Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHULE HATARINI KUANGUKA

Na John Gagarini, Globu ya Jamii - Chalinze
WANANCHI wa Kijiji cha Mkoko wilayani Bagamoyo mkoani Pwani wameiomba Halmashauri kubomoa baadhi ya madarasa ya  shule ya Msingi Mkoko ambayo yananyufa na yako hatarini kuanguka hivyo kufanya wanafunzi kusoma kwa hofu.
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kijijini hapo hivi karibuni Muhsin Mkumbi alisema kuwa majengo hayo yako kwenye hali mbaya na wakati wowote yanaweza kuanguka na kuleta madhara.
Mkumbi alisema kuwa madarasa hayo ni...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Shule ya Msingi Bafanka mkoani Geita hatarini kufungwa kwa Kujaa Kwa Vyoo Vya Shule

Ukosefu wa Vyoo kwa baadhi ya Shule limekuwa tatizo sugu lililosababisha shule ya msingi Isumabuna kufunga wakati shule ya msingi Bafanka wilayani Bukombe mkoani Geita ikiwa hatarini kufungwa wakati wowote kutokana na vyoo kujaa na kutoa wadudu hali inayowalazimu wanafunzi kujisaidia vichakani.

Kufungwa kwa shule ya Msingi Isumabuma tangu Novemba 12 mwaka huu kulikolenga kunusuru afya za watoto na kuwaepusha ma magonjwa ya mlipuko kumeathiri ratiba ya masomo kwa kiasi kikubwa kwa wanafunzi...

 

9 years ago

Mwananchi

Siasa hatarini kuua elimu shule binafsi

Sekta binafsi kama ijulikanavyo ndiyo mhimili mkuu wa uchumi wa nchi inayofuata misingi ya uchumi wa soko huria. Haya ndiyo aliyoyasema hata Rais John Magufuli Alhamisi wiki iliyopita wakati akizungumza na wafanyabiashara jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi shule za Papa, Jitengeni wamo hatarini

WANAFUNZI wa shule za msingi Papa na Jitengeni katika kata za Vunta na Kihurio wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, wapo hatarini kupoteza maisha kutokana na kusomea katika madarasa chakavu yanayotishia kuanguka wakati wowote.

 

10 years ago

StarTV

Wanafunzi Shule ya Msingi Mwabujose hatarini kuangukiwa na ukuta

Na Projestus Binamungu,

Simiyu.

 

Wanafunzi wa shule ya msingi Mwabujose wilayani Busega mkoani Simiyu wako hatarini kuangukiwa na kuta za madarasa ya shule hiyo.

 

Ni kutokana na baadhi ya madarasa kukaa kwa muda mrefu bila kufanyiwa ukarabati tangu yalipojengwa.

 

Wanafunzi 716 wa shule ya msingi Mwabujose iliyokuwepo kwa miaka 40 iliyopita katika kata ya Kalemela wilayani Busega.

 

Umri wa shule hii unadhihirisha kuwa imechoka kutokana na baadhi ya madarasa kuonesha kila dalili za kutaka...

 

11 years ago

Habarileo

Chanzo kuanguka wasichana shuleni

UGONJWA wa kuanguka na kupiga kelele unaowakumba baadhi ya wasichana katika shule mbalimbali nchini, umetajwa kusababishwa na maambukizi ya hofu inayosababisha mwili kupata dalili za magonjwa yasiyokuwepo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM ijiandae kuanguka na Lowassa

MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa (CCM), sasa ndiye anayekitesa chama chake kwa harakati zake ‘haramu’ za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Nasema harakati haramu kwakuwa chama chake...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Maadili yanachangia kufaulu au kuanguka darasani

WIKI iliyopita Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), lilitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita ambayo yameonyesha ufaulu wa mwaka huu umeongezeka ukilinganisha na mwaka jana.

Kwa mujibu wa matokeo hayo, ufaulu umeongezeka kwa asilimia 0.61 yaani yametoka katika asilimia 98.26 mwaka jana hadi asilimia 98.87 mwaka huu.

Matokeo hayo pia yaonyesha kuwa wasichana wameongoza kwa ufaulu  kwa asilimia 98.56,  huku wavulana wamefaulu kwa asilimia 97.26.

Hili ni suala la kujivunia...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuanguka kwa Mugabe kwageuzwa utani

Baada ya Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe kuteleza na kuanguka katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Harare, watu wengi duniani wamechukulia kitendo cha kuanguka kwa rais huyo kama staili ya kutembea wakiwa na lengo la kumdhihaki.

 

10 years ago

Mwananchi

Membe afunguka kuanguka urais CCM

Waziri wa Mambo ya Nje ya Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amezungumzia kinyang’anyiro cha urais ndani ya CCM, akifananisha kushindwa kwake na kifo cha ghafla.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani