitiada hizo ili kukamilisha lengo la kuikarabati shule ya msingi kumbukumbu iliyopo kinondoni jijini Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QF11X5aS4u8/VLTxKyEndOI/AAAAAAAG9CU/FpasTlgXxSw/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Wadau wa Social Media Network Citizens wachangia madawati kwa shule ya Msingi Mjimwema
Katika awamu ya kwanza, wadau hawa walikabidhi madawati 45. Jumla ya Tsh 30.5 millioni zimechangwa na wadau hawa na zimetumika kutengeneza madawati 286 yaliyotolewa hadi hivi sasa.
Mchango huu wa madawati umewezesha kutatua tatizo la...
10 years ago
Bongo Movies06 Mar
Faiza na Wenzake Watoa Msaada wa Kuboresha Vyoo Shule ya Msingi ya Mwnanyamala Kisiwani
Mwigizaji wa filamu na Faiza Ally siku ya jana akiwa na wenzake walitoa msaada wa vifaa vya kujengea vyoo bora kwenye shule ya msingi ya Mwananyamala Kisiwani iliyopo jijini Dar.
“Tumefurahi tumefanikiwa tulijichangisha tukaweza kununua vyoo 10 kwa ajili ya kusaidia watoto wa shule ya mwananyamala kisiwani- ninajisikia very proud na team yangu”-Faiza aliandika mtandaoni mara baada ya kubandika picha hizo hapo juu wakiwa shuleni hapo.
“Watoto wamefurahi final wataingia kwenye vyoo visafi...
11 years ago
MichuziAirtel yatoa vifaa vya ofisi ya walimu wa shule ya msingi Bayuni
kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imetoa msaada wa seti ya meza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIlifNCgBRz4BXk6rQYF9fEj-8xLEBs6q-1O1cNj0mbUDpiLfOy2AhL7l6nN*1y4pIVT2wBOq4fpbM-*Jz839PXo/Pic2.jpg.JPG?width=650)
AIRTEL YATOA VIFAA VYA OFISI YA WALIMU WA SHULE YA MSINGI BAYUNI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GQqaCSiYWZw/VHw1wc2Pc2I/AAAAAAAG0dI/V_rRdQF97aE/s72-c/1.jpg)
Airtel yakabithi kisima cha maji kwa shule ya msingi Kumbukumbu Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-GQqaCSiYWZw/VHw1wc2Pc2I/AAAAAAAG0dI/V_rRdQF97aE/s1600/1.jpg)
11 years ago
MichuziAirtel yatoa msaada wa vifaa vya ofisi kwa shule ya Msingi Chau Chalinze
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kwa kupitia shughuli zake za huduma kwa jamii imetoa msaada vifaa kwa ajili ya ofisi ya walimu kwa shule ya msingi ya Chau iliyoko Chalinze mkoani Pwani.
Akiongea kwa niaba ya Airtel Afisa mauzo wa kanda ya Pwani...
11 years ago
GPLAIRTEL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA OFISI KWA SHULE YA MSINGI CHAU CHALINZE
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10