Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kujitoa uhai:Vijana wengi wamo hatarini

"Watu hudhani ni uhalifu kujiua,lakini sivyo hivyo,anasema lauren Ball mwenye umri wa miaka 20 ambaye amejaribu kujiua kwa mara kadhaa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

'Afufuka baada ya kujitoa uhai'

Wananchi wa Kenya wameshangazwa na taarifa ya mwanamume mmoja aliyedhaniwa kufariki kufufuka kutoka katika chumba cha kuhifadhia maiti

 

11 years ago

BBCSwahili

Tutu aunga mkono sheria ya kujitoa uhai

Aliyekuwa Askofu mkuu nchini Afrika kusini Desmond Tutu amesema kuwa anaunga mkono mjadala wa kujitoa uhai,

 

10 years ago

GPL

DAVINA: KUNA WAKATI NATAMANI KUJITOA UHAI!

BRIGHTON MASALU “MOYO wangu umegandwa na mavumbi, macho yamepofuka kwa machozi, kwani mateso yangu hayapimiki kwa mizani, kila mtu ananihukumu kwa uongo na hadithi za kutunga juu ya ndoa yangu pasipo kujua ukweli,” ndivyo anavyoanza kusimulia staa wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ akielezea wakati mgumu anaokutana nao baada ya kuwepo na mgogoro kwenye ndoa yake. ...Soma...

 

9 years ago

BBCSwahili

Saratani:Watu warefu wamo hatarini

Utafiti wa kampuni moja ya Sweden uliofanyiwa watu milioni 5 umeonekana kuthibitisha nadharia kwamba urefu wa mtu na hatari za ugonjwa wa saratani zina uhusiano.

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi shule za Papa, Jitengeni wamo hatarini

WANAFUNZI wa shule za msingi Papa na Jitengeni katika kata za Vunta na Kihurio wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, wapo hatarini kupoteza maisha kutokana na kusomea katika madarasa chakavu yanayotishia kuanguka wakati wowote.

 

10 years ago

Mwananchi

Ufahamu ugonjwa wa pumu na jinsi watu wengi walivyo hatarini

Mtu mwenye pumu huwa na mcharuko uvimbe sugu mwilini kwenye mirija yake ya kupitishia hewa (bronchioles tubes) hali ambayo husababisha kuvimba kwa kuta za mirija hii na kuwa na ute mzito hivyo kupungua kwa njia ya kupitishia hewa.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI: UHAI WA BINADAMU UNA THAMANI KUBWA KULIKO UHAI WA WANYAMAPORI

SERIKALI imetolea ufafanuzi wa kauli iliyotolewa na  baadhi ya Wananchi  wanaodai kuwa Wizara ya Maliasili na Utalii imekuwa ikithamini uhai wa wanyamapori kuliko uhai wa binadamu.
 Akizungumza na viongozi wa vijiji vitano vinavyopakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti katika wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Constantine Kanyasu amesema  uhai wa binadamu una thamani kubwa na kamwe hauwezi kufananishwa na uhai  wa wanyamapori 
Amesema licha ya  kuwa  binadamu anaaminika kuwa akili kuliko...

 

10 years ago

Dewji Blog

Vijana wengi watamani kujiua Uingereza

_65680924_006525189-1

Na Mwandishi wetu

Imeelezwa kuwa idadi ya watoto wanaofikiria kujiua imeongezeka ghafla nchini Uingereza hali inayoonyesha kuwepo ongezeko la asilimia 116 kulinganisha na kesi zilizorekodiwa katika kipindi cha kati ya mwaka 2010 na 2011.

Taasisi ya utoaji huduma za ushauri ya childline imeripoti kuwa imepokea simu 34,000 katika kipindi cha kati ya mwaka 2013 na 2014 za vijana wa kiingereza wenye umri wa chini miaka 18 ambao wamekuwa wakifikiria kujiua.

Karibu vijana wote chipukizi 6,000...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani