Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAWAKE: MSITUMIE SUKARI SIYO NZURI SANA!

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi karibuni na jarida moja la masuala ya afya la nchini Uingereza (BMC Public Health), unywaji wa vinywaji vyenye sukari, kiasi cha mara tatu kwa wiki, huweza kunenepesha matiti na unenepaji wa matiti huongeza hatari ya mwanamke kupatwa na saratani ya matiti. Waliofanyiwa utafiti huo ni wanawake 776 ambao hawajafikia ukomo wa hedhi (Premenopausal) na wanawake 779 waliofikia ukomo wa hedhi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tunachohitaji ni ufumbuzi wa matatizo siyo sauti nzuri

Nimeandika makala kadhaa zinazohusu huduma bora kwa wateja katika safu hii. Nalazimika kuandika tena leo kwa sababu kwa kweli maeneo mengi ya nchi hii huduma ni mbovu sana. Yapo mabadiliko katika maeneo machache ambayo yanaonyesha angalau watu wanatambua kuwa kuna ushindani katika biashara zetu hivyo wanatakiwa kutoa huduma kwa ushindani; hao nawapa hongera.

 

9 years ago

GPL

KUSOMA SANA SIYO KUFAULU

SIYO wanafunzi tu, lakini hata watu wengi wamekuwa na dhana kwamba mwanafunzi anayesoma sana ndiye mwenye akili nyingi na kumtabiria kufaulu vizuri kuliko yule ambaye anasoma mara chache. Kimantiki mtazamo huo haupingiki kwa kuwa hata kwenye suala la afya mtu akiwa mnene basi huchukuliwa kuwa ni mwenye afya njema huku mwembamba akitazamiwa kama mtu mwenye matatizo ya kiafya jambo ambalo pia huweza kuwa kinyume chake. Vivyo hivyo...

 

9 years ago

GPL

KUMBUKA KUBEMBELEZWA SANA SIYO KUPENDWA-2

Tumshukuru Mungu mwingi wa rehema kwa kutujalia pumzi na kuiona siku hii njema ya Jumatatu. Karibu mpenzi msomaji wangu wa safu hii ya XXLove ambaye umekuwa ukifuatilia mada zangu pamoja na kutoa maoni mbalimbali. Wiki iliyopita tulizungumza namna ambavyo baadhi ya watu hujikuta wanaingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na wenza wasiokuwa na mapenzi ya dhati bali hutumia ulaghai wa kubembeleza na kupetipeti kinafiki.
Niliahidi...

 

9 years ago

GPL

KUMBUKA KUBEMBELEZWA SANA SIYO KUPENDWA

Hatuna budi kumshukuru mwenyezi Mungu kwa rehema na neema zake kutukutanisha tena Jumatatu hii katika kilinge chetu hiki cha XXlove kuzungumza yanayotusibu katika uhusiano wetu. Baada ya kuzungumzia mada ya Mambo Yanayofurahisha Faragha kwa takriban wiki mbili mfululizo, leo tuangalie mada inayohusu baadhi ya wapenzi wanaobembelezwa na wenza wao na kuhisi kuwa wanapendwa sana kumbe wakati mwingine wanachezewa tu akili na hisia...

 

10 years ago

Vijimambo

AINA 10 ZA WANAWAKE WANAOPENDWA NA SANA NA WANAUME

WAPENDA USAWAAina ya pili inayohitajika katika katika ulimwengu wa kimapenzi niwanawake wanaoheshimu usawa wa jinsia, walio tayari kubeba majukumu yakifamilia kwa ulinganifu sawa na wanaume, wenye uwezo wa kuongoza jamiikwa asilimia 50 kwa 50WANAOJUA MAPENZIWanawake wajuzi wa mambo ya faragha wanapendwa sana. Sifa yao kubwa niuwezo wa kuwatosheleza wenzi wao katika tendo la ndoa. Tafiti zinaonesha kuwa wanaume hupenda sana wanawake watundu katika mchezo wa sita kwasita. Mara nyingi wanatajwa...

 

10 years ago

Vijimambo

SUZUKI ESCUDO INAUZWA BEI NZURI...IPO KWENYE HALI NZURI KABISA

Upande wa Kushoto unavyoonekanaUpande wa Kulia UnavyoonekanaTAARIFA KUHUSU GARI HII NI..........REGISTRATION NUMBER: T 746 AAT
MAKE: SUZUKI
MODEL: ESCUDO
MODEL NUMBER: TDIIW
BODY TYPE: STATION WAGON
COLOR: BLUE METALLIC


Year Of Manufacture:1995
ENGINE CAPACITY: 1998 cc
FUEL USED: PETROL
HALAFU NI 4WD 

TRANSIMISSION: AUTOMATIC.

GARI HII IPO KWENYE HALI NZURI KABISABEI NI MIL 6.5 Tsh.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA NAMBA HII 0712 390 200kwa picha zaidi bofya soma zaidi
 Kwa ndani inaonyoonekana

 

9 years ago

Michuzi

RC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje

Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Amos Makalla akiwa kwenye ukaguzi wa kiwanda cha sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani humo, kama sehemu ya kuangalia hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. Picha na Mpigapicha wetu.
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro

MKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...

 

9 years ago

Michuzi

Wanawake wanateseka sana duniani - Spika Anne Makinda


Picha: Joseph MsamiSpika wa bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda amesema wanawake bado wanateseka takribani kote duniani, wengine wakiambulia vipigo na kadhia mbalimbali.Kandoni mwa mkutano wa Nne wa maspika wa mabunge duniani jijini New York spika Makinda amemueleza Joseph Msami wa idhaa hii, spika huyo wa kwanza mwanamke nchini Tanzania anasema lazima wanaume na jamii kwa ujumla wamkomboe mwanamke. Kwanza anaanza kueleza maudhui ya mkutano.KUSIKILIZA BOFYA...

 

11 years ago

Michuzi

Kongamano na maonyesho ya wanawake Wajasiriamali Tanzania lafana sana

Kongamano la wanawake Wajasiriamali Tanzania lilofanyika katika ukumbi wa Mbezi Garden Hotel lilifana , mada mbalimbali ziliwasilishwa katika kongamano hilo liliandaliwa na Tanzania Business Entreprenuers for Women(TBEW) wakiongozwa na Haika Lawere Mkurugenzi Mtendaji wa Mbezi Garden Hotel. Kampuni na vikundi vya wajasiriamali zaidi ya 30 vilishiriki maonyesho ya bidhaa na wajasiriamali zaidi ya 100 walishiriki katika semina zilizokuwa zinafanyika sambamba na maonyesho hayo. Paul...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani