Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUSOMA SANA SIYO KUFAULU

SIYO wanafunzi tu, lakini hata watu wengi wamekuwa na dhana kwamba mwanafunzi anayesoma sana ndiye mwenye akili nyingi na kumtabiria kufaulu vizuri kuliko yule ambaye anasoma mara chache. Kimantiki mtazamo huo haupingiki kwa kuwa hata kwenye suala la afya mtu akiwa mnene basi huchukuliwa kuwa ni mwenye afya njema huku mwembamba akitazamiwa kama mtu mwenye matatizo ya kiafya jambo ambalo pia huweza kuwa kinyume chake. Vivyo hivyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

KUMBUKA KUBEMBELEZWA SANA SIYO KUPENDWA

Hatuna budi kumshukuru mwenyezi Mungu kwa rehema na neema zake kutukutanisha tena Jumatatu hii katika kilinge chetu hiki cha XXlove kuzungumza yanayotusibu katika uhusiano wetu. Baada ya kuzungumzia mada ya Mambo Yanayofurahisha Faragha kwa takriban wiki mbili mfululizo, leo tuangalie mada inayohusu baadhi ya wapenzi wanaobembelezwa na wenza wao na kuhisi kuwa wanapendwa sana kumbe wakati mwingine wanachezewa tu akili na hisia...

 

9 years ago

GPL

KUMBUKA KUBEMBELEZWA SANA SIYO KUPENDWA-2

Tumshukuru Mungu mwingi wa rehema kwa kutujalia pumzi na kuiona siku hii njema ya Jumatatu. Karibu mpenzi msomaji wangu wa safu hii ya XXLove ambaye umekuwa ukifuatilia mada zangu pamoja na kutoa maoni mbalimbali. Wiki iliyopita tulizungumza namna ambavyo baadhi ya watu hujikuta wanaingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na wenza wasiokuwa na mapenzi ya dhati bali hutumia ulaghai wa kubembeleza na kupetipeti kinafiki.
Niliahidi...

 

10 years ago

GPL

WANAWAKE: MSITUMIE SUKARI SIYO NZURI SANA!

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi karibuni na jarida moja la masuala ya afya la nchini Uingereza (BMC Public Health), unywaji wa vinywaji vyenye sukari, kiasi cha mara tatu kwa wiki, huweza kunenepesha matiti na unenepaji wa matiti huongeza hatari ya mwanamke kupatwa na saratani ya matiti. Waliofanyiwa utafiti huo ni wanawake 776 ambao hawajafikia ukomo wa hedhi (Premenopausal) na wanawake 779 waliofikia ukomo wa hedhi...

 

10 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : je, Unajua kurekebisha mtindo wako wa kusoma kufuatana na malengo yako ya kusoma?

Je wakati mwingine unaposoma habari fulani huwa unashindwa kuelewa kilichokusudiwa? Je, hali hii huwa inatokea mara kwa mara au mara chache tu? Je, inapotokea hali hii huwa unafanya nini? Je unafikiri ni wewe tu unayekabiliwa na tatizo hili? Hata hivyo, usiwe na wasiwasi kwa kuwa wako watu wengi wanaokabiliwa na tatizo kama hili.

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago

Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake MbagalaTabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...

 

11 years ago

Mwananchi

Siri ya kufaulu usaili wa kazi- 2

Wiki iliyopita tulijifunza baadhi ya mbinu zinazoweza kumsaidia mtu anayetafuta ajira pindi anapojiandaa na usaili wa kazi.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Maadili yanachangia kufaulu au kuanguka darasani

WIKI iliyopita Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), lilitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita ambayo yameonyesha ufaulu wa mwaka huu umeongezeka ukilinganisha na mwaka jana.

Kwa mujibu wa matokeo hayo, ufaulu umeongezeka kwa asilimia 0.61 yaani yametoka katika asilimia 98.26 mwaka jana hadi asilimia 98.87 mwaka huu.

Matokeo hayo pia yaonyesha kuwa wasichana wameongoza kwa ufaulu  kwa asilimia 98.56,  huku wavulana wamefaulu kwa asilimia 97.26.

Hili ni suala la kujivunia...

 

10 years ago

Habarileo

Spika aaga Wawakilishi, ajivunia kufaulu mtihani

Spika wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir KifichoSPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amewaaga wajumbe wa baraza hilo na kusema amefaulu mtihani mkubwa uliokuwa ukimkabili kuliongoza Baraza la Wawakilishi likiwa katika muundo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa kwa mafanikio makubwa.

 

10 years ago

Mtanzania

JK awataka wanafunzi kufaulu kwa akili zao

Pg 1Patricia Kimelemeta
RAIS Jakaya Kikwete amewataka wanafunzi wanaofanya mitihani kuhakikisha wanafaulu kwa akili zao na si kufaulishwa.
Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa kupokea vitabu milioni 2.5 vilivyotolewa na Serikali ya Marekani kwa wanafunzi wa sekondari nchini, Rais Kikwete alisema idadi kubwa ya wanafunzi nchini wana juhudi za kusoma, jambo ambalo limesaidia kuongezeka kwa ufaulu mwaka hadi mwaka.
“Hakuna mwalimu anayemsaidia mwanafunzi katika mitihani, kila mmoja anafanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani