Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAVINA: KUNA WAKATI NATAMANI KUJITOA UHAI!

BRIGHTON MASALU “MOYO wangu umegandwa na mavumbi, macho yamepofuka kwa machozi, kwani mateso yangu hayapimiki kwa mizani, kila mtu ananihukumu kwa uongo na hadithi za kutunga juu ya ndoa yangu pasipo kujua ukweli,” ndivyo anavyoanza kusimulia staa wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ akielezea wakati mgumu anaokutana nao baada ya kuwepo na mgogoro kwenye ndoa yake. ...Soma...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Davina: Kuna Wakati Natamani…

“MOYO wangu umegandwa na mavumbi, macho yamepofuka kwa machozi, kwani mateso yangu hayapimiki kwa mizani, kila mtu ananihukumu kwa uongo na hadithi za kutunga juu ya ndoa yangu pasipo kujua ukweli,” ndivyo anavyoanza kusimulia staa wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ akielezea wakati mgumu anaokutana nao baada ya kuwepo na mgogoro kwenye ndoa yake.

Akizungumza kwa njia ya simu na mwandishi wetu hivi karibuni, msanii huyo alisema kila mahali anapopita ananyooshewa vidole kwa watu...

 

11 years ago

BBCSwahili

'Afufuka baada ya kujitoa uhai'

Wananchi wa Kenya wameshangazwa na taarifa ya mwanamume mmoja aliyedhaniwa kufariki kufufuka kutoka katika chumba cha kuhifadhia maiti

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mzee wa Kujitoa natamani liundwe Bunge jipya la Katiba!

UUUWIIII! Nasikia kuna  dalili kwamba wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba wanaweza sasa kupewa likizo ya muda. Hayo si ya Mzee wa Kujitoa, nilimsikia mwenyewe kwenye vyombo vya habari Waziri...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tutu aunga mkono sheria ya kujitoa uhai

Aliyekuwa Askofu mkuu nchini Afrika kusini Desmond Tutu amesema kuwa anaunga mkono mjadala wa kujitoa uhai,

 

9 years ago

BBCSwahili

Kujitoa uhai:Vijana wengi wamo hatarini

"Watu hudhani ni uhalifu kujiua,lakini sivyo hivyo,anasema lauren Ball mwenye umri wa miaka 20 ambaye amejaribu kujiua kwa mara kadhaa.

 

10 years ago

Bongo Movies

Davina : Natamani Kuchepuka Ila Nashindwa

Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ amekiri kuwa makundi huwa yanaharibu  watu walio kwenye ndoa kwa kuwalaghai kwamba wakaonje  nje kwa lengo  la kuangalia radha nyingine hali amabayo wakati  mwingine  mawazo hayo humjia lakini ghafla huhisi kaama mumewe atamuona na kuhatarisha ndoa yake.

Akizungimza na Tanuru la Filamu , Davina alisema  kwamba alipata wakati  mgumu wakati wakuigiza  filamu ya SHANTA inayotarajiwa kuingia sokoni  wiki hii ambayo alicheza kama mke wa mtu  ambaye ...

 

9 years ago

GPL

MAMA; SIAMINI KAMA KUNA UHAI TENA

Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa Kilio cha mwanamke huyu aliyejitambulisha kwa jina la Rhoda Chegele (50), kinatia huruma kwani amefikia hatua ya kusema kwamba haamini kama kuna uhai tena. Rhoda Chegele akiwa na uvimbe kichwani unaomsababishia maumivu makali. Rhoda ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Jengo la Mwaisela, Wodi Namba 2 akiwa ametokea mkoani Kilimanjaro, Wilaya ya Same, Mtaa wa Bomani...

 

11 years ago

GPL

KUNA WAKATI MAKONDA HAWANA HATIA

NIANZE kwa kuwasalimu kwa heshima na taadhima maanko, wakati huu macho na masikio yetu, kwa mara nyingine yakiwa Dodoma, kwenye ule mjengo maarufu, ambako waheshimiwa wasiozidi 400 wako kujadili mustakabali wa uhai wetu kama taifa la watu milioni 45. Kule wanaizungumzia bajeti ya serikali kwa mwaka ujao wa fedha. Ninajua mnajua kuwa mwaka wa serikali huanza Julai, kwa hiyo wale wawakilishi wetu tuliowachagua kwenye ule uchaguzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani