Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyakazi wa Airtel wadhamini ujenzi wa darasa la shule ya watoto wa mahitaji maalumu Pongwe Tanga

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imesaidia ujenzi wa darasa kwa ajili ya watoto wenye ulemavu katika shule ya msingi Pongwe iliyopo nje kidogo ya Jiji la Tanga.Darasa hilo limejengwa ikiwa ni jitihada za kampuni hiyo kusaidia maendeleo ya elimu nchini kupitia mpango wa “ Tunakujali” unaohusisha wafanyakazi wake kuchangia katika shughuli za kijamiiMkurugenzi wa Huduma za jamii wa kampuni ya Airtel Bi Adriana Lyamba amefanya ukaguzi wa ujenzi huo na kuahidi kuendelea kusaidia mpango wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Airtel yaendesha program maalumu kwa watoto wa wafanyakazi wake

Kampuni ya simu za Mkononi ya Airtel imeeandaa na kuendesha program maalum inayowawezesha watoto wa wafanyakazi wao kutembelea ofisi za Airtel na kupata wakati wa kujifunza na kuona mambo mbalimbali yanayofanywa na wazazi wao wakiwa ofisini kila siku.  Akizungumza na waandishi wa habari Mkurugenzi wa Rasilimali watu Patrick Foya alisema”Wakati ni sasa kuwafunza watoto mambo mbalimbali yanayoendana na tecknologia ya karne hii, tunaamini ni muhimu kuwafunza kwa vitendo watoto wetu mambo...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YAENDESHA PROGRAM MAALUMU KWA WATOTO WA WAFANYAKAZI WAKE‏

Afisa Rasilimali wa watu, Mubaraka Kibarabara (wa tatu kushoto), akiwafunza watoto ,wakati wa program maalum ya Airtel inayowawezesha watoto wa wafanyakazi wao kutembelea ofisi za Airtel na kupata wakati wa kujifunza na kuona mambo mbalimbali yanayofanywa na wazazi wao wakiwa ofisini kila siku. Mkurugenzi wa mtandao wa Airtel Tanzania, Franky Filman, akimfundisha mtoto jinsi ya kutumia mashine ya kutoa copy wakati wa program...

 

11 years ago

Mwananchi

Safari ndefu kwa watoto wenye mahitaji maalumu

>Wengi hujikuta wakipigwa, wakitukanwa, wakinyanyaswa au wakipewa adhabu kali na walimu wao kutokana na hali zao wakiwa darasani.

 

5 years ago

Michuzi

WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Hadija Mwinuka ametoa wito kwa wazazi wenye watoto wenye mahitaji maalum wawapeleke shule badala ya kukaa nao nyumbani na kuwafungia

Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya

Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume  wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...

 

10 years ago

Michuzi

AIRTEL YAKARABATI DARASA SHULE YA MSINGI USHINDI

Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (wa tatu kulia), akizungumza kabla ya kukabidhi Darasa la Chekechea lililokarabatiwa kwa udhamini wa Wafanyakazi wa Airtel, kama sehemu ya huduma kwa jamii, katika Shule ya Msingi Ushindi iliyopo Mikocheni ‘B’, jijini Dar es Salaam jana. Kutoka (kulia) ni Mwenyekiti wa Shule hiyo, Jumanne Konara na Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Elias Katunzi, Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (kushoto) na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo.

 

10 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa Airtel wachangia kuboresha mazingara ya shule ya msingi Ushindi

Kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel kupitia mradi wake wa “AirtelTunakujali” wakishirikiana na wafanyakazi wa kitengo cha Airtel Biashara za Mashirika wameendeleza dhamira ya kusaidia jamii kwa kukarabati darasa la chekechea katika shule ya msingi Ushindi iliyopo jijini Dar Es Salaam.  Airtel imeendelea kushirikiana na wafanya kazi wake kutoa mchango kwa jamii kwa kuhakikisha shule zinakuwa na miundombinu na mazingira bora ya kujifunza hali itakayochochea wanafunzi kupenda shule. Uchakavu...

 

10 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa Airtel kuwaunganisha wadau katika kusaidia shule ya msingi Kumbukumbu-Dar

 ·         Wafanyakazi wa Airtel kutembea ili kukusanya jumla ya zaidi ya milioni 10.·         Wafanyakazi wa Airtel kukarabati darasa na kununa madawati shule ya kumbukumbu.
Wafanyakazi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kupitia mpango wake maalumu wa “Airtel tunakujali” imeandaa matembezi ya hisani huku ikialika wadau wote wenye wito wa kuchangia elimu kuungamkono jitiada hizo ili kukamilisha lengo la kuikarabati shule ya msingi kumbukumbu iliyopo kinondoni jijini Dar es...

 

10 years ago

Michuzi

MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA SHULE YA MSINGI MPILIPILI KWENYE KITENGO CHA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM NA PIA MATAWI YA CCM LINDI MJINI

 Mke wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya Chama Cha Mapinduzi Mama Salma Kikwete akimsikiliza mtoto mwenye mahitaji maalum Mohammed Hashim aliyeweza kuimba vizuri wimbo wa Taifa. Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimpongeza mtoto Mohammed Hashim mara baada ya kuimba wimbo wa Taifa.  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akishiriki kufundisha darasa la wanafunzi wenye mahitaji maalum wanaosoma katika Shule ya Msingi Mpilipili huko Lindi tarehe 11.2.2015.  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete aizungumza na...

 

5 years ago

Michuzi

AIRTEL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI WA CHOO SHULE YA KIGUZA MKURANGA

 Ofisa Uhusiano na Matukio wa Airtel Tanzania, Dangio Kaniki, akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi Kiguza iliyopo Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani baada ya kukabidhi msaada wa vitu mbalimbali vilivyotolewa na wafanyakazi ikiwa ni msaada toka kwa wafanyakazi  Wanawake wnaofanya kazi Airtel. Hafla hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki.  Meneja wa Kitengo cha kuhudumia wateja wakubwa Airtel Tanzania, Alice Maziku, akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Msingi Kiguza iliyopo Wilaya ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani