WANAWAKE: MSITUMIE SUKARI SIYO NZURI SANA!
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi karibuni na jarida moja la masuala ya afya la nchini Uingereza (BMC Public Health), unywaji wa vinywaji vyenye sukari, kiasi cha mara tatu kwa wiki, huweza kunenepesha matiti na unenepaji wa matiti huongeza hatari ya mwanamke kupatwa na saratani ya matiti. Waliofanyiwa utafiti huo ni wanawake 776 ambao hawajafikia ukomo wa hedhi (Premenopausal) na wanawake 779 waliofikia ukomo wa hedhi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Tunachohitaji ni ufumbuzi wa matatizo siyo sauti nzuri
9 years ago
GPLKUSOMA SANA SIYO KUFAULU
9 years ago
GPLKUMBUKA KUBEMBELEZWA SANA SIYO KUPENDWA-2
9 years ago
GPLKUMBUKA KUBEMBELEZWA SANA SIYO KUPENDWA
10 years ago
Vijimambo27 Dec
AINA 10 ZA WANAWAKE WANAOPENDWA NA SANA NA WANAUME
10 years ago
VijimamboSUZUKI ESCUDO INAUZWA BEI NZURI...IPO KWENYE HALI NZURI KABISA
MAKE: SUZUKI
MODEL: ESCUDO
MODEL NUMBER: TDIIW
BODY TYPE: STATION WAGON
COLOR: BLUE METALLIC
Year Of Manufacture:1995
ENGINE CAPACITY: 1998 cc
FUEL USED: PETROL
HALAFU NI 4WD
TRANSIMISSION: AUTOMATIC.
GARI HII IPO KWENYE HALI NZURI KABISABEI NI MIL 6.5 Tsh.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA NAMBA HII 0712 390 200kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Kwa ndani inaonyoonekana
9 years ago
MichuziRC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje
Na Mwandishi Wetu, KilimanjaroMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...
9 years ago
Michuzi05 Sep
Wanawake wanateseka sana duniani - Spika Anne Makinda
Picha: Joseph MsamiSpika wa bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda amesema wanawake bado wanateseka takribani kote duniani, wengine wakiambulia vipigo na kadhia mbalimbali.Kandoni mwa mkutano wa Nne wa maspika wa mabunge duniani jijini New York spika Makinda amemueleza Joseph Msami wa idhaa hii, spika huyo wa kwanza mwanamke nchini Tanzania anasema lazima wanaume na jamii kwa ujumla wamkomboe mwanamke. Kwanza anaanza kueleza maudhui ya mkutano.KUSIKILIZA BOFYA...
11 years ago
MichuziKongamano na maonyesho ya wanawake Wajasiriamali Tanzania lafana sana