Maadili yanachangia kufaulu au kuanguka darasani
WIKI iliyopita Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), lilitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita ambayo yameonyesha ufaulu wa mwaka huu umeongezeka ukilinganisha na mwaka jana.
Kwa mujibu wa matokeo hayo, ufaulu umeongezeka kwa asilimia 0.61 yaani yametoka katika asilimia 98.26 mwaka jana hadi asilimia 98.87 mwaka huu.
Matokeo hayo pia yaonyesha kuwa wasichana wameongoza kwa ufaulu kwa asilimia 98.56, huku wavulana wamefaulu kwa asilimia 97.26.
Hili ni suala la kujivunia...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Magonjwa ya moyo yanachangia kushusha uchumi
ATHARI za magonjwa ya moyo zimeendelea kujitokeza kila siku duniani na kuchangia kwa kiasi kikubwa utendaji kazi wa baadhi ya watu kushuka, hivyo kushusha kipato cha familia na taifa kwa...
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Mambo haya yanachangia uhaba wa walimu wa sayansi
11 years ago
Mwananchi20 May
Siri ya kufaulu usaili wa kazi- 2
10 years ago
GPL
KUSOMA SANA SIYO KUFAULU
5 years ago
Michuzi
Wajumbe wa Baraza la Maadili wafanya Ziara Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma


11 years ago
Michuzi
Watumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma wahimizwa kuzingatia Maadili.
10 years ago
Michuzi
Sekretarieti ya Maadili waendesha mafunzo ya Maadili kwa maafisa waandamizi wa Polisi Zanzibar
Mafunzo hayo yana lengo la kuwasaidia watendaji hao wa Jeshi la Polisi walioko Zanzibar kuweza kuondokana na changamoto nyingi za uvunjifu wa maadili ambazo watendaji hao wamekuwa wakikabiliana nazo.
Mafunzo hayo pia yana lengo la kuwakumbusha watendaji hao jinsi...
10 years ago
Habarileo27 Jun
Spika aaga Wawakilishi, ajivunia kufaulu mtihani
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amewaaga wajumbe wa baraza hilo na kusema amefaulu mtihani mkubwa uliokuwa ukimkabili kuliongoza Baraza la Wawakilishi likiwa katika muundo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa kwa mafanikio makubwa.
10 years ago
Mtanzania25 Feb
JK awataka wanafunzi kufaulu kwa akili zao
Patricia Kimelemeta
RAIS Jakaya Kikwete amewataka wanafunzi wanaofanya mitihani kuhakikisha wanafaulu kwa akili zao na si kufaulishwa.
Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa kupokea vitabu milioni 2.5 vilivyotolewa na Serikali ya Marekani kwa wanafunzi wa sekondari nchini, Rais Kikwete alisema idadi kubwa ya wanafunzi nchini wana juhudi za kusoma, jambo ambalo limesaidia kuongezeka kwa ufaulu mwaka hadi mwaka.
“Hakuna mwalimu anayemsaidia mwanafunzi katika mitihani, kila mmoja anafanya...