AIRTEL YAKARABATI DARASA SHULE YA MSINGI USHINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-beXam-apnMw/VRlPwyp2iRI/AAAAAAAHOZ8/_k6FfTjQKaQ/s72-c/1B.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (wa tatu kulia), akizungumza kabla ya kukabidhi Darasa la Chekechea lililokarabatiwa kwa udhamini wa Wafanyakazi wa Airtel, kama sehemu ya huduma kwa jamii, katika Shule ya Msingi Ushindi iliyopo Mikocheni ‘B’, jijini Dar es Salaam jana. Kutoka (kulia) ni Mwenyekiti wa Shule hiyo, Jumanne Konara na Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Elias Katunzi, Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (kushoto) na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nl_RhkhuZE0/VPCxUi6dajI/AAAAAAAHGUs/jYR907vMehM/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
Wafanyakazi wa Airtel wachangia kuboresha mazingara ya shule ya msingi Ushindi
10 years ago
Michuzi12 Apr
9 years ago
MichuziMAHAFALI YA DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI GENIUS KING’S JIJINI DAR
9 years ago
MichuziMAHAFALI DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI YA ST.MARY'S INTERNATIONAL SCHOOL JIJINI MBEYA
Kwa picha zaidi na Jamiimoja blog BOFYA HAPA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W8gEAVDN3SA/Xmvp8KicMjI/AAAAAAALjBQ/24ZEbO6W-e4EpurtgnwcTj0DNaAILYUrACLcBGAsYHQ/s72-c/1-33-768x432.jpg)
SHIRIKA LA OCODE LAWAJENGEA DARASA JIPYA KWA WANAFUNZI WA ELIMU YA AWALI SHULE YA MSINGI KIBWEGERE
![](https://1.bp.blogspot.com/-W8gEAVDN3SA/Xmvp8KicMjI/AAAAAAALjBQ/24ZEbO6W-e4EpurtgnwcTj0DNaAILYUrACLcBGAsYHQ/s640/1-33-768x432.jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Shule ya msingi Green Hill ya jijini Dar yafanya vizuri katika mtihani wa darasa la saba
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y2RDaDVFLGw/VjZDdmWRWDI/AAAAAAAAHfQ/w9W2x3lRif0/s640/GREEN%2BHILL%2BPIC%2B1.jpg)
Shule ya Msingi Green Hill iliyopo Ilala Mkoani Dar es salaam imekuwa miongoni mwa shule bora zilizofanya vizuri katika mtihani wa darasa la saba, uliofanyika mwezi Septemba mwaka huu kote nchini.
Katika Matokeo yaliyotangazwa juzi na Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani nchini NECTA Dk.Charles Msonde, ufaulu wa Kitaifa mwaka huu umepanda kwa asilimia 10.85 kutoka asilimia 56.99 za mwaka jana, ambapo wanafunzi waliofaulu ni 518,034 kati ya 775,273 waliosahiliwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-neWP6fd9VMs/VRAWjkK37sI/AAAAAAAHMbA/HXrcJ7OmiVg/s72-c/unnamed%2B(67).jpg)
Wafanyakazi wa Airtel wadhamini ujenzi wa darasa la shule ya watoto wa mahitaji maalumu Pongwe Tanga
11 years ago
MichuziAirtel yatoa vifaa vya ofisi ya walimu wa shule ya msingi Bayuni
kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imetoa msaada wa seti ya meza...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-upXPEjD_Dpw/VHX4jCYOW2I/AAAAAAACvZU/4t92O1kdQjk/s72-c/unnamed.jpg)
Wafanyakazi wa Airtel kuwaunganisha wadau katika kusaidia shule ya msingi Kumbukumbu-Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-upXPEjD_Dpw/VHX4jCYOW2I/AAAAAAACvZU/4t92O1kdQjk/s1600/unnamed.jpg)
Wafanyakazi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kupitia mpango wake maalumu wa “Airtel tunakujali” imeandaa matembezi ya hisani huku ikialika wadau wote wenye wito wa kuchangia elimu kuungamkono jitiada hizo ili kukamilisha lengo la kuikarabati shule ya msingi kumbukumbu iliyopo kinondoni jijini Dar es...