KUSOMA SANA SIYO KUFAULU
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/kusoma.jpg?width=650)
SIYO wanafunzi tu, lakini hata watu wengi wamekuwa na dhana kwamba mwanafunzi anayesoma sana ndiye mwenye akili nyingi na kumtabiria kufaulu vizuri kuliko yule ambaye anasoma mara chache. Kimantiki mtazamo huo haupingiki kwa kuwa hata kwenye suala la afya mtu akiwa mnene basi huchukuliwa kuwa ni mwenye afya njema huku mwembamba akitazamiwa kama mtu mwenye matatizo ya kiafya jambo ambalo pia huweza kuwa kinyume chake. Vivyo hivyo...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/y*wDQ4ub4BkfFt9dM8NbnbCu3EQZ56PlZ2j21BIseXiyAf9v9tJw5X2vEtNpUoLFnFk8uSWgSL0HZavg0yL3SU*pATR47Dxx/couple.jpg?width=650)
KUMBUKA KUBEMBELEZWA SANA SIYO KUPENDWA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MMaj31ebAY9l2MolyluygPZKiZZmy-jI7d-VWsFlLJxHRMlCMCsTdjxRR5siQUTm-fyDYHsUOlEFeW30e9YlIOv*z5yzMLs2/MenCantResistAboutAWoman.jpg?width=650)
KUMBUKA KUBEMBELEZWA SANA SIYO KUPENDWA-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjUOr9TGihNeKKPU7UMNQra91KVVHeBM1tIqW*WxXHLxJxkNn5uK9d*Nlj59jl8D16-2zhJ*jsX-4dVQAwL0w3Eb/wanawake.jpg)
WANAWAKE: MSITUMIE SUKARI SIYO NZURI SANA!
10 years ago
Mwananchi19 Jul
SAIKOLOJIA : je, Unajua kurekebisha mtindo wako wa kusoma kufuatana na malengo yako ya kusoma?
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...
11 years ago
Mwananchi20 May
Siri ya kufaulu usaili wa kazi- 2
10 years ago
Raia Tanzania20 Jul
Maadili yanachangia kufaulu au kuanguka darasani
WIKI iliyopita Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), lilitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita ambayo yameonyesha ufaulu wa mwaka huu umeongezeka ukilinganisha na mwaka jana.
Kwa mujibu wa matokeo hayo, ufaulu umeongezeka kwa asilimia 0.61 yaani yametoka katika asilimia 98.26 mwaka jana hadi asilimia 98.87 mwaka huu.
Matokeo hayo pia yaonyesha kuwa wasichana wameongoza kwa ufaulu kwa asilimia 98.56, huku wavulana wamefaulu kwa asilimia 97.26.
Hili ni suala la kujivunia...
10 years ago
Habarileo27 Jun
Spika aaga Wawakilishi, ajivunia kufaulu mtihani
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amewaaga wajumbe wa baraza hilo na kusema amefaulu mtihani mkubwa uliokuwa ukimkabili kuliongoza Baraza la Wawakilishi likiwa katika muundo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa kwa mafanikio makubwa.
10 years ago
Mtanzania25 Feb
JK awataka wanafunzi kufaulu kwa akili zao
Patricia Kimelemeta
RAIS Jakaya Kikwete amewataka wanafunzi wanaofanya mitihani kuhakikisha wanafaulu kwa akili zao na si kufaulishwa.
Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa kupokea vitabu milioni 2.5 vilivyotolewa na Serikali ya Marekani kwa wanafunzi wa sekondari nchini, Rais Kikwete alisema idadi kubwa ya wanafunzi nchini wana juhudi za kusoma, jambo ambalo limesaidia kuongezeka kwa ufaulu mwaka hadi mwaka.
“Hakuna mwalimu anayemsaidia mwanafunzi katika mitihani, kila mmoja anafanya...