Wanafunzi shule za Papa, Jitengeni wamo hatarini
WANAFUNZI wa shule za msingi Papa na Jitengeni katika kata za Vunta na Kihurio wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, wapo hatarini kupoteza maisha kutokana na kusomea katika madarasa chakavu yanayotishia kuanguka wakati wowote.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV03 Feb
Wanafunzi Shule ya Msingi Mwabujose hatarini kuangukiwa na ukuta
Na Projestus Binamungu,
Simiyu.
Wanafunzi wa shule ya msingi Mwabujose wilayani Busega mkoani Simiyu wako hatarini kuangukiwa na kuta za madarasa ya shule hiyo.
Ni kutokana na baadhi ya madarasa kukaa kwa muda mrefu bila kufanyiwa ukarabati tangu yalipojengwa.
Wanafunzi 716 wa shule ya msingi Mwabujose iliyokuwepo kwa miaka 40 iliyopita katika kata ya Kalemela wilayani Busega.
Umri wa shule hii unadhihirisha kuwa imechoka kutokana na baadhi ya madarasa kuonesha kila dalili za kutaka...
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Saratani:Watu warefu wamo hatarini
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Kujitoa uhai:Vijana wengi wamo hatarini
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Mvua yaua watano Dar, wamo wanafunzi
9 years ago
StarTV25 Nov
Shule ya Msingi Bafanka mkoani Geita hatarini kufungwa kwa Kujaa Kwa Vyoo Vya Shule
Ukosefu wa Vyoo kwa baadhi ya Shule limekuwa tatizo sugu lililosababisha shule ya msingi Isumabuna kufunga wakati shule ya msingi Bafanka wilayani Bukombe mkoani Geita ikiwa hatarini kufungwa wakati wowote kutokana na vyoo kujaa na kutoa wadudu hali inayowalazimu wanafunzi kujisaidia vichakani.
Kufungwa kwa shule ya Msingi Isumabuma tangu Novemba 12 mwaka huu kulikolenga kunusuru afya za watoto na kuwaepusha ma magonjwa ya mlipuko kumeathiri ratiba ya masomo kwa kiasi kikubwa kwa wanafunzi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox6PNX7KBagGmgI*Wm10V990GU0BK0Vr9aEwiv9nfjtpVyp7kpS1oAR3DA8ZZBuSdEsBbhFrvidAhwrJFC0qqxqH/MUHAS.jpg?width=650)
WANAFUNZI WA UDAKTARI MUHIMBILI HATARINI
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Wanafunzi Sekondari Mshikamano hatarini
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Mshikamano iliyopo Kijiji cha Rwanyo, wilayani Mbarali, Mbeya, wako hatarini kupoteza maisha kwa ajali kutokana na kukosekana kwa kivuko cha waenda kwa miguu katika eneo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aqKyCtjg4hw/VV7jkCdPKiI/AAAAAAAHY9g/rNQKf0O2DPw/s72-c/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
SHULE HATARINI KUANGUKA
WANANCHI wa Kijiji cha Mkoko wilayani Bagamoyo mkoani Pwani wameiomba Halmashauri kubomoa baadhi ya madarasa ya shule ya Msingi Mkoko ambayo yananyufa na yako hatarini kuanguka hivyo kufanya wanafunzi kusoma kwa hofu.
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kijijini hapo hivi karibuni Muhsin Mkumbi alisema kuwa majengo hayo yako kwenye hali mbaya na wakati wowote yanaweza kuanguka na kuleta madhara.
![](http://2.bp.blogspot.com/-aqKyCtjg4hw/VV7jkCdPKiI/AAAAAAAHY9g/rNQKf0O2DPw/s640/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
Mkumbi alisema kuwa madarasa hayo ni...